Ifike wakati mambo ya Muungano yasijadiliwe kama turufu za wanasiasa, tuendako siko!

Ifike wakati mambo ya Muungano yasijadiliwe kama turufu za wanasiasa, tuendako siko!

Hakuna haja ya senate.
Suala la muungano linahitaji kura ya maoni.
Wazanzibari wapige kudleza kama bado wanauhitaji muungano au lah.
Wabara ivo ivo.
 
Tusipoziba ufa, tutajenga ukuta,

Ni busara shughuli na maswala ya muungano na tunu zake, yakatolewa nje, aidha yakawa siyo maswala ya kujadiliwa na wanasiasa wa vyama vya siasa vilivyopata usajili na kuandikishwa kama vyama vya kisasa, badala kuwepo na mipaka ya kiutaratibu maalumu juu ya wanasiasa na hoja zinazopaswa kujadiliwa wakiwa ndani ya vyama vyao baada tu ya kupata usajili, ifike mahala tuwe na mipaka, ifike pahala wanasiasa, wajadili zaidi juu ya hali bora za watanzania, kilimo bora, elimu bora, huduma bora za wafanyakazi, rushwa na ya aina hiyo!

-Maswala ya muungano yawe yakijadiliwa na kamati maalumu pekee itakayokuwa inajumuisha wajumbe maalumu toka bara na zanzibar! -

Na si suala la kujadiliwa hovyo hovyo! Pawepo na Senate yake maalumu yenye mamlaka hayo!
-Wenye madukuduku yao watakuwa wanayawakilisha kwenye Senate hiyo, kwa barua!
Hao sisimizi Lissu, Jussa hakuna kitu wanaweza fanya zaidi ya kuropoka tu.

China pamoja na ukubwa wote ule bado inadai kuwa Taiwan, Hong-Kong na Tibet ni sehemu za nchi zao.

Wanachofanya ni kuwapa special autonomy tu. Of course autonomy ya Taiwan haiko sawa na Hong-Kong, na ya Hong-Kong nayo haiko sawa na Tibet.

Akina Lissu na Jussa wa Taiwan, Hong-Kong na Tibet wanalalamika kila siku juwa wanataka uhuru kamili. Na wanaungwa mkono na USA, UK, Germany etc.

Lakini waambie UK waiachie Scotland usikie muziki wao au USA waiachie Hawaii
 
Muungano unahusu watu sasa iweje usijadiliwe? Kuna nini mnachoficha ? Au kuna siri gani ? Jibuni hoja zinazoibuliwa kama mnauona ni mzuri elezeeni hayo mazuri watu wapime wenyewe
Ujadili wewe nani? Wewe utaishia kutawaliwa tu. Ni wapi uliona wananchi wanaamua mipaka ya nchi yao? Umezaliwa Tanzania na umeukuta muungano, utakufa na muungano utabaki.

Kama hutaki kafie mbali
 
Orodhesha changamoto zake hapo chini ⏬
1.mtanganyika haruhusiwi kuteuliwa Zanzibar lakini mzanzibari anaruhusiwa.mfano shaka na professor makame wameteuliwa kwenye sekta ambazo hazihusiani na Muungano.
1Mtanganyika haruhusiwkumiliki ardhi tofauti na mzanzibari anaruhusiwa kumiliki mahekali atakayo.
3.cha Tanganyika ni Cha wote lakini Cha Zanzibar ni Cha wazanzibar.mfano wizara ya madini ni ya Muungano lakini Zanzibar ilipogundua mafuta ikajitoa kwenye Muungano kuhusu mafuta.kwa kuanzia nimekupa hizo lakini zipo kero kama mia tatu za muungao
 
ikiwa unatamani kuskia unachotamani au kutarajia wewe kiwe ni jambo jema, lakini si lazima wengine wafikiri hivyo pia....

usipopenda kuskia au kujua usichokipenda, hilo linabaki jambo binafsi, lakin kwenye bajeti kila kitu kimeelezwa vyema sana na kinagaubaga na tunasonga mbele vizuri sana kuhusu muungano :NoGodNo:
Huumuungano imebaki kwenye makaratasi ni swala lamuda tu, sidhani Kama wewe unajua vizuri kuliko kina Butiku, Wariobana Dr. Salim waliokuwa kwenye time ya katiba na wakapendekeza serikali tatu
 
Huumuungano imebaki kwenye makaratasi ni swala lamuda tu, sidhani Kama wewe unajua vizuri kuliko kina Butiku, Wariobana Dr. Salim waliokuwa kwenye time ya katiba na wakapendekeza serikali tatu
wao ni raia, na mimi na wewe ni raia huru pia. sina haja ya kuishi kwenye maoni au mtazamo wa wegine..

na wanachojua zaid yangu nini au kipi? ama huo Muungano haupo kwenye katiba, upo majumbani mwao 🐒

ni kipi cha kutawala humu nchini ambacho hakipo kwenye makaratasi?

au katiba unayoijua wewe ipo kwenye jagi la maji 🤣

by the way kua kwenye tume sio turufu ya kua unajua mambo zaid ya wengineo...

mimi ni kiongozi wa wanainchi, haina maana hakuna kiongozi mwenye uwezo au anae jua vitu zaid yangu. wapo, but this is my time, kwa Neema na baraka za Mungu 🐒
 
wao ni raia, na mimi na wewe ni raia huru pia. sina haja ya kuishi kwenye maoni au mtazamo wa wegine..

na wanachojua zaid yangu nini au kipi? ama huo Muungano haupo kwenye katiba, upo majumbani mwao 🐒

ni kipi cha kutawala humu nchini ambacho hakipo kwenye makaratasi?

au katiba unayoijua wewe ipo kwenye jagi la maji 🤣

by the way kua kwenye tume sio turufu ya kua unajua mambo zaid ya wengineo...

mimi ni kiongozi wa wanainchi, haina maana hakuna kiongozi mwenye uwezo au anae jua vitu zaid yangu. wapo, but this is my time, kwa Neema na baraka za Mungu 🐒
Wenzako wameishi kwenye huo muungano Tena wakiwa kwenye nafasi ya kufanya maamuzi hiyo ndio tofauti ya wao na wewe.
Kamamuungano wanakujua vizuri mmoja alikuwa katibu wa rais wa kwanza ambaye ni mwasisi wa muungano wakati wengine walikuwa mawaziri wakuu hivyo kwa nafasi zao wanajua zaidi Nini kinaendeles.
Je wewe kwanafasi yako unaweza kujua zaidi yao.
 
Tusipoziba ufa, tutajenga ukuta,

Ni busara shughuli na maswala ya muungano na tunu zake, yakatolewa nje, aidha yakawa siyo maswala ya kujadiliwa na wanasiasa wa vyama vya siasa vilivyopata usajili na kuandikishwa kama vyama vya kisasa, badala kuwepo na mipaka ya kiutaratibu maalumu juu ya wanasiasa na hoja zinazopaswa kujadiliwa wakiwa ndani ya vyama vyao baada tu ya kupata usajili, ifike mahala tuwe na mipaka, ifike pahala wanasiasa, wajadili zaidi juu ya hali bora za watanzania, kilimo bora, elimu bora, huduma bora za wafanyakazi, rushwa na ya aina hiyo!

-Maswala ya muungano yawe yakijadiliwa na kamati maalumu pekee itakayokuwa inajumuisha wajumbe maalumu toka bara na zanzibar! -

Na si suala la kujadiliwa hovyo hovyo! Pawepo na Senate yake maalumu yenye mamlaka hayo!
-Wenye madukuduku yao watakuwa wanayawakilisha kwenye Senate hiyo, kwa barua!
Hoja nzuri ila siyo rahisi- tuwaache wajadili ila tuwapuuze kama ambayo tumefanya kwa miaka 60 yote ya uhai wa muungano wetu
 
Back
Top Bottom