Iftar ya WCB jana

Iftar ya WCB jana

Jamaa anaweza ishi maisha marefu .Pamoja na yote anarizika sana na maisha yake.Halafu ni Care free.Watu wa design hiyo huwa wanaishi sana!
Kwakweli, I wish namimi ningekuwa na moyo kama wake. Yaani unaweza kumshangaa anawezaje kufanya kitu ambacho kila mtu anakiona cha kipumbavu kwa umri wake ila yeye anaona kawaida tu na wala hajali[emoji16]
 
Wema akiitwa kwenye sherehe za wcb anakuwa wa kwanza ana kiherehere kweli
 
Back
Top Bottom