Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ukifa Leo YouTube ipo itawasimulia.Mungu akinijaalia uhai nitakuja kuwasimulia wajukuu zangu juu ya umahiri wa huyu Mhispania.
Klop tu ndio wa kumsumbua ila TT Hana hamu kabisa na pep
Imekuuma churaUmechambua vizuri kasoro yako ni ulipo mfananisha pep na kikopo wa makolo
NakubaliPep epl atasumbua sana
Ubora wake unaendana pia na financial power. Muone Conte anavyohangaika........Pep kwangu anabaki kocha bora jamaa anajua kukunjua timu tangu yuko bayern, barcelona na sasa city anajitajidi ku coach.
Sio kocha yoyote ya kukaa meza moja na pepe kwa makocha wa kisasa
Ubora wake unaendana pia na financial power. Muone Conte anavyohangaika........
Rekodi ya man cty ya pep vs liver ya klop ikoje?Huyo liverpool mwenyewe anapasuka mbele ya Sir Pep Guardiola
Lete takwimu klopp ndio kocha anayemuumiza kichwa guardiola.Huyo liverpool mwenyewe anapasuka mbele ya Sir Pep Guardiola
Mbona unaweka limit tangu Barcelona,Kwan klop ana CL ngapi kabla hajatua Liverpool [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hivi Pep ana ucl cup ngapi tangu atoke barca
Pep ni failure tu amezoea kubeba mickey mouse cups tu UEFA haiwezi labda amsajili MessiHivi Pep ana ucl cup ngapi tangu atoke barca