Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudisha pesa za FAM kama umechukua ,kazi zimeisha isha, alafu acha visa visivyokua na maana ,elewa kuna maisha nje ya siasaYes mm ni mpumbavu. Unalo jengine la kunambia?
Sirejeshi pesa mimi, nimeshakula zamani tu na kilisu chenu hakipati nafasi!!Rudisha pesa za FAM kama umechukua ,kazi zimeisha isha, alafu acha visa visivyokua na maana ,elewa kuna maisha nje ya siasa
Sasa kama hashindi mumuache aaibikeWataalamu wa siasa wanasema "Politics is all about numbers and influence"
Taifa limeshuhudia matamko ya Viongozi wa CHADEMA kutoka katika kila Kona ya nchi wakisema wao watasimama na Lissu,
HOJA YANGU,
1. KURA ZA MBOWE ZIKO WAPI?
2. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI MABUBU?
3. JE, WANAOGOPA NINI KUJITOKEZA KWA UMMA?
4. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI WASIRI?
5. JE, KAMA SIASA NI NAMBA NA USHAWISHI KWA MBOWE VIKO WAPI?
NASISITIZA, LISSU AMESHINDA KWA ZAIDI YA 80% NA KAMA MBOWE ATASHINDA JUENI KABISA KAIBA KURA AU KAHONGA WAJUMBE HAWA HAWA WA LISSU.
Jibu gani? Embu fafanua.Nafikili hadi sasa swali lako limeshapata jawabu sahihi
Mikoa mingapi imesema?
Mbowe anashughulika na wapiga kura huku Lissu akishughulika na mashabiki.
Kwani Mbowe angeamua kualika wa watu waseme si tungechanganyikiwa tumsikilize nani?. Wakuu wa Kanda na Mikoa wote wanamtaka Mbowe. Wewe huogopi?
Wewe unahangaika na wanao ingia mtandaoni? Kwani CDM inawanachama wangapi Hadi uhesabu tu wanao ongea?..sasa Mbowe haungwi mkono na mashabiki na wanachama wa kawaida hata mmoja?
..yeye anaungwa mkono na wajumbe tu? Huyo ni kiongozi wa aina gani?
Cc Erythrocyte, brazaj
Wewe unahangaika na wanao ingia mtandaoni? Kwani CDM inawanachama wangapi Hadi uhesabu tu wanao ongea?
Strategy ya kujipa uhalali ni kutumia vizuri media huku ukijua kwa ground mambo si mambo. Mbowe angetaka na yeye atumie media nazani tusingemsikia Lissu.
..sasa Mbowe haungwi mkono na mashabiki na wanachama wa kawaida hata mmoja?
..yeye anaungwa mkono na wajumbe tu? Huyo ni kiongozi wa aina gani?
Cc Erythrocyte, brazaj
Unajuaje kuwa wale wanao jiita wanachama ni wanachama kweli?..mbona Mbowe anatumia media kufanya mahojiano sawa na mpinzani wake?
..kwenye wenyeviti wa mikoa na kanda tumewaona wanaomuunga mkono wakiwa kwenye media.
..mashaka yangu ni kwamba tangu lile kundi lililoandamana kumtaka Mbowe achukue fomu, sijaona tena wanachama wa kawaida, na mashabiki, wanaomsemea vizuri.
..Mwenyekiti anayeungwa mkono na wajumbe, lakini hauziki mtaani, atawafaa Chadema, na upinzani kwa ujumla?
Tunashukuru kwa kampeni zenu nzuri zilizojaa uhuru wa kutosha, tusubiri uchaguzi...sasa Mbowe haungwi mkono na mashabiki na wanachama wa kawaida hata mmoja?
..yeye anaungwa mkono na wajumbe tu? Huyo ni kiongozi wa aina gani?
Cc Erythrocyte, brazaj
Mbona mnatumia Nguvu sana kusema haishindi? Tatizo ni nini Hadi msisubirie kura kuamua? 😁😁👇👇Wataalamu wa siasa wanasema "Politics is all about numbers and influence"
Taifa limeshuhudia matamko ya Viongozi wa CHADEMA kutoka katika kila Kona ya nchi wakisema wao watasimama na Lissu,
HOJA YANGU,
1. KURA ZA MBOWE ZIKO WAPI?
2. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI MABUBU?
3. JE, WANAOGOPA NINI KUJITOKEZA KWA UMMA?
4. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI WASIRI?
5. JE, KAMA SIASA NI NAMBA NA USHAWISHI KWA MBOWE VIKO WAPI?
NASISITIZA, LISSU AMESHINDA KWA ZAIDI YA 80% NA KAMA MBOWE ATASHINDA JUENI KABISA KAIBA KURA AU KAHONGA WAJUMBE HAWA HAWA WA LISSU.
Wenyeviti wa mikoa wangapi wanaomuunga mkono LISSUJibu gani? Embu fafanua.
mi sijuiWenyeviti wa mikoa wangapi wanaomuunga mkono LISSU
kwani mkimchagua mwenyekiti wa chama mnampeleka kwa wananchi?..mbona Mbowe anatumia media kufanya mahojiano sawa na mpinzani wake?
..kwenye wenyeviti wa mikoa na kanda tumewaona wanaomuunga mkono wakiwa kwenye media.
..mashaka yangu ni kwamba tangu lile kundi lililoandamana kumtaka Mbowe achukue fomu, sijaona tena wanachama wa kawaida, na mashabiki, wanaomsemea vizuri.
..Mwenyekiti anayeungwa mkono na wajumbe, lakini hauziki mtaani, atawafaa Chadema, na upinzani kwa ujumla?
Ni vizuri kwa kutokujuami sijui