Ifike mahali wakomunist wetu wajipambanue tuu. Kuwa hawana Mungu anayeabudiwa na dini

Ifike mahali wakomunist wetu wajipambanue tuu. Kuwa hawana Mungu anayeabudiwa na dini

Jelamashele

Senior Member
Joined
Nov 12, 2022
Posts
120
Reaction score
53
Hivi wakomunist uchwara wanafahamu Karl Marx hakutaka Mungu. Na alichoanza kupambana nacho ni dini. Ndio maana akasema dini ni KILEVI CHA UBONGO.

Ukomunist ni mifumo haitaji Mungu. Kwa hiyo mkomunist hawezi kutuambia kuwa ana dini au anaamini Mungu.

Kuna dhana ya kuwa serikali haina dini ila watu wake Wana dini. Ni sahihi. Ila sio sahihi sana kuwa serikali ina Mungu ingawa watu wanaweza tofautiana ni mungu yupo.

Anyway ukiangalia vizuri ukomunist Wanayo dini na Wana Mungu. Ila sio Mungu anayeeleweka wajamaaa.

Ukiangalia katiba za kikomunist technically mwenyekiti wa chama tawala ndiye mungu. _
-Kapewa mamlaka yote ya kugawa risiki,
-kuamua hatuna ya kila mtu,
-jina lake halitajwi hivyo kama sio sifa,
  • kauli yake siku zote ni sahihi.
  • Sifa zotena ukuu ni zake katika taifa.
Karl mark alotegemea Imani kwa Mungu Mumbai ingekuwa imefutika. Cha kushangaza ukomunist na ujamaa unafikia mwisho. Kichwa kinakatwa kwa namna ya ajabu kule Ukraine.

Kaja Darwin na wengine. Ila hawajaweza kufanikiwa. Kuna jamaa mmoja ana Bart Herman msomi na mkosoaji makubwa wa Biblia. Kashirikia sana katika vitabu na hata sinema za kupinga Ukristu aduikubwa wa wajamaa na mifumo ya kidicteta duniani. Ni mshauri mkubwa wa kitabu na sinema ya d Vinci code.

Katika kipindi chake cha cha The Holy Season. Dstv pia walikuwa wakirusha.

Alisema wamejitahidi saa kukusanya ushahidi dhidi ya Imani ya Ukristu. Mara zote wakiwa wanaamini Wana ushahidi wa kutosha Sana kubomoa Ukristu. Anatole mtu mpuuzi tuu(kaita idiot) anakuja kupangua hoja kirahisi sana kama hawajafanya kitu.

Ni kipindi Tanzania isemwe rasmi ujamaa tulikosea njia na ni mifumo haramu. Watoto waanze kusema vitu vua maana na vyenye ukweli.

Mifumo ya ujamaa haijali uhai wala Mali. Kiasilia Mungu wao hajawqhi umbra na wenyewe zaidi ya kula Kodi za watu hawqjawahi ongeza utajiri wa nchi wala watu.

Matendo Yao no ya wivu na unaopelekea jaribu zaidi.
 
Hivi wajamaa wanaweza kujiita nouma Wana elimu kubwa, uzalendo na wabaya wa vita. Halafu katika kuelezwa umaskini wao wanasema wanaporwana beberu
 
Walokole ulevi wao umezidi hasa wanawake mpaka wanawadharau waume zao.
 
Walokole ulevi wao umezidi hasa wanawake mpaka wanawadharau waume zao.
Wacommumist warusi ni walevi , Ukraine walikuwa walitaka pombe na mademu kwa hiyo unataka tuambiaje. Kuwa walokole ndio tuwahukumu zaidi?
 
Sijui ...na ukomunist ni Kilevi cha nini?zidumu fikra za mwenyekiti na fikra za mwenyekiti siku zote ni sahihi?
Vyote ni vilevi mkuu. Na vyote vinategemeana.... Karl Max hapo, ana attempt kuswitch kilevi kimoja kwa kutumia kingine. Japo nia yake yaweza kuwa njema(in a perfect world), nafikiri imekuja kugeuzwa(in the real world) ikawa kitu tofauti na alichokusudia.
 
Vyote ni vilevi mkuu. Na vyote vinategemeana.... Karl Max hapo, ana attempt kuswitch kilevi kimoja kwa kutumia kingine. Japo nia yake yaweza kuwa njema(in a perfect world), nafikiri imekuja kugeuzwa(in the real world) ikawa kitu tofauti na alichokusudia.
Kipi sio Kilevi sasa katika vacuum yako? Ni atheism sasa sijui utaishije.
 
Kipi sio Kilevi sasa katika vacuum yako? Ni atheism sasa sijui utaishije.
Ukisema dini, inamaanisha religion.....hapo kuna utofauti kabisa pale unapoongelea "spirituality". Maanake hata atheism pia ni aina ya dini.
 
Ukisema dini, inamaanisha religion.....ambayo ni tofauti kabisa na ukisema "spirituality". Maanake hata atheism pia ni aina ya dini.
Another none sense kwa watu waliolegezwa na vielimu vya kuunga kma urasta na wengine wanajiita humanism. Kuna spirits nyingi. Utajuaj e ipi ni ipi ndio unafuata. You spirit kwa mediation by the way your spirit is not free. Free as an empty space.


Unakosa Mungu ni kukosa mwanga utabaki na Giza wakomunist walisingzia dini zimeua sana. Wao wamejaa zaidi,wamenyoa zaidi katika kulazimisha ucomunist na kuushikilia usianguke. Finally unaenda ku rest in peace dini inadunda.
 
Another none sense kwa watu waliolegezwa na vielimu vya kuunga kma urasta na wengine wanajiita humanism. Kuna spirits nyingi. Utajuaj e ipi ni ipi ndio unafuata. You spirit kwa mediation by the way your spirit is not free. Free as an empty space.


Unakosa Mungu ni kukosa mwanga utabaki na Giza wakomunist walisingzia dini zimeua sana. Wao wamejaa zaidi,wamenyoa zaidi katika kulazimisha ucomunist na kuushikilia usianguke. Finally unaenda ku rest in peace dini inadunda.
Kwenye discussions kama hizi, ukianza kutoa vicomment vya dharau, unakuwa hauna tofauti na hicho unachojaribu ku oppose wewe.... soma vizuri comment zangu za awali utaona ulichoandika hapa ni sawa na nilichokueleza. Sasa sjui kama unasoma au unataka tu kubishana.

Oh! Hata ni kama haujui spirituality ni nini maskini ya Mungu. Hiyo topic ya spirits nyingi, nani kakuuliza ziko ngapi?
 
Back
Top Bottom