Ifike mahala Watanzania tuache kusomea ualimu, supply imekuwa kubwa mno kuliko demand

Mimi ni mwalimu Nina vipindi 72 Kwa wiki afu inasema demand ni ndogo. Emu fanta utafiti kwanza walimu wa shule za umma wanakabiriwa na workload na mlundikano wa wanafunzi mkuuu mkondo mmoja wanafunzi Hadi 120
 
Mimi ni mwalimu Nina vipindi 72 Kwa wiki afu inasema demand ni ndogo. Emu fanta utafiti kwanza walimu wa shule za umma wanakabiriwa na workload na mlundikano wa wanafunzi mkuuu mkondo mmoja wanafunzi Hadi 120
Tunaposema Demand tunamaanisha Demand katika soko la ajira, sio huko mashuleni! Una elimu gani ndugu yangu? Concept ndogo kama hii inakushinda kuelewa?

Kwamba serikali inatoa nafasi 1000 za ajira kwenye soko, lakini mtaani kuna walimu laki 1 wanasaka ajira, means supply ni kubwa ila demand ni ndogo.
 
Unaelewa maana ya soko tuanzie hapo kwanza ww mwenye elimu kubwa
Sizungumzii soko, nazungumzia soko la ajira, legeza ubongo kidogo basi. Soko linaweza kuwa la viazi, ndizi, dhahabu nk; ila hapa specifically nazungumzia ‘SOKO LA AJIRA’. Pia sijasema nina elimu kubwa, nimeuliza tu elimu yako.
 
nyote mupo sahihi ila munaongelea muktadha tofauti, soko la ajira zinatangazwa kidogo kulingana na graduates, lakini uhitaji mashuleni ni mkubwa.
 
Mimi ni mwalimu Nina vipindi 72 Kwa wiki afu inasema demand ni ndogo. Emu fanta utafiti kwanza walimu wa shule za umma wanakabiriwa na workload na mlundikano wa wanafunzi mkuuu mkondo mmoja wanafunzi Hadi 120
Walimu walio mtaani ni wengi

Serikali haina uwezo wa kuajiri na ina upungufu wa walimu 171,000 kw shule za msingi

74,000 kwa shule za Upili
 
Coz zipo nyingi, pia wanaohotimu ni wengi, ni , achaguo Yao Nini wakasomee. Lakini sisi ambao tayar tumepita huko tujaribu kuwashauri Ili tusijazane wa kozi Moja huku mtaani[emoji24][emoji24][emoji24] ni shidaaa.
 
Hata kama hakuna ajira ila huwezi fananisha bachelor degree ya kitu chochote na veta
 
 
 
Tatizo mfumo hovyo wa elimu ya kikoloni..
Lazima ufike chuo eti..!?? Uvae tai..

Hakuna mijitu ina hela saivi kama mifundi ujenzi
Ni kweli aisee.
Fundi ujenzi anakabidhiwa kazi pamoja na materials yote yashaandaliwa halafu malipo ya ufundi wake anapewa kati ya 2m hadi 3m kwa kazi ambayo ataifanya ndani ya wiki 2 tu wakati pesa kama hii kwa mwalimu kuishika ni ndoto labda hadi aende kukopa benki.
Kuna vijana fulani pia nawajua wamesimea veta mambo ya umeme na mitambo wanakula mishahara ya takribani 800k kwa Azam ambayo ni mara 2 ya mshahara wa mwalimu.
Maisha wakati mwingine ni hesabu na ujanja sio kukariri.
 
Kusoma VETA ni wazo zuri

Ila maisha yanahitaji zaidi soft skills kwa kiasi kikubwa kuzidi hard skills

Wapo mafundi wengi Sana wamepita VETA n.k Ila bado hawana positive impact kwa jamii zao n.k


Swala la demand and supply lazima liendane na jinsi MTU alivyo smart kichwani (Upstair)

Ukiwa Una hard skills bila soft skills utakuwa MTU wa kutumikishwa na WATU maisha yako yote.

Hivyo kila MTU akae kwenye eneo lake analolimudu vizuri
 
Wanaoishauri na kusimamia serikali wamejitangaza dhahiri niwezi wa kura. Hatutasonga mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…