IFM the best place to be

Kama kweli umemaliza na uko kazini naomba unijibu!!! IFM ni chuo kikuu au ni TAASISI??

Chuo kikuu chochote ni taasisi kama taasisi nyingine za serikali sema yenyewe inajishuhulisha na elimu; sijui unamaana gani kusema IFM ni chuo kikuu au taasisi!?
 
Daah huyu jamaa ndie alienifanya nipende na kufaulu business law miaka ya 2005, ni bonge la mwalimu nadhani tanzania hakuna kwa upeo wangu.

Kalikua kanabanaga "A"s....hahhaha mwishoni kalikua kanaachia tena kalikua kashachokaga kupigwa dongo na umma wa IFM...dah!! zilipendwa zina raha zake ukizikumbukia...
 
kama kweli umemaliza na uko kazini naomba unijibu!!! Ifm ni chuo kikuu au ni taasisi??
huu ndio moja ya ujinga wako toka nimekuona humu jf .yaani idiotic mind never change its like a pig in the pit
 
sasa mbona elimu yako haijakusaidia..? mambo ya kusifia chuo ni ya ki-zamani, badilika kijana! wewe ulishawahi kusikia watu waliosoma HAVARD UNIVERSITY wanakisifia chuo chao kwenye social networks? acha ujinga wewe,
hii kweli kabisa mkuu.kibaya chajiuza ,kizuri chatulia
 
Ok,kumbe bado ni institute nilidhani kishakuwa university,kwi kwi kwi kwi kwi..............!
Usibonge kabla haujajipanga utachekwa...... hebu google uangalie rank za vyuo bora kwa sasa Halafu uniambie MIT ni cha ngapi? NB:MIT sio university ni institute
 
Wataalam wengi wanaishia kuwa macashier...sijaona chuo cha maana Tanzania,zaidi ya UDSM
 
Usibonge kabla haujajipanga utachekwa...... hebu google uangalie rank za vyuo bora kwa sasa Halafu uniambie MIT ni cha ngapi? NB:MIT sio university ni institute

Acha kusifia upuuzi we mburula,nichoshe vidole vyangu kuangalia huo upuuzi,kwa akili yako unafikiri nilikua sijui IFM ni Institute most of you mliosoma hapo mmeishia kuwa wahasibu wa PETROL STATIONS(SHELI)..............!
 

Mr abdu yupo..uyo baba alinifanya nijue hesabu..mr abdul ni noumer
 
na ww kobilo una akili mgando huu c muda wa kucfia vyuo. jenga upeo wako kjana
 
Hivi Ifm si ndipo wanaendaga failures?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…