Pre GE2025 Ifike mahali tuache Kudanganyana, Mbowe hashindi, Mpaka Sasa hakuna Mkoa au Jimbo hata Moja lililosema linamuunga Mkono Mbowe, Kura Zake Ziko Wapi?

Pre GE2025 Ifike mahali tuache Kudanganyana, Mbowe hashindi, Mpaka Sasa hakuna Mkoa au Jimbo hata Moja lililosema linamuunga Mkono Mbowe, Kura Zake Ziko Wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kwani mkimchagua mwenyekiti wa chama mnampeleka kwa wananchi?

subiri mgombea urais.

..mwenyekiti na mgombea uraisi wote wanapelekwa kwa wanachama, na wananchi.

..mwenyekiti ndiye anayemuandalia mgombea Uraisi umma na wapigakura.

..mwenyekiti lazima awe mtu anayewatia moyo, na kuwavutia, wanachama na mashabiki, kukijenga chama.
 
Wewe unahangaika na wanao ingia mtandaoni? Kwani CDM inawanachama wangapi Hadi uhesabu tu wanao ongea?

Strategy ya kujipa uhalali ni kutumia vizuri media huku ukijua kwa ground mambo si mambo. Mbowe angetaka na yeye atumie media nazani tusingemsikia Lissu.

Ki Africa watu humuheshimu sana mtu akiwa kwenye kiti chake. Hata Mbowe akiamua atumia media watu watamuunga mkono wengi sana

..alishatumia media wakati wa kumshawishi kuchukua fomu.

..sasa kwanini hatuoni tena hamasa ya wanaomuunga mkono sehemu mbalimbali?
 
..yeye mbowe hana wanachama na wapenzi wa kweli wa kumsemea ktk mitandao?
Ni asilimia ngapi ya watanzania wanachangia kwenye mitandao? Unaamini kuwa katika uongozi wake alikuwa mbaya sana kiasi cha kukataliwa na wanachama wote wa Chadema?

Amandla...
 
Chamuhimu Mbowe ashinde ili kukiokoa chama kisiingie mikononi mwa wahuni na waropokaji!!
Lissu hawezi kuongoza watu ye mwenyewe anafaa kuongozwa maana hana break,busara,hekima nk.
Busara na hekima ni nini..?
 
..alishatumia media wakati wa kumshawishi kuchukua fomu.

..sasa kwanini hatuoni tena hamasa ya wanaomuunga mkono sehemu mbalimbali?
Utawaona kesho. Sidhani kama ana haja ya kufanya maigizo kudhihirisha kuwa ana watu wanaomkubali.
Katika uchaguzi sio busara kuonyesha mapema unaelemea upande gani mapema. Ndicho kilichomgharimu Simba. Mwenzake alingojea uchaguzi wake uishe ndio atangaze wazi kuwa yuko kwa Freeman.
Kila mtu ana strategies zake. Kesho ndio tutajua ipi imeshinda. Mimi nahisi strategy ya kumtaka Mbowe asigombee, ya kumrushia maneno ya kebehi kwenye social media inaweza ku backfire. Watu wengine hawapendi tu kulazimishwa na hivyo strategy ya Lema ina wa turn off.

Amandla...
 
Wataalamu wa siasa wanasema "Politics is all about numbers and influence"

Taifa limeshuhudia matamko ya Viongozi wa CHADEMA kutoka katika kila Kona ya nchi wakisema wao watasimama na Lissu,

HOJA YANGU,

1. KURA ZA MBOWE ZIKO WAPI?

2. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI MABUBU?

3. JE, WANAOGOPA NINI KUJITOKEZA KWA UMMA?

4. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI WASIRI?

5. JE, KAMA SIASA NI NAMBA NA USHAWISHI KWA MBOWE VIKO WAPI?

NASISITIZA, LISSU AMESHINDA KWA ZAIDI YA 80% NA KAMA MBOWE ATASHINDA JUENI KABISA KAIBA KURA AU KAHONGA WAJUMBE HAWA HAWA WA LISSU.
Kura zinapigwa na wajumbe
Kwa nini wajitokeze kwa wajumbe.
Kura ni siri.
watajitokeza kwenye sanduku lakura.
Na msishangae Mbowe kushinda.

Kaunda wa Zambia alipata shangwe kubwa sana lakini baaDA YA UCHAGUZI ALIPATA MSHANGAO.
Debe tupu halichi kelele
 
Wataalamu wa siasa wanasema "Politics is all about numbers and influence"

Taifa limeshuhudia matamko ya Viongozi wa CHADEMA kutoka katika kila Kona ya nchi wakisema wao watasimama na Lissu,

HOJA YANGU,

1. KURA ZA MBOWE ZIKO WAPI?

2. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI MABUBU?

3. JE, WANAOGOPA NINI KUJITOKEZA KWA UMMA?

4. JE, WAPIGAKURA WA MBOWE NI WASIRI?

5. JE, KAMA SIASA NI NAMBA NA USHAWISHI KWA MBOWE VIKO WAPI?

NASISITIZA, LISSU AMESHINDA KWA ZAIDI YA 80% NA KAMA MBOWE ATASHINDA JUENI KABISA KAIBA KURA AU KAHONGA WAJUMBE HAWA HAWA WA LISSU.
Mbowe hashindi
 
FAM atajiondoa dakika za mwisho na kumuunga mkono TAL.
Mbinu hii kisiasa ni kete ya ushindi kwa wote na inaepusha mpasuko.
hawezi kujitoa.

kufanya hivyo itakuwa ni usaliti kwa waliomtuma
 
Back
Top Bottom