Pre GE2025 Ifike mahali tuache Kudanganyana, Mbowe hashindi, Mpaka Sasa hakuna Mkoa au Jimbo hata Moja lililosema linamuunga Mkono Mbowe, Kura Zake Ziko Wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kwani mkimchagua mwenyekiti wa chama mnampeleka kwa wananchi?

subiri mgombea urais.

..mwenyekiti na mgombea uraisi wote wanapelekwa kwa wanachama, na wananchi.

..mwenyekiti ndiye anayemuandalia mgombea Uraisi umma na wapigakura.

..mwenyekiti lazima awe mtu anayewatia moyo, na kuwavutia, wanachama na mashabiki, kukijenga chama.
 

..alishatumia media wakati wa kumshawishi kuchukua fomu.

..sasa kwanini hatuoni tena hamasa ya wanaomuunga mkono sehemu mbalimbali?
 
..yeye mbowe hana wanachama na wapenzi wa kweli wa kumsemea ktk mitandao?
Ni asilimia ngapi ya watanzania wanachangia kwenye mitandao? Unaamini kuwa katika uongozi wake alikuwa mbaya sana kiasi cha kukataliwa na wanachama wote wa Chadema?

Amandla...
 
Chamuhimu Mbowe ashinde ili kukiokoa chama kisiingie mikononi mwa wahuni na waropokaji!!
Lissu hawezi kuongoza watu ye mwenyewe anafaa kuongozwa maana hana break,busara,hekima nk.
Busara na hekima ni nini..?
 
..alishatumia media wakati wa kumshawishi kuchukua fomu.

..sasa kwanini hatuoni tena hamasa ya wanaomuunga mkono sehemu mbalimbali?
Utawaona kesho. Sidhani kama ana haja ya kufanya maigizo kudhihirisha kuwa ana watu wanaomkubali.
Katika uchaguzi sio busara kuonyesha mapema unaelemea upande gani mapema. Ndicho kilichomgharimu Simba. Mwenzake alingojea uchaguzi wake uishe ndio atangaze wazi kuwa yuko kwa Freeman.
Kila mtu ana strategies zake. Kesho ndio tutajua ipi imeshinda. Mimi nahisi strategy ya kumtaka Mbowe asigombee, ya kumrushia maneno ya kebehi kwenye social media inaweza ku backfire. Watu wengine hawapendi tu kulazimishwa na hivyo strategy ya Lema ina wa turn off.

Amandla...
 
Kura zinapigwa na wajumbe
Kwa nini wajitokeze kwa wajumbe.
Kura ni siri.
watajitokeza kwenye sanduku lakura.
Na msishangae Mbowe kushinda.

Kaunda wa Zambia alipata shangwe kubwa sana lakini baaDA YA UCHAGUZI ALIPATA MSHANGAO.
Debe tupu halichi kelele
 
Mbowe hashindi
 
FAM atajiondoa dakika za mwisho na kumuunga mkono TAL.
Mbinu hii kisiasa ni kete ya ushindi kwa wote na inaepusha mpasuko.
hawezi kujitoa.

kufanya hivyo itakuwa ni usaliti kwa waliomtuma
 
Kuna kupiga kura, kuhesabu kura, kujumlisha kura na kutangaza kura!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…