Ifikie muda tumheshimu Maua Sama kama best female musician hapa Bongo

Ifikie muda tumheshimu Maua Sama kama best female musician hapa Bongo

Huyu dada hajawahi kukwama kwenye kutoa ngoma kali zenye ujazo na ujumbe conki huku zikiambatana na beats kali na melody classic. Sio kuwajaza misifa akina zuchu kila uchwao kwa promo za kuforce

Duuh hii ngoma mpya ya Can dance inanipa burudani sana pande hizi za bukoba mjini hongera sana maua sama
Kumheshimu ndio kufanya nn?? Ye aendelee kufanya kazi na alete tuzo tu Mambo ya heshima kina alikiba wanayalilia diamond heshima zinamfata
 
mkuu langu ni kueleza burudani kali anazozitoa huyu mrembo aliyepo kwenye hii tasnia iliyojaa vijembe sana huku tukiendekeza ushabiki wa hovyo hovyo wa mautimu wcb mara litimu alikiba mara tim konde huku kukiwa na wasanii wanaoonekana kuwakata fimbo hao wazee wa promo za kuforce
Sa broh promo za wcb kwa zuchu zinamkwamisha vipi mauasama? Kama kazi Ni nzuri itaonekana sioni haha ya kuja kumtetea huku kwa maelezo marefu
 
Yah ni mkali sana sana tu.
Ila ifike muda tuwe tunasifu bila kumponda mwingine maana kila mmoja wao anatafuta ugali kwa style yake anayoona itamfikisha. tunaweza kuwa na akina maua sama wengi na tukawasupport wote.
Umenena vyema kaka
 
Riz king Maua sama yupo vizuri Sana wimbo wake wa "niteke" ninaukubali Sana Binafsi ndio wimbo wangu Bora kuliko wimbo wowote uliotoka miaka 2 iliyopita ila mzee baba unakosea kuingiza chuki zisizo za msingi Hiv kulikuwa na haja gani ya kumuingiza Zuchu Wakati Uzi unamuhusu maua sama vitu Kama hivi vinafanya uteam uzidi alafu baadae maua sama akianza kuchukiwa unaanza kupiga mayowe.Kila msanii ana taste yake na kila mtu ana liziki yake
Umesema vyema, hawa ndio wanasababisha u team
 
Katu katu,Main chick,Nakuelewa,Bounce,Kaziandika Tommy flavour... But Maua anajua kuimba sana na ana saut kinyama ila sio muandishi mkali wa ngoma..But namkubali
 
Huwa sipendi kumskiliza akiwa kwenye interview,, Anabagua maswali sometimes anajifanya hajaskia swali,,mala aweke mzaha huku presenter yuko serious na swali,
 
Zuchu hajijui na akijijua anasauti nzuri sana
Lingine zuchu sio msani wakuimba nyimbo anazoimba sasa na daimond hamjulii kabisa kingine.
Angekuwa mchaguzi wa nyimbo zake ni Lady Jay dee basi angetoka sana angeeleweka .
Ila kwa sababu yupo na mondi na mondi watu hawamjui hatakagi watu wampite.
So soon ZUCHU ni X .

NA mtakuja kuniambia tu angalia alivyomfanya mavoko, nitarudi,wema sepetu.

Walionusurika ni hamisa mobeto,zari,tanasha.
Wengine nope hawajanusurika.

Maisha nikuwa makini unacheza kiujanja sasa ile tamasha la zuchu ,zuchu kaambulia gari seriously ni mabillioni mangapi mondi kapata .
Halafu kila msaani anayetoka nje au anayeingia ndani ya nchi anataja tu mondi,mbona sio wale ambao wamesainishwa na yeye?
Kama Rayvanny na wengine???
Maisha kila mtu anataka kupata ugali wake ila ukishaenda kwa mondi life is zero.

Harmonize aliponea tu chupu chupu .
Unasainiwa mahali halafu kimya.
Unaanza na makeke halafu zeee.
Kama huyo kijana mdogo wa juzi kimya .
Nyota zeroo.
Tuseme ukweli acha tu tuseme ni bora kuanza chini uje juu maana ukianza juu chini ukarudi ni basi
Umeandika pumba Sana na ndio maana hata like huna alafu unaonesha hata mziki ujui na ufuatilii
 
Maua Sama ni best female artist kwa sasa bongo kwa maoni yangu!Binti hana makuu ila kanapenda kuimba kukazwakazwa mpaka huwa nakatamani japo sura yake huwa haina msimamo!Kuna kipindi kanaonekana kazuri na kanavutia ila kuna kipindi kanaonekana hakana mvuto!
Sauti yake hapa bongo ni adimu,labda kwa mbali Ruby!
Itoshe kusema Maua sama sio mzuri wa sura ila ana sauti nzuri
 
Zuchu hajijui na akijijua anasauti nzuri sana
Lingine zuchu sio msani wakuimba nyimbo anazoimba sasa na daimond hamjulii kabisa kingine.
Angekuwa mchaguzi wa nyimbo zake ni Lady Jay dee basi angetoka sana angeeleweka .
Ila kwa sababu yupo na mondi na mondi watu hawamjui hatakagi watu wampite.
So soon ZUCHU ni X .

NA mtakuja kuniambia tu angalia alivyomfanya mavoko, nitarudi,wema sepetu.

Walionusurika ni hamisa mobeto,zari,tanasha.
Wengine nope hawajanusurika.

Maisha nikuwa makini unacheza kiujanja sasa ile tamasha la zuchu ,zuchu kaambulia gari seriously ni mabillioni mangapi mondi kapata .
Halafu kila msaani anayetoka nje au anayeingia ndani ya nchi anataja tu mondi,mbona sio wale ambao wamesainishwa na yeye?
Kama Rayvanny na wengine???
Maisha kila mtu anataka kupata ugali wake ila ukishaenda kwa mondi life is zero.

Harmonize aliponea tu chupu chupu .
Unasainiwa mahali halafu kimya.
Unaanza na makeke halafu zeee.
Kama huyo kijana mdogo wa juzi kimya .
Nyota zeroo.
Tuseme ukweli acha tu tuseme ni bora kuanza chini uje juu maana ukianza juu chini ukarudi ni basi
Yaani umeandika maneno mengii alafu Ni utumbo tu,[emoji51][emoji51] kwahy Hilo tamasha aliliandaa zuchu peke ake? We unauhakika gani ameambulia gari tu au uliambiwa Ile gari amepewa kwaajili ya Ile show? Acha ujinga kijana usijifanye unajua maisha ya wa2 kuzidi maisha yako ww, swala la kutajwa diamond kwani hao wasanii aliwalazimisha wamtaje? Kwann rema ameshindwa kumtaja Rayvanny na amefanya nae kazi kwahy hamjui? Acha ujinga au Kama huwezi kuuacha usiuonyeahe mbele za wa2
 
Umeandika pumba Sana na ndio maana hata like huna alafu unaonesha hata mziki ujui na ufuatilii
Unajidai tu hapa ila hujijui kama zuchu ukija kujijua muda umeenda wa maisha zaidi ya nisamehe anaimba pumba nafuu hata huu wa uchaguzi hapo WCB atapoteza dira kama wewe umeshapoteza dira
 
Kuna mtu anaitwa Vanessa Mdee yuko underrated sana ila kiukweli kaipigania sana Bongo Fleva kwa njia zake mwenyewe, Japo kashakata tamaa ya kuendelea na Music. One day watamuelewa tu huyu binti.
 
Kuna ule aliimba na Ben Paul unaitwa that love. Ile ngoma ni shidah
 
Unajidai tu hapa ila hujijui kama zuchu ukija kujijua muda umeenda wa maisha zaidi ya nisamehe anaimba pumba nafuu hata huu wa uchaguzi hapo WCB atapoteza dira kama wewe umeshapoteza dira
kuandika tu shida.
 
Back
Top Bottom