ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Ukitaka kupendwa na mjinga msifieAo jamaa tangu wajue Simba ni ma Mbumbumbu basi kazi Yao ni kuwa pamba Kwa kuwapikia Data za mchongo.
Na walivyokua Awana adabu Kuna siku Simba atawekwa namba Moja ndipo watakapo stuka[emoji2][emoji2][emoji2]
Umenikumbusha Hawa wasanii wanaitwa REDETIFFHS hawana tofauti na REDET
Ni mapacha na hawa IFFHS walituaminisha ligi ya bongo ni bora kuliko ligi ya SA na TunisiaUmenikumbusha Hawa wasanii wanaitwa REDET
Database nao ni makanjanja!!??Ni mapacha na hawa IFFHS walituaminisha ligi ya bongo ni bora kuliko ligi ya SA na Tunisia
Mbona sisi utopolo tunaonewa na kubaguliwa sana na hawa CAF? Simba wanatoa mlungula huko CAF.View attachment 2547160
IFFHS imetoa orodha ya timu 10 bora za mwezi za CAF
1. Ahly - 220 points
2. Wydad - 170 points
3. Zamalek - 154 points
4. Pyramids- 140.5 points
5. Al Hilal - 132.75 points
6. Mamelodi- 127 points
7. CR Belouzidad - 117.75 points
8. Raja Casablanca - 117 points
9. Simba SC - 113 points
10. Petro Luanda - 112 points
Nakutafunia
Yaani ukiwatoa waarabu inabaki Mamelod kisha Simba Sc tu. Baaaasi
Mayele atakupeleka kuzimuSimba ipi?
Nilidhani ikifungwa na Mayele ndo inakuwa level za Lipuli tayari, au jamaa wamekosea?
Kwa point simba inazidi mazembe eeeeehhhhhView attachment 2547160
IFFHS imetoa orodha ya timu 10 bora za mwezi za CAF
1. Ahly - 220 points
2. Wydad - 170 points
3. Zamalek - 154 points
4. Pyramids- 140.5 points
5. Al Hilal - 132.75 points
6. Mamelodi- 127 points
7. CR Belouzidad - 117.75 points
8. Raja Casablanca - 117 points
9. Simba SC - 113 points
10. Petro Luanda - 112 points
Nakutafunia
Yaani ukiwatoa waarabu inabaki Mamelod kisha Simba Sc tu. Baaaasi
Sawa hata kama sa ndo mshike mkia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2547275
Hii ni IFFHS imetoka 31 Jan 2023 tuambieni hiyo ya kwenu mmeitoa wapi?
Kweli nimeamini viongozi wa simba wanawaona mashabiki wao ni mbumbumbu wanawafanya vile wanavyotaka maana wamezoea kudanganywa,kama mlidanganywa kuhusu manzooki na bado akaletwa mpaka kwenye uchaguzi siwezi kuwashangaa.
Tunazungumzia ilo la mashabiki wa simba kufanywa mbumbumbu na viongozi wenuSawa hata kama sa ndo mshike mkia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
20th out of 20 aaah bana
View attachment 2551609
Soma huu uzi hapa chini, mmeshuka kiwango, mmekuwa wa 10 sasa..!! Halafu Yanga ambaye hakuwepo sasa ni wa 9..!! HatariView attachment 2547160
IFFHS imetoa orodha ya timu 10 bora za mwezi za CAF
1. Ahly - 220 points
2. Wydad - 170 points
3. Zamalek - 154 points
4. Pyramids- 140.5 points
5. Al Hilal - 132.75 points
6. Mamelodi- 127 points
7. CR Belouzidad - 117.75 points
8. Raja Casablanca - 117 points
9. Simba SC - 113 points
10. Petro Luanda - 112 points
Nakutafunia
Yaani ukiwatoa waarabu inabaki Mamelod kisha Simba Sc tu. Baaaasi
Subiri uone kama atasoma.Soma huu uzi hapa chini, mmeshuka kiwango, mmekuwa wa 10 sasa..!! Halafu Yanga ambaye hakuwepo sasa ni wa 9..!! Hatari
Hongera Simba SC kupanda viwango vya ubora CAF
Kwa mujibu wa mtandao wa IFFHS, ambayo imetoa orodha ya vilabu bora kwa bara la Afrika imeonyesha simba ikishikilia nafasi ya 10 huku kinara akiendelea kuwa Al ahly ya nchini Egypt. Hongera kwa kilabu cha Simba na benchi zima la ufundi.www.jamiiforums.com
YANGA WATAUA WATU MWAKA HUU...MNATENGENEZA VITU LKN HAVITENGENEZEKI ULIMWENGU NI MDOGO SANA KWENYE NYAKATI HIZI ZA TEKNOLOJIAView attachment 2547160
IFFHS imetoa orodha ya timu 10 bora za mwezi za CAF
1. Ahly - 220 points
2. Wydad - 170 points
3. Zamalek - 154 points
4. Pyramids- 140.5 points
5. Al Hilal - 132.75 points
6. Mamelodi- 127 points
7. CR Belouzidad - 117.75 points
8. Raja Casablanca - 117 points
9. Simba SC - 113 points
10. Petro Luanda - 112 points
Nakutafunia
Yaani ukiwatoa waarabu inabaki Mamelod kisha Simba Sc tu. Baaaasi
Sasa hivi una hali gani uko ulipo?VP jirani yuko kwenye 30 bora?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa hivi una hali gani uko ulipo?
Jirani huyu hapa [emoji116][emoji116]VP jirani yuko kwenye 30 bora?
Ya 9[emoji116][emoji116]Mkuu hongereni sana. Tunaomba kujua na timu yetu ya Wananchi (Yanga afilika) tupo nafasi ya ngapi.