Zeddicus
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 627
- 535
- Thread starter
- #21
afu ww mbrazil achana na mm eti unasema umenizoea,umezioaje ww kjana wa kizazi cha mulugo,mnaleta ishu zenu za kishamba unadhan uko facebook au twitter,mm najaribu kuwaelezea madogo wa first year kuwa kigamboni ni sehemu hatari sana kwa usalama wa wanachuo na mali zao,afu unaniita kilaza,poa ukikua utaacha utoto wako huo
Kigamboni kwa sasa hali ni shwari baada ya wanafunzi kuandamana mkuu.