Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,643
- Thread starter
-
- #21
Namuombea ruhusa Nicas Mtei,kwa sababu nina mchakato wa kwenda kwa Baba V kuandikisha ndoa yangu na Zion Daughter....samahani kwa hilo...
nashukuru kwa hilo mamndenyiKwa kunipa kamati ya chakula una maana nitoe huduma high table au nisimamie maakuli?
nitahakikisha maharusi hasa bw harusi amepata lishe yakutosha ili usije ukaibuka na
malalamiko ya ukosefu wa nguvu.
Na ndoa mimi ndie nitakaeifungisha
Mhhh mbona loya @ruttashobolwa hajatualika kwenye huu mnuso aise
husbnd 2 be yupo busy kulingana na kazi yake, majukumu imebidi aniachie mmMh!
Kutangaza uchumba hadi ndoa imekuwa jukumu la mwanamke toka lini?
BTW
I wish you all the best,naomba jukumu la kumuogesha bibi harusi!
Analog to Digital umenisoma? 2012 na kuludi nyuma ilikua ni wanaume na 2013 ni wana wake
Haki sawa kwa wote..Maazimio ya Beijing
Ninaomba mwongozo!!
Hzi ndoa za humu huwa sizielewi. Zikoje?
Kwa kunipa kamati ya chakula una maana nitoe huduma high table au nisimamie maakuli?
nitahakikisha maharusi hasa bw harusi amepata lishe yakutosha ili usije ukaibuka na
malalamiko ya ukosefu wa nguvu.
Gari lipi sasa utalitumia la maharusi? Hummer la Bishanga limousine ya Madame B lamborgini ya Erickb52 ama staret ya Marry Hunbig?
Kwa kunipa kamati ya chakula una maana nitoe huduma high table au nisimamie maakuli?
nitahakikisha maharusi hasa bw harusi amepata lishe yakutosha ili usije ukaibuka na
malalamiko ya ukosefu wa nguvu.
MWENYEKITI WA KAMATI:BABA V,MSAIDIZI WAKE MZABZAB!
KATIBU WA KAMATI: JUDGEMENT.MSAIDIZI WAKE NI DONN!
MTUNZA FEDHA: NDUKI,MSAIDIZI WAKE NI SLAVE!
MAJUKUMU:
MAPAMBO: Dena amsi &cacico
CHAKULA: Mamndenyi &Mwali
VINYWAJI: Nduki,Arushaone,Noahism,na Chilli
USAFIRI: Boflo,Nicas Mtei,Kaka kiiza,the secretary na The boss
STAREHE NA UPAPARAZI: Erickb52 na bishanga(kukusanya habari na matukio yatakayojiri)
FLOOR MANAGER: Asprin
flower girls:
- preta
-cielo
-smile
-arabela
-nicole
-paloma
-smile
hawa watakua mbele ya maharusi wakiongozwa na dada wa bi harus FIRST LADY na CHAMINGLADY!
imebidi kupanga mijukumu kabisa maana tuna muda mchache kufikia shughuli yenyewe,vipingamizi vilikua vingi!
KIPIPI utakua na jukuma la kuendesha maharusi!
EXCELLENT,KILITIME,GAZETI,CHARDAMS,CHIMBUVU na MTAMBUZI mtaendesha magari yatakayokuepo ya kubeba wazazi,ndugu,jamaa na marafiki!
mambo mengine kamati watamalizia:
asanteni na karibuni sana!
passion lady ,nashukuru m kwa nafasi uliyonipa ila kutokana na uwingi wa majukumu naomba nafasi yangu aishike bwana mdogo wangu Judgement asaidiane na mzabzab, ila angalizo.. huyu mzabzab angalia akipata kitu cha kugegeda anaweza akaacha shughuli akaenda kugegeda mtu.....