Ifike mahali wakomunist wetu wajipambanue tuu. Kuwa hawana Mungu anayeabudiwa na dini

Ifike mahali wakomunist wetu wajipambanue tuu. Kuwa hawana Mungu anayeabudiwa na dini

Kuna wapo narrow minded wanaweza ongea ujinga mbele ya wenzao wakapeana support za kijinga.

Wakisikia wakatoliki Wana deal na mapadri washenzi wanapiga nyundo...sijui hawajaona ndio maana. Hadi walokole na wapenda wake wengi.

Cha kushangaza walokole NAO Wana kashfa Ila vikanisa vyao sio habari.



Waislam Wana wake 4 Ila kuna case za ulawiti ubakaji . Askari wa kirusi walevi na wabakaji jambo lipo kwa watu wote duniani tofauti ni usiri.


Jambo dhahiri ni kwamba tatizo no la kibidanu sio idadi ya wake au make mzuri au kutokuoa. Ila Imani moja tuu ndio inashambuliwa.
 
Kwenye discussions kama hizi, ukianza kutoa vicomment vya dharau, unakuwa hauna tofauti na hicho unachojaribu ku oppose wewe.... soma vizuri comment zangu za awali utaona ulichoandika hapa ni sawa na nilichokueleza. Sasa sjui kama unasoma au unataka tu kubishana.

Oh! Hata ni kama haujui spirituality ni nini maskini ya Mungu. Hiyo topic ya spirits nyingi, nani kakuuliza ziko ngapi?
Nitakupa hata forever halafu nione km utatoka hapo. Na hilo swags la spiritiality
 
Kwenye discussions kama hizi, ukianza kutoa vicomment vya dharau, unakuwa hauna tofauti na hicho unachojaribu ku oppose wewe.... soma vizuri comment zangu za awali utaona ulichoandika hapa ni sawa na nilichokueleza. Sasa sjui kama unasoma au unataka tu kubishana.

Oh! Hata ni kama haujui spirituality ni nini maskini ya Mungu. Hiyo topic ya spirits nyingi, nani kakuuliza ziko ngapi?
Nikuambie kitu. Nikikupa forever itakuwa hapa hapa. Nikuletee defition ya spirituality uone jinsi unajidanganya. Utarudi ktk habari zile zile ambazo zipo makundi mawili kinyume na dini na kuwa na dini.
 
Kasome some kwanza na ufanyie utafiti hizi mada zako maanake hata kudebate kwa pointi hujui...ni ubishi tu.
Ongea unachojua Acha ukauzu. Nikakusome ktk ubishi wako? Umejidai hapa kuwa mjuajia sasa. Inaniambia nikasome kitu hujui. Nani wa kusumbulia kikauzu? Naweza soma nisione unachosema na isiwe honest brought ku admit ukahamisha magoli
 
Ongea unachojua Acha ukauzu. Nikakusome ktk ubishi wako? Umejidai hapa kuwa mjuajia sasa. Inaniambia nikasome kitu hujui. Nani wa kusumbulia kikauzu? Naweza soma nisione unachosema na isiwe honest brought ku admit ukahamisha magoli
Even worse! Nini hii jameni.
 
Kasome some kwanza na ufanyie utafiti hizi mada zako maanake hata kudebate kwa pointi hujui...ni ubishi tu.
Wewe Una point gani nikupe forever. Kasoma maana ya and hominem... Utaona jinsi watu wasiojitambua au wanaojua hawana hoja wanavyoamua kuhamia kushambulia mtu na vionja ili kumshusha mtu mbele ya watu waqche kuangalia hoja seriously.
 
Wewe Una point gani nikupe forever. Kasoma maana ya and hominem... Utaona jinsi watu wasiojitambua au wanaojua hawana hoja wanavyoamua kuhamia kushambulia mtu na vionja ili kumshusha mtu mbele ya watu waqche kuangalia hoja seriously.
Wtf? This is exactly unachofanya wewe. Na ndio umeanza kutoa vicomment vya dharau badala ya kujibu kwa hoja....mpaka sasa hivi hujajibu kwa hoja. Unachofanya sasa hivi wanasaikolojia wanakiita "projection".
 
Wtf? This is exactly unachofanya wewe. Na ndio umeanza kutoa vicomment vya dharau badala ya kujibu kwa hoja....mpaka sasa hivi hujajibu kwa hoja. Unachofanya sasa hivi wanasaikolojia wanakiita "projection".
Ila Mimi nakukumbusha kurudi katik hoja huku majibu. Wewe tuu ndio unajifanya wenge limekutoa katika reli
 
Back
Top Bottom