afu ww mbrazil achana na mm eti unasema umenizoea,umezioaje ww kjana wa kizazi cha mulugo,mnaleta ishu zenu za kishamba unadhan uko facebook au twitter,mm najaribu kuwaelezea madogo wa first year kuwa kigamboni ni sehemu hatari sana kwa usalama wa wanachuo na mali zao,afu unaniita kilaza,poa ukikua utaacha utoto wako huo
Xaxa mkuu,hebu tutaftie taarifa ya kuwa tunaanza lini kuripot hapo chuo
mm dar mwenyeji sana kwahyo nakujua vizuri sana,au una hosteli yako pale kigamboni unawapigia debe pale,bado nawaasa madogo wa first year kuwa kigamboni ni sehemu hatari sana kwa wanachuo especially IFM,so kuna mitaa mingi sana DSMKigamboni kwa sasa hali ni shwari baada ya wanafunzi kuandamana mkuu.
mm dar mwenyeji sana kwahyo nakujua vizuri sana,au una hosteli yako pale kigamboni unawapigia debe pale,bado nawaasa madogo wa first year kuwa kigamboni ni sehemu hatari sana kwa wanachuo especially IFM,so kuna mitaa mingi sana DSM
It's usual in Higher learning insitutions.
afu ww mbrazil achana na mm eti unasema umenizoea,umezioaje ww kjana wa kizazi cha mulugo,mnaleta ishu zenu za kishamba unadhan uko facebook au twitter,mm najaribu kuwaelezea madogo wa first year kuwa kigamboni ni sehemu hatari sana kwa usalama wa wanachuo na mali zao,afu unaniita kilaza,poa ukikua utaacha utoto wako huo
Wewe jamaa nimekufuatilia kwa muda mrefu sana....yaani unapenda mabishano ya chuo vibaya mno,kichwani mwako unafikiri udsm ndo kila kitu...jipange sana wewe boya huu si muda wa kushindania ujinga
utakoma kama hukuchaguliwa UD,boya mwenyewe mm nmejipanga vizuri sana tofauti unavyofikiria
"lecturers wanajisevia.." hii kitu ni very serious! how extent is this issue??
Bado hawajatoa tarehe husika ya ku report ila nadhani ni tar 15
mm dar mwenyeji sana kwahyo nakujua vizuri sana,au una hosteli yako pale kigamboni unawapigia debe pale,bado nawaasa madogo wa first year kuwa kigamboni ni sehemu hatari sana kwa wanachuo especially IFM,so kuna mitaa mingi sana DSM
Ngoja baada ya miaka 4 ndo tutajua nani kasoma chuo bora, nyi mnadhani chuo ndo kinakupa maisha bora
Kaka hawa watu mi nawaangalia,ipo siku wataelewa tu kuwa wanaongeaa pumba
tremendous tragedy indeed! only at IFM I think! is it not??Lecturers have students' academic life on the palm of their hands that's why they do whatever they like...it's so tragic.
That is good news! inawezekana bado utakuwepo lakini ule wa hali ya chini.. hii ni mbaya sana, sasa mwalim akitembea na mwanafunzi anataka aitwe nani "mwalim au honey" !!!!Pengine huko nyuma yaani zamani; siku hizi huo mchezo haupo tena kwani Governing Council ya sasa ni wakali kweli kweli kuhusiana na utovu wa nidhamu huo!! Mwalimu mmoja kisha fukuzwa kazi!!!