Na wana wa target mpaka viongozi na familia zaounajua wanajeshi wanagapi wameuwawa mpaka leo nigeria!!!au ndio kauli za kishujaa tunazoziita!!!
hupendi uwepo wa kituo cha polisi,sawa maana ndio walalamikiwa wakuu.vipi kuhusu kituo cha kupaki mabasi ya BRT???
Unajua polisi na wanajeshi wangapi wameuwawa
Umeona namna gani vituo vya polisi,sehemu mbalimbali zlivyoharibiwa
Mzee zile vurugu hazijaanzishwa na Wanasiasa au Chama cha siasa,umma watu wenyewe wameanzisha
Bora maandamano ya kivyama kuliko maandamano au vurugu inayoanzishwa na watu
Hatari.....hili syo jambo pia la kuombea litokee
Ova
Kwani Waliounda FFU walipatikana wapi?Wao walitaka watu wa SWAT watoke wapi?
Yani mfano leo ukiivunja FFU unaenda kuwapata wapi watu wa unit mpya ya kuzuia vurugu?
Laana yetu kama ipo ni kukosa akili za kutosha na hata mada yako inaonyesha hilo, wananchi ndio mamlaka yote na viongozi waliochaguliwa hukasimishwa baadhi ya mamlaka hayo. Hawa viongozi wakishachaguliwa hujisahau na kuamini wao ndio mamlaka mpaka ya mbinguni. Wananchi wakichukizwa na uongozi uliopo wanaweza, leo kuandamana waziri mkuu atoke, kesho iwe zamu ya IGP na hata kutaka serikali nzima itoke madarakani.Chanzo cha maandamano nchini Nigeria ni kuisukuma serikali ifute kitengo cha usalama cha SARS.
Serikali ya Nigeria iliwasikiliza waandamanaji na ikatangaza kufuta hiyo agency.
Ila naona Wanaijeria bado wanaandamana wanafanya vurugu na jana jeshi limeingilia na kuua baadhi ya waandamanaji.
Swali langu au nisichoelewa kama waandamanaji walipewa walichotaka kwa nini maandamano yanaendelea wanachotaka ni nini?
Au ni ile laana yetu ya asili kwa ngozi nyeusi ndio inafanya kazi huko?
Watapata wanacho taka, ngoja wakifikia point kama ya Libya, Syria, Iraq na sudani ndio watakaa vizuri.Wanachotaka ni mageuzi ya jeshi la polisi.
Hivi sasa, wengine wamekwenda mbali zaidi na kumtaka Buhari ajiuzulu.
Chanzo cha maandamano nchini Nigeria ni kuisukuma serikali ifute kitengo cha usalama cha SARS.
Serikali ya Nigeria iliwasikiliza waandamanaji na ikatangaza kufuta hiyo agency.
Ila naona Wanaijeria bado wanaandamana wanafanya vurugu na jana jeshi limeingilia na kuua baadhi ya waandamanaji.
Swali langu au nisichoelewa kama waandamanaji walipewa walichotaka kwa nini maandamano yanaendelea wanachotaka ni nini?
Au ni ile laana yetu ya asili kwa ngozi nyeusi ndio inafanya kazi huko?
Mtu mweusi akiachwa pasipo kuguswa huhisi kudharauliwa hapo huanza kufanya uharifu mwingine kama kuchoma magari na kuvunja maduka ya raia wengineMambo haya ya kikatili tunayoendekeza ndiyo yanazidisha laana kwa waafrika. Belarus wana kama mwezi wanaandamana kila siku lakini hakuna mauaji ya binadamu.
Kwanini nyie waafrika mnaona solution ni kumwaga dam tu?
Mungu akusamehe kwa roho hiyo ya kikatili iliyo ndani mwako.Mtu mweusi akiachwa pasipo kuguswa huhisi kudharauliwa hapo huanza kufanya uharifu mwingine kama kuchoma magari na kuvunja maduka ya raia wengine
Hapo ndo definition ya laana huanza kujionesha
YES"" Wanannchi ndio wanatakiwa kuipangia serikali nini cha kufanya.ndio maana tunasema madai yoyote ya haki yakisukumwa kimihemko hayazai matunda yaliyokusudiwa.
hamtaki SARS,imetolewa.mnataka muipangie serikali namna ya kufanya sasa!!!mwisho mtataka na polisi wote watolewe maana hawafuati misingi ya haki.
YES"" Wanannchi ndio wanatakiwa kuipangia serikali nini cha kufanya.
Serikali inayokataa kufata matakwa ya wanannchi hiyo serikali inakosa uhalali wa kuongoza hao wanannchi.
Kiburi chako kinakuongoza kwenye hata kudharau matakwa ya wanannchi.
Mungu akusaidie kwa ulevi uliokulemea.
[emoji120]
Achana nae huyo, yy anadhan kuandamana n kama enzi zake alivokuwa anaandamana kwenye mstari shulen kuwah nambaili serikali ipunduliwe?
Nimekwambia wananchi, siyo mwananchi.mwananchi akitaka asilipe kodi serikali inatakiwa imsikilize si ndivyo???vipi akitaka asipangiwe miaka ya hukumu??
kuna sheria,na lengo la sheria ni kumchunga mwananchi katika mstari mnyoofu.ukitaka kuipangia serikali maana yake hauko katika mpango wa kuongozwa na sheria.
Wanaogopa kutoka madarakanisijui kwanini wanasisiemu wanapata hofu sana wanaposikia raia wa taifa fulani ndani ya africa wanafanya maandamano dhidi ya viongozi waliopo madarakani?.
Ujinga unapozaa matunda tunaitafuta huruma kwa Mungu. ...Mungu akusamehe kwa roho hiyo ya kikatili iliyo ndani mwako.
[emoji120]
Chanzo cha maandamano nchini Nigeria ni kuisukuma serikali ifute kitengo cha usalama cha SARS.
Serikali ya Nigeria iliwasikiliza waandamanaji na ikatangaza kufuta hiyo agency.
Ila naona Wanaijeria bado wanaandamana wanafanya vurugu na jana jeshi limeingilia na kuua baadhi ya waandamanaji.
Swali langu au nisichoelewa kama waandamanaji walipewa walichotaka kwa nini maandamano yanaendelea wanachotaka ni nini?
Au ni ile laana yetu ya asili kwa ngozi nyeusi ndio inafanya kazi huko?
Ndiyo maana umemchagua shetani.Ujinga unapozaa matunda tunaitafuta huruma kwa Mungu. ...
Nimekwambia wananchi, siyo mwananchi.