The celebrity
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,972
- 559
Kumheshimu ndio kufanya nn?? Ye aendelee kufanya kazi na alete tuzo tu Mambo ya heshima kina alikiba wanayalilia diamond heshima zinamfataHuyu dada hajawahi kukwama kwenye kutoa ngoma kali zenye ujazo na ujumbe conki huku zikiambatana na beats kali na melody classic. Sio kuwajaza misifa akina zuchu kila uchwao kwa promo za kuforce
Duuh hii ngoma mpya ya Can dance inanipa burudani sana pande hizi za bukoba mjini hongera sana maua sama
Sa broh promo za wcb kwa zuchu zinamkwamisha vipi mauasama? Kama kazi Ni nzuri itaonekana sioni haha ya kuja kumtetea huku kwa maelezo marefumkuu langu ni kueleza burudani kali anazozitoa huyu mrembo aliyepo kwenye hii tasnia iliyojaa vijembe sana huku tukiendekeza ushabiki wa hovyo hovyo wa mautimu wcb mara litimu alikiba mara tim konde huku kukiwa na wasanii wanaoonekana kuwakata fimbo hao wazee wa promo za kuforce
Hapa tu ndio huwa naifurahia jf kujifanya hatuwajui wasanii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndo nani uyo
SUBIRI KIDOGO
Umenena vyema kakaYah ni mkali sana sana tu.
Ila ifike muda tuwe tunasifu bila kumponda mwingine maana kila mmoja wao anatafuta ugali kwa style yake anayoona itamfikisha. tunaweza kuwa na akina maua sama wengi na tukawasupport wote.
Umesema vyema, hawa ndio wanasababisha u teamRiz king Maua sama yupo vizuri Sana wimbo wake wa "niteke" ninaukubali Sana Binafsi ndio wimbo wangu Bora kuliko wimbo wowote uliotoka miaka 2 iliyopita ila mzee baba unakosea kuingiza chuki zisizo za msingi Hiv kulikuwa na haja gani ya kumuingiza Zuchu Wakati Uzi unamuhusu maua sama vitu Kama hivi vinafanya uteam uzidi alafu baadae maua sama akianza kuchukiwa unaanza kupiga mayowe.Kila msanii ana taste yake na kila mtu ana liziki yake
Umeandika pumba Sana na ndio maana hata like huna alafu unaonesha hata mziki ujui na ufuatiliiZuchu hajijui na akijijua anasauti nzuri sana
Lingine zuchu sio msani wakuimba nyimbo anazoimba sasa na daimond hamjulii kabisa kingine.
Angekuwa mchaguzi wa nyimbo zake ni Lady Jay dee basi angetoka sana angeeleweka .
Ila kwa sababu yupo na mondi na mondi watu hawamjui hatakagi watu wampite.
So soon ZUCHU ni X .
NA mtakuja kuniambia tu angalia alivyomfanya mavoko, nitarudi,wema sepetu.
Walionusurika ni hamisa mobeto,zari,tanasha.
Wengine nope hawajanusurika.
Maisha nikuwa makini unacheza kiujanja sasa ile tamasha la zuchu ,zuchu kaambulia gari seriously ni mabillioni mangapi mondi kapata .
Halafu kila msaani anayetoka nje au anayeingia ndani ya nchi anataja tu mondi,mbona sio wale ambao wamesainishwa na yeye?
Kama Rayvanny na wengine???
Maisha kila mtu anataka kupata ugali wake ila ukishaenda kwa mondi life is zero.
Harmonize aliponea tu chupu chupu .
Unasainiwa mahali halafu kimya.
Unaanza na makeke halafu zeee.
Kama huyo kijana mdogo wa juzi kimya .
Nyota zeroo.
Tuseme ukweli acha tu tuseme ni bora kuanza chini uje juu maana ukianza juu chini ukarudi ni basi
Itoshe kusema Maua sama sio mzuri wa sura ila ana sauti nzuriMaua Sama ni best female artist kwa sasa bongo kwa maoni yangu!Binti hana makuu ila kanapenda kuimba kukazwakazwa mpaka huwa nakatamani japo sura yake huwa haina msimamo!Kuna kipindi kanaonekana kazuri na kanavutia ila kuna kipindi kanaonekana hakana mvuto!
Sauti yake hapa bongo ni adimu,labda kwa mbali Ruby!
Yaani umeandika maneno mengii alafu Ni utumbo tu,[emoji51][emoji51] kwahy Hilo tamasha aliliandaa zuchu peke ake? We unauhakika gani ameambulia gari tu au uliambiwa Ile gari amepewa kwaajili ya Ile show? Acha ujinga kijana usijifanye unajua maisha ya wa2 kuzidi maisha yako ww, swala la kutajwa diamond kwani hao wasanii aliwalazimisha wamtaje? Kwann rema ameshindwa kumtaja Rayvanny na amefanya nae kazi kwahy hamjui? Acha ujinga au Kama huwezi kuuacha usiuonyeahe mbele za wa2Zuchu hajijui na akijijua anasauti nzuri sana
Lingine zuchu sio msani wakuimba nyimbo anazoimba sasa na daimond hamjulii kabisa kingine.
Angekuwa mchaguzi wa nyimbo zake ni Lady Jay dee basi angetoka sana angeeleweka .
Ila kwa sababu yupo na mondi na mondi watu hawamjui hatakagi watu wampite.
So soon ZUCHU ni X .
NA mtakuja kuniambia tu angalia alivyomfanya mavoko, nitarudi,wema sepetu.
Walionusurika ni hamisa mobeto,zari,tanasha.
Wengine nope hawajanusurika.
Maisha nikuwa makini unacheza kiujanja sasa ile tamasha la zuchu ,zuchu kaambulia gari seriously ni mabillioni mangapi mondi kapata .
Halafu kila msaani anayetoka nje au anayeingia ndani ya nchi anataja tu mondi,mbona sio wale ambao wamesainishwa na yeye?
Kama Rayvanny na wengine???
Maisha kila mtu anataka kupata ugali wake ila ukishaenda kwa mondi life is zero.
Harmonize aliponea tu chupu chupu .
Unasainiwa mahali halafu kimya.
Unaanza na makeke halafu zeee.
Kama huyo kijana mdogo wa juzi kimya .
Nyota zeroo.
Tuseme ukweli acha tu tuseme ni bora kuanza chini uje juu maana ukianza juu chini ukarudi ni basi
Unajidai tu hapa ila hujijui kama zuchu ukija kujijua muda umeenda wa maisha zaidi ya nisamehe anaimba pumba nafuu hata huu wa uchaguzi hapo WCB atapoteza dira kama wewe umeshapoteza diraUmeandika pumba Sana na ndio maana hata like huna alafu unaonesha hata mziki ujui na ufuatilii
Hahaha bora angekaa kimya afiche ujinga wakeUmeandika pumba Sana na ndio maana hata like huna alafu unaonesha hata mziki ujui na ufuatilii
kuandika tu shida.Unajidai tu hapa ila hujijui kama zuchu ukija kujijua muda umeenda wa maisha zaidi ya nisamehe anaimba pumba nafuu hata huu wa uchaguzi hapo WCB atapoteza dira kama wewe umeshapoteza dira
Hakuna msanii wa kike anayemzidi huyu dada kiuwezo kwa sasa bongo IMO
Wapi kumtetea mwanaume mwenzako hiyo ni umelogwa unahitaji maombi mazito.kuandika tu shida.