Ifike Mahali tumheshimu Jakaya

Ifike Mahali tumheshimu Jakaya

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kwanini Watanzania ni maskini?
Huwa nafikiri hivyo bila kupata jibu sahihi.

Ngoja nikae chonjo labda naweza kupata hapa
 
Huyu jamaa kwani aliwazaje kuongoza nchi iliyojaa ufisadi kiasi kile, lakinin ajira zilikuwepo za kutosha, mishahara ikawa inapanda kila mwaka, makodi na matozo ya kukomoana haya yalikuwa hayapo, Demokrasia ilitawala na watu walikuwa na pesa.

Tangu atoke wameingia hawa wawili ambao wanatuambia ufisadi umepungua lakini maisha tait, ajira hakuna, mishahara haipandi, tozo na kodi za kukomoana ndo usiseme..

Nadhani Jakaya anastahili heshima kubwa sana kt nchi hii

Hahahah.. wewe bana. Huijui nchi ilikuwa gizani? . Umeme wa mgao kila siku?

Madawa hospital ilikuwa shida?

Chuo wanafunzi hawakuwa na mikopo? Kila siku migomo?

Fanya homework vizuri kabla ya kuandika.
 
Mchagua Nazi Huchagua Koroma
JK Aliupiga Mwingi Na Mwisho Ukatoka Nje πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€
 
Huyu jamaa kwani aliwazaje kuongoza nchi iliyojaa ufisadi kiasi kile, lakinin ajira zilikuwepo za kutosha, mishahara ikawa inapanda kila mwaka, makodi na matozo ya kukomoana haya yalikuwa hayapo, Demokrasia ilitawala na watu walikuwa na pesa.

Tangu atoke wameingia hawa wawili ambao wanatuambia ufisadi umepungua lakini maisha tait, ajira hakuna, mishahara haipandi, tozo na kodi za kukomoana ndo usiseme..

Nadhani Jakaya anastahili heshima kubwa sana kt nchi hii
JK alikuwa na chumaulete kila nikiwambia hamniamini
 
Walionufaika na utawala wa JKN, watamsifu milele
Walionufaika na utawala wa AHM, watamsifu milele
Walionufaika na BWM, watamsifu milele
Walionufaika na JMK, watamsifu milele
Walionufaika na JPM, watamsifu milele
Wanaoendelea kunufaika na utawala wa SSH, wanapiga mapambio tu.

Muhimu ni kujua tu, wanufaika hao kwa kila awamu ni watu wa namna gani? Na hili ni rahisi sana kujua. Ila vyovyote vile itakavyokuwa, kundi la wakulima na wale walioishi kwa chini ya dola 1 kwa siku wameendelea kuwa pale pale kwa awamu zote hizo.
 
Siku Zote Jakaya aliamini Watanzania best Duniani ndio wataiinua Tanzania, alichukua watanzania Toka Taasisi kubwa Duniani na kuwa rudisha Nchini ikiwemo pia watu wengine ambao wapo vizuri kwenye kazi zao.

Tido Muhando alitolewa BBC akaletwa TBC, Tv ya taifa ikawa nzuri tukaletewa Nchi nzima mpaka wa Vijijini tukaiona, vipindi vya kisasa mpaka ze KOMEDI tukaletewa, watu wakamletea Figisu Leo yupo Azam tunaona Kazi yake isiobabaisha.

Nehemia Mchechu Alikuja na NHC japo kulikua na Malalamiko ya hapa na pale ila Tuliona Shirika likifufuka, miradi mikubwa mikubwa ikijengwa, nk

Kila Sehemu Jakaya alijaza Mind ambazo zimeprove sehemu kwamba wao ni best kwenye fani zao.

Leo hii sifa ya kiongozi ni kusifu na kuabudu.

Unajua Nehemiah Mchechu ali transform CBA bank Tanzania kutoka loss making to profit making ndani ya mwaka mmoja tu. Ndo Jakaya akampeleka NHC na huko akaifanya kua largest real estate company in East & Central Africa. Mtu kama huyu alifaa kuwekwa kwenye shirika kama TTCL tuone likishindana na Vodacom. Ila kwa sababu ya siasa wamejazana makada wa CCM tu!
 
Unajua Nehemiah Mchechu ali transform CBA bank Tanzania kutoka loss making to profit making ndani ya mwaka mmoja tu. Ndo Jakaya akampeleka NHC na huko akaifanya kua largest real estate company in East & Central Africa. Mtu kama huyu alifaa kuwekwa kwenye shirika kama TTCL tuone likishindana na Vodacom. Ila kwa sababu ya siasa wamejazana makada wa CCM tu!
Inasikitisha sana

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Siku Zote Jakaya aliamini Watanzania best Duniani ndio wataiinua Tanzania, alichukua watanzania Toka Taasisi kubwa Duniani na kuwa rudisha Nchini ikiwemo pia watu wengine ambao wapo vizuri kwenye kazi zao.

Tido Muhando alitolewa BBC akaletwa TBC, Tv ya taifa ikawa nzuri tukaletewa Nchi nzima mpaka wa Vijijini tukaiona, vipindi vya kisasa mpaka ze KOMEDI tukaletewa, watu wakamletea Figisu Leo yupo Azam tunaona Kazi yake isiobabaisha.

Nehemia Mchechu Alikuja na NHC japo kulikua na Malalamiko ya hapa na pale ila Tuliona Shirika likifufuka, miradi mikubwa mikubwa ikijengwa, nk

Kila Sehemu Jakaya alijaza Mind ambazo zimeprove sehemu kwamba wao ni best kwenye fani zao.

Leo hii sifa ya kiongozi ni kusifu na kuabudu.
Mpango, Muhongo, Pro Assad pia aliwavuta yeye
 
Unajua Nehemiah Mchechu ali transform CBA bank Tanzania kutoka loss making to profit making ndani ya mwaka mmoja tu. Ndo Jakaya akampeleka NHC na huko akaifanya kua largest real estate company in East & Central Africa. Mtu kama huyu alifaa kuwekwa kwenye shirika kama TTCL tuone likishindana na Vodacom. Ila kwa sababu ya siasa wamejazana makada wa CCM tu!
haa nehemiah ossoro leo yuko wap na elimu yake ua uprofesor..mana kipindi cha mwanakwenda alipata fursa kubwa ikiwepo ila kupitishwa k2a hoja zake kipindi cha makenikia pale bandarini...
 
Jakaya ni mtu na nusu, ila alichokufanyia 2015 sio poa kabisa.
Endeleeni kumsifia sifia mbwa mwitu kwenye ngozi ya kondoo. Jamaa anakula mgao wa IPTL kila siku milioni 450 narudia kila siku. Gesi kauza. Mitanzania sisi sijui tukoje.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Huyu jamaa kwani aliwazaje kuongoza nchi iliyojaa ufisadi kiasi kile, lakinin ajira zilikuwepo za kutosha, mishahara ikawa inapanda kila mwaka, makodi na matozo ya kukomoana haya yalikuwa hayapo, Demokrasia ilitawala na watu walikuwa na pesa.

Tangu atoke wameingia hawa wawili ambao wanatuambia ufisadi umepungua lakini maisha tait, ajira hakuna, mishahara haipandi, tozo na kodi za kukomoana ndo usiseme..

Nadhani Jakaya anastahili heshima kubwa sana kt nchi hii
JK ndiye katuachia huu msala wote na bado amerudi kwa mlango wa nyuma
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom