Hawa jamaa na system yao,hawakujipanga kiukweri...!nilianz kuomb kweny system...wakazngua,nkawafata zaid ya mara 3...naona wananizngua tu mpaka nkakata tamaa ya kuwafata....ila nkakaa nikawa nachunguliachngulia kila sku kweny system nkaona control number imkuja nkalipia 20,000 chap nkapata.
Mbona haujaomba kujiunga na chuo apoNilitumiwa ivi nilivo omba chuo yAan ata cjaerewa ndo nimekubakuwa mana View attachment 1607350
Hapo wamekuchagua kwa ujanjaMbona haujaomba kujiunga na chuo apo
Mkuu iwe muda wa udahili umepita au ahujapita, hakuna chuo kinaweza kumbakisha mwanafunzi aliyemaliza Diploma kuendelea hapo kusoma shahada ya kwanza bila kuthibitishwa na TCU ambao wanategemea uthibitisho kutoka NACTE. Story nyingine sio za kweli.Eeh nasikia wanafanya hivi ili uendelee hapohapo yaan muda wa udahili ukiisha wanakwambia uendelee chuon humohumo kwahy wanakulazimisha usome hapo wanazingua kwel yaan
Tambua kuwa wataalamu wa IT wanauwezo wa kukutafutia AVN Kama utawapa datail zako za kitaaluma!!!!Mkuu iwe muda wa udahili umepita au ahujapita, hakuna chuo kinaweza kumbakisha mwanafunzi aliyemaliza Diploma kuendelea hapo kusoma shahada ya kwanza bila kuthibitishwa na TCU ambao wanategemea uthibitisho kutoka NACTE. Story nyingine sio za kweli.
Duuuuu jamaq we nomaHapo wamekuchagua kwa ujanja
Du! kumbe wenzngu na mimi ndo wanahangaika huko NACTE!Tambua kuwa wataalamu wa IT wanauwezo wa kukutafutia AVN Kama utawapa datail zako za kitaaluma!!!!
ExactlyDu! kumbe wenzngu na mimi ndo wanahangaika huko NACTE!