Ifike Mahali tumheshimu Jakaya

Ifike Mahali tumheshimu Jakaya

Sijawahi kumvunjia heshima Mzee Jakaya Kikwete na bado ninaamini kuwa alikuwa Kiongozi Bora kuwahi kutokea katika Jamhuri hii ya Muungano
 
Huyu jamaa kwani aliwazaje kuongoza nchi iliyojaa ufisadi kiasi kile, lakinin ajira zilikuwepo za kutosha, mishahara ikawa inapanda kila mwaka, makodi na matozo ya kukomoana haya yalikuwa hayapo, Demokrasia ilitawala na watu walikuwa na pesa.

Tangu atoke wameingia hawa wawili ambao wanatuambia ufisadi umepungua lakini maisha tait, ajira hakuna, mishahara haipandi, tozo na kodi za kukomoana ndo usiseme..

Nadhani Jakaya anastahili heshima kubwa sana kt nchi hii
Kuelewa uozo wa JK na umahiri wa JPM na sasa SSH unahitaji elimu ya juu kabisa. Usipoelewa utahisi unajua!
 
Endeleeni kumsifia sifia mbwa mwitu kwenye ngozi ya kondoo. Jamaa anakula mgao wa IPTL kila siku milioni 450 narudia kila siku. Gesi kauza. Mitanzania sisi sijui tukoje.
Inaonekana unachuki sana na JK
 
Mambo gani yalienda au haukwepo tanzania
Lakin kwenye utawala mambo yalienda vema kuliko hata hawa ambao sio mafisadi mkuu, ndo hapa tunajiuliza, kwa ufisadi ule aliwezaje kupeleka mambo vile?
 
Baada ya Nyerere kipenzi ni Kikwete!!!! The least fisadi after Nyerere ni Kikwete!!
Alijiamini!!
Hawa wa sasa hawajiamini!!!
Kwani kama unajiamini kwa nini uogope katiba Mpya??? Na wataogopa mpaka lini??!
Kikwete naye aliibwaga nusu kwa ajili ya ushauri mbaya wa WBM!!
Angeimaliza leo angeuwa anasifiwa sanaaaaas!!

Ila wizi mkubwa ulitokea wakati waawamu ya tatu siyo ya nne!! Lakini hawa wote wa 3&4 walikuwa mademocrats!!!
Mungu awajalie!!!
 
Huyu jamaa kwani aliwazaje kuongoza nchi iliyojaa ufisadi kiasi kile, lakinin ajira zilikuwepo za kutosha, mishahara ikawa inapanda kila mwaka, makodi na matozo ya kukomoana haya yalikuwa hayapo, Demokrasia ilitawala na watu walikuwa na pesa.

Tangu atoke wameingia hawa wawili ambao wanatuambia ufisadi umepungua lakini maisha tait, ajira hakuna, mishahara haipandi, tozo na kodi za kukomoana ndo usiseme..

Nadhani Jakaya anastahili heshima kubwa sana kt nchi hii
Yes , Kwa kutuletea Katiba mpya, kwa kutuletea Mwendazake.
 
Back
Top Bottom