Ifike wakati mambo ya Muungano yasijadiliwe kama turufu za wanasiasa, tuendako siko!

Ifike wakati mambo ya Muungano yasijadiliwe kama turufu za wanasiasa, tuendako siko!

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Tusipoziba ufa, tutajenga ukuta,

Ni busara shughuli na maswala ya muungano na tunu zake, yakatolewa nje, aidha yakawa siyo maswala ya kujadiliwa na wanasiasa wa vyama vya siasa vilivyopata usajili na kuandikishwa kama vyama vya kisasa, badala kuwepo na mipaka ya kiutaratibu maalumu juu ya wanasiasa na hoja zinazopaswa kujadiliwa wakiwa ndani ya vyama vyao baada tu ya kupata usajili, ifike mahala tuwe na mipaka, ifike pahala wanasiasa, wajadili zaidi juu ya hali bora za watanzania, kilimo bora, elimu bora, huduma bora za wafanyakazi, rushwa na ya aina hiyo!

-Maswala ya muungano yawe yakijadiliwa na kamati maalumu pekee itakayokuwa inajumuisha wajumbe maalumu toka bara na zanzibar! -

Na si suala la kujadiliwa hovyo hovyo! Pawepo na Senate yake maalumu yenye mamlaka hayo!
-Wenye madukuduku yao watakuwa wanayawakilisha kwenye Senate hiyo, kwa barua!
 
Tusipoziba ufa, tutajenga ukuta,
Ni busara shughuli na maswala ya muungano na tunu zake, yakatolewa nje, aidha yakawa siyo maswala ya kujadiliwa na wanasiasa wa vyama vya siasa vilivyopata usajili na kuandikishwa kama vyama vya kisasa, badala kuwepo na mipaka ya kiutaratibu maalumu juu ya wanasiasa na hoja zinazopaswa kujadiliwa wakiwa ndani ya vyama vyao baada tu ya kupata usajili, ifike mahala tuwe na mipaka, ifike pahala wanasiasa, wajadili zaidi juu ya hali bora za watanzania, kilimo bora, elimu bora, huduma bora za wafanyakazi, rushwa na ya aina hiyo!
Takataka
 
Tusipoziba ufa, tutajenga ukuta,
Ni busara shughuli na maswala ya muungano na tunu zake, yakatolewa nje, aidha yakawa siyo maswala ya kujadiliwa na wanasiasa wa vyama vya siasa vilivyopata usajili na kuandikishwa kama vyama vya kisasa, badala kuwepo na mipaka ya kiutaratibu maalumu juu ya wanasiasa na hoja zinazopaswa kujadiliwa wakiwa ndani ya vyama vyao baada tu ya kupata usajili, ifike mahala tuwe na mipaka, ifike pahala wanasiasa, wajadili zaidi juu ya hali bora za watanzania, kilimo bora, elimu bora, huduma bora za wafanyakazi, rushwa na ya aina hiyo!
-Maswala ya muungano yawe yakijadiliwa na kamati maalumu pekee itakayokuwa inajumuisha wajumbe maalumu toka bara na zanzibar! -
Na si suala la kujadiliwa hovyo hovyo! Pawepo na Senate yake maalumu yenye mamlaka hayo!
-Wenye madukuduku yao watakuwa wanayawakilisha kwenye Senate hiyo, kwa barua!
Naunga mkono hoja
 
Tusipoziba ufa, tutajenga ukuta,
Ni busara shughuli na maswala ya muungano na tunu zake, yakatolewa nje, aidha yakawa siyo maswala ya kujadiliwa na wanasiasa wa vyama vya siasa vilivyopata usajili na kuandikishwa kama vyama vya kisasa, badala kuwepo na mipaka ya kiutaratibu maalumu juu ya wanasiasa na hoja zinazopaswa kujadiliwa wakiwa ndani ya vyama vyao baada tu ya kupata usajili, ifike mahala tuwe na mipaka, ifike pahala wanasiasa, wajadili zaidi juu ya hali bora za watanzania, kilimo bora, elimu bora, huduma bora za wafanyakazi, rushwa na ya aina hiyo!
-Maswala ya muungano yawe yakijadiliwa na kamati maalumu pekee itakayokuwa inajumuisha wajumbe maalumu toka bara na zanzibar! -
Na si suala la kujadiliwa hovyo hovyo! Pawepo na Senate yake maalumu yenye mamlaka hayo!
-Wenye madukuduku yao watakuwa wanayawakilisha kwenye Senate hiyo, kwa barua!
hiyo fursa mbona ipo, ipo wizara mahususi inashughulika na mambo hayo nadhani yupo waziri Jafo pale, wanainchi wapeleke tu maoni na mapendekezo yao, yatapokelewa yatachakatwa na kufanyiwa kazi kadiri inavyoonekana inafaa 🐒

hata hivyo,
ni vizuri kuzingatia na kua makini na nia na dhamira za wanaolamika. wengi ni kwa maslahi yao binafsi ya kisiasa, wengine ni kweli wanabeba maoni ya wanainchi, na wengine ni vibaraka walotumwa na mabwenyenye kutoka ng'ambo kuja tu kuharibu kudhoofisha umoja imara sana na amani ya waTanzania 🐒
 
hiyo fursa mbona ipo, ipo wizara mahususi inashughulika na mambo hayo nadhani yupo waziri Jafo pale, wanainchi wapeleke tu maoni na mapendekezo yao, yatapokelewa yatachakatwa na kufanyiwa kazi kadiri inavyoonekana inafaa 🐒

hata hivyo,
ni vizuri kuzingatia na kua makini na nia na dhamira za wanaolamika. wengi ni kwa maslahi yao binafsi ya kisiasa, wengine ni kweli wanabeba maoni ya wanainchi, na wengine ni vibaraka walotumwa na mabwenyenye kutoka ng'ambo kuja tu kuharibu kudhoofisha umoja imara sana na amani ya waTanzania 🐒
Wizara hiyo ipo, facts, lakini kwa unyeti wa suala hili mkazo zaidi unahitajika ili kulilinda kwa Senate yake maalumu. Itakayokuwa chini ya rais wa "" jamuhuri ya muungano ya watu wa Tanzania.""
 
hiyo fursa mbona ipo, ipo wizara mahususi inashughulika na mambo hayo nadhani yupo waziri Jafo pale, wanainchi wapeleke tu maoni na mapendekezo yao, yatapokelewa yatachakatwa na kufanyiwa kazi kadiri inavyoonekana inafaa [emoji205]

hata hivyo,
ni vizuri kuzingatia na kua makini na nia na dhamira za wanaolamika. wengi ni kwa maslahi yao binafsi ya kisiasa, wengine ni kweli wanabeba maoni ya wanainchi, na wengine ni vibaraka walotumwa na mabwenyenye kutoka ng'ambo kuja tu kuharibu kudhoofisha umoja imara sana na amani ya waTanzania [emoji205]
Kama huna hoja Bora unyamaze
 
Kama huna hoja Bora unyamaze
mimi?
wewe uninyamazishe? 🤣

kirahisi tu ati bora unyamaze 🤣

unless unapata tabu sana kunielewa kwasabb ya maybe IQ issue, na labda ndio unapaswa kunyamaza ....

but myself,
si mchoyo na siwezi kubaki na ninaloamini kulisema bila kujali linakera au lunafurahisha au kuhuzunisha 🐒
 
Tusipoziba ufa, tutajenga ukuta,
Ni busara shughuli na maswala ya muungano na tunu zake, yakatolewa nje, aidha yakawa siyo maswala ya kujadiliwa na wanasiasa wa vyama vya siasa vilivyopata usajili na kuandikishwa kama vyama vya kisasa, badala kuwepo na mipaka ya kiutaratibu maalumu juu ya wanasiasa na hoja zinazopaswa kujadiliwa wakiwa ndani ya vyama vyao baada tu ya kupata usajili, ifike mahala tuwe na mipaka, ifike pahala wanasiasa, wajadili zaidi juu ya hali bora za watanzania, kilimo bora, elimu bora, huduma bora za wafanyakazi, rushwa na ya aina hiyo!
-Maswala ya muungano yawe yakijadiliwa na kamati maalumu pekee itakayokuwa inajumuisha wajumbe maalumu toka bara na zanzibar! -
Na si suala la kujadiliwa hovyo hovyo! Pawepo na Senate yake maalumu yenye mamlaka hayo!
-Wenye madukuduku yao watakuwa wanayawakilisha kwenye Senate hiyo, kwa barua!
Baada ya Lissu kupiga msumari wa moto kuhusu utata wa muungano naona akili za watawala zimekosa majibu na sasa zinafikiria kuwafunga midomo watu wasizidi kuongea.
Waache watu waseme, maana muungano ni mali ta watu wote.
 
Tusipoziba ufa, tutajenga ukuta,
Ni busara shughuli na maswala ya muungano na tunu zake, yakatolewa nje, aidha yakawa siyo maswala ya kujadiliwa na wanasiasa wa vyama vya siasa vilivyopata usajili na kuandikishwa kama vyama vya kisasa, badala kuwepo na mipaka ya kiutaratibu maalumu juu ya wanasiasa na hoja zinazopaswa kujadiliwa wakiwa ndani ya vyama vyao baada tu ya kupata usajili, ifike mahala tuwe na mipaka, ifike pahala wanasiasa, wajadili zaidi juu ya hali bora za watanzania, kilimo bora, elimu bora, huduma bora za wafanyakazi, rushwa na ya aina hiyo!
-Maswala ya muungano yawe yakijadiliwa na kamati maalumu pekee itakayokuwa inajumuisha wajumbe maalumu toka bara na zanzibar! -
Na si suala la kujadiliwa hovyo hovyo! Pawepo na Senate yake maalumu yenye mamlaka hayo!
-Wenye madukuduku yao watakuwa wanayawakilisha kwenye Senate hiyo, kwa barua!
Sijaelewa busara ya kuondoa majadiliano ya Muungano au mambo muhimu ya maisha ya wananchi kisiasa kutoka katika mijadala ya vyama. Huu Muungano unamatatizo makubwa kwasababu sababu za uwepo wake zimekosa nguvu ya hoja kwa sasa. Kuutibu lazima kujua chanzo na asili ya tatizo. Kuung',ang,ania katika hali yake ya sasa bila kutibu ni sawa na kupulizia kinyesi perfume badala ya kukiosha
 
hiyo fursa mbona ipo, ipo wizara mahususi inashughulika na mambo hayo nadhani yupo waziri Jafo pale, wanainchi wapeleke tu maoni na mapendekezo yao, yatapokelewa yatachakatwa na kufanyiwa kazi kadiri inavyoonekana inafaa 🐒

hata hivyo,
ni vizuri kuzingatia na kua makini na nia na dhamira za wanaolamika. wengi ni kwa maslahi yao binafsi ya kisiasa, wengine ni kweli wanabeba maoni ya wanainchi, na wengine ni vibaraka walotumwa na mabwenyenye kutoka ng'ambo kuja tu kuharibu kudhoofisha umoja imara sana na amani ya waTanzania 🐒
Hao ndio wanajitapa wametatua kero za muungano bila kusema hizo kero.
Kero kubwa ya muungano ni usiri.
 
Tusipoziba ufa, tutajenga ukuta,
Ni busara shughuli na maswala ya muungano na tunu zake, yakatolewa nje, aidha yakawa siyo maswala ya kujadiliwa na wanasiasa wa vyama vya siasa vilivyopata usajili na kuandikishwa kama vyama vya kisasa, badala kuwepo na mipaka ya kiutaratibu maalumu juu ya wanasiasa na hoja zinazopaswa kujadiliwa wakiwa ndani ya vyama vyao baada tu ya kupata usajili, ifike mahala tuwe na mipaka, ifike pahala wanasiasa, wajadili zaidi juu ya hali bora za watanzania, kilimo bora, elimu bora, huduma bora za wafanyakazi, rushwa na ya aina hiyo!
-Maswala ya muungano yawe yakijadiliwa na kamati maalumu pekee itakayokuwa inajumuisha wajumbe maalumu toka bara na zanzibar! -
Na si suala la kujadiliwa hovyo hovyo! Pawepo na Senate yake maalumu yenye mamlaka hayo!
-Wenye madukuduku yao watakuwa wanayawakilisha kwenye Senate hiyo, kwa barua!
Muungano unahusu watu sasa iweje usijadiliwe? Kuna nini mnachoficha ? Au kuna siri gani ? Jibuni hoja zinazoibuliwa kama mnauona ni mzuri elezeeni hayo mazuri watu wapime wenyewe
 
Hao ndio wanajitapa wametatua kero za muungano bila kusema hizo kero.
Kero kubwa ya muungano ni usiri.
fatilia vizuri bajeti ya wizara husika this time, unagundua hakuna usiri wowote ndani yake. Kero nyingi ziko solved 🐒
 
Back
Top Bottom