Huwa nafikiri hivyo bila kupata jibu sahihi.
Ngoja nikae chonjo labda naweza kupata hapa
Hapo tulipigwa, chuma kikaliwa na kutu....Alipotuletea Chuma Akaenda Msoga Kulala ππππ
Unaweza ukawa dhaifu na vile vile ukawa na mazuri mengi tu.Lakini Katibu wetu Mkuu Kamanda Mnyika aliweka bayana JK alikuwa Rais dhaifu.Au ndiyo tuseme tumebadili gia angani tena?
Huyu jamaa kwani aliwazaje kuongoza nchi iliyojaa ufisadi kiasi kile, lakinin ajira zilikuwepo za kutosha, mishahara ikawa inapanda kila mwaka, makodi na matozo ya kukomoana haya yalikuwa hayapo, Demokrasia ilitawala na watu walikuwa na pesa.
Tangu atoke wameingia hawa wawili ambao wanatuambia ufisadi umepungua lakini maisha tait, ajira hakuna, mishahara haipandi, tozo na kodi za kukomoana ndo usiseme..
Nadhani Jakaya anastahili heshima kubwa sana kt nchi hii
Kikatupwa Chettle Mpaka Kesho Ccm Hawajui Kilichotokea πHapo tulipigwa, chuma kikaliwa na kutu....
Jk mwenyewe itakua alikua anajutia sana kosa la 2015Kikatupwa Chettle Mpaka Kesho Ccm Hawajui Kilichotokea π
JK alikuwa na chumaulete kila nikiwambia hamniaminiHuyu jamaa kwani aliwazaje kuongoza nchi iliyojaa ufisadi kiasi kile, lakinin ajira zilikuwepo za kutosha, mishahara ikawa inapanda kila mwaka, makodi na matozo ya kukomoana haya yalikuwa hayapo, Demokrasia ilitawala na watu walikuwa na pesa.
Tangu atoke wameingia hawa wawili ambao wanatuambia ufisadi umepungua lakini maisha tait, ajira hakuna, mishahara haipandi, tozo na kodi za kukomoana ndo usiseme..
Nadhani Jakaya anastahili heshima kubwa sana kt nchi hii
Mchagua Nazi Huchagua KoromaJk mwenyewe itakua alikua anajutia sana kosa la 2015
Siku Zote Jakaya aliamini Watanzania best Duniani ndio wataiinua Tanzania, alichukua watanzania Toka Taasisi kubwa Duniani na kuwa rudisha Nchini ikiwemo pia watu wengine ambao wapo vizuri kwenye kazi zao.
Tido Muhando alitolewa BBC akaletwa TBC, Tv ya taifa ikawa nzuri tukaletewa Nchi nzima mpaka wa Vijijini tukaiona, vipindi vya kisasa mpaka ze KOMEDI tukaletewa, watu wakamletea Figisu Leo yupo Azam tunaona Kazi yake isiobabaisha.
Nehemia Mchechu Alikuja na NHC japo kulikua na Malalamiko ya hapa na pale ila Tuliona Shirika likifufuka, miradi mikubwa mikubwa ikijengwa, nk
Kila Sehemu Jakaya alijaza Mind ambazo zimeprove sehemu kwamba wao ni best kwenye fani zao.
Leo hii sifa ya kiongozi ni kusifu na kuabudu.
Haswaa.alituletea mwehuJakaya ni mtu na nusu, ila alichokufanyia 2015 sio poa kabisa.
Inasikitisha sanaUnajua Nehemiah Mchechu ali transform CBA bank Tanzania kutoka loss making to profit making ndani ya mwaka mmoja tu. Ndo Jakaya akampeleka NHC na huko akaifanya kua largest real estate company in East & Central Africa. Mtu kama huyu alifaa kuwekwa kwenye shirika kama TTCL tuone likishindana na Vodacom. Ila kwa sababu ya siasa wamejazana makada wa CCM tu!
Mpango, Muhongo, Pro Assad pia aliwavuta yeyeSiku Zote Jakaya aliamini Watanzania best Duniani ndio wataiinua Tanzania, alichukua watanzania Toka Taasisi kubwa Duniani na kuwa rudisha Nchini ikiwemo pia watu wengine ambao wapo vizuri kwenye kazi zao.
Tido Muhando alitolewa BBC akaletwa TBC, Tv ya taifa ikawa nzuri tukaletewa Nchi nzima mpaka wa Vijijini tukaiona, vipindi vya kisasa mpaka ze KOMEDI tukaletewa, watu wakamletea Figisu Leo yupo Azam tunaona Kazi yake isiobabaisha.
Nehemia Mchechu Alikuja na NHC japo kulikua na Malalamiko ya hapa na pale ila Tuliona Shirika likifufuka, miradi mikubwa mikubwa ikijengwa, nk
Kila Sehemu Jakaya alijaza Mind ambazo zimeprove sehemu kwamba wao ni best kwenye fani zao.
Leo hii sifa ya kiongozi ni kusifu na kuabudu.
kaka mkuu...me mwenyewe nimejiuliza sana kuhusu hilo...lakini sio mbali kutoka dar hadi msoga kwenda kumuuliza namna alivyoihandle hii nchiJK alikuwa na chumaulete kila nikiwambia hamniamini
haa nehemiah ossoro leo yuko wap na elimu yake ua uprofesor..mana kipindi cha mwanakwenda alipata fursa kubwa ikiwepo ila kupitishwa k2a hoja zake kipindi cha makenikia pale bandarini...Unajua Nehemiah Mchechu ali transform CBA bank Tanzania kutoka loss making to profit making ndani ya mwaka mmoja tu. Ndo Jakaya akampeleka NHC na huko akaifanya kua largest real estate company in East & Central Africa. Mtu kama huyu alifaa kuwekwa kwenye shirika kama TTCL tuone likishindana na Vodacom. Ila kwa sababu ya siasa wamejazana makada wa CCM tu!
[emoji23][emoji28][emoji2][emoji1241]Alipotuletea Chuma Akaenda Msoga Kulala [emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]
Endeleeni kumsifia sifia mbwa mwitu kwenye ngozi ya kondoo. Jamaa anakula mgao wa IPTL kila siku milioni 450 narudia kila siku. Gesi kauza. Mitanzania sisi sijui tukoje.Jakaya ni mtu na nusu, ila alichokufanyia 2015 sio poa kabisa.
JK ndiye katuachia huu msala wote na bado amerudi kwa mlango wa nyumaHuyu jamaa kwani aliwazaje kuongoza nchi iliyojaa ufisadi kiasi kile, lakinin ajira zilikuwepo za kutosha, mishahara ikawa inapanda kila mwaka, makodi na matozo ya kukomoana haya yalikuwa hayapo, Demokrasia ilitawala na watu walikuwa na pesa.
Tangu atoke wameingia hawa wawili ambao wanatuambia ufisadi umepungua lakini maisha tait, ajira hakuna, mishahara haipandi, tozo na kodi za kukomoana ndo usiseme..
Nadhani Jakaya anastahili heshima kubwa sana kt nchi hii