Ifuatayo ni kamati ya harusi yangu mm p.l na huby wangu ruttashobolwa!

Ifuatayo ni kamati ya harusi yangu mm p.l na huby wangu ruttashobolwa!

Kwa kunipa kamati ya chakula una maana nitoe huduma high table au nisimamie maakuli?
nitahakikisha maharusi hasa bw harusi amepata lishe yakutosha ili usije ukaibuka na
malalamiko ya ukosefu wa nguvu.
nashukuru kwa hilo mamndenyi
 
Mh!
Kutangaza uchumba hadi ndoa imekuwa jukumu la mwanamke toka lini?
BTW
I wish you all the best,naomba jukumu la kumuogesha bibi harusi!
husbnd 2 be yupo busy kulingana na kazi yake, majukumu imebidi aniachie mm
 
Ninaomba mwongozo!!

YEGOO hebu ulizia tukitaka kufunga barabara kadhaa malipo ni kias gani coz lazima baadhi ya barabara zifungwe kuruhusu msafara wa harus yetu mpaka tumalize mizunguko yetu,fanya faster unipe jibu pesa c tatizo!
 
Kwa kunipa kamati ya chakula una maana nitoe huduma high table au nisimamie maakuli?
nitahakikisha maharusi hasa bw harusi amepata lishe yakutosha ili usije ukaibuka na
malalamiko ya ukosefu wa nguvu.

Afu wewe unaweza dodoshea viagra kwa bahati nzuri kwenye chakula cha bwana harusi, ninavyokufahamu...!!, sikuamini amini ujue...
 
Kwa kunipa kamati ya chakula una maana nitoe huduma high table au nisimamie maakuli?
nitahakikisha maharusi hasa bw harusi amepata lishe yakutosha ili usije ukaibuka na
malalamiko ya ukosefu wa nguvu.

Nguvu gani...Fafanua tafadhali...Zipo nguvu za aina nyingi..
 
MWENYEKITI WA KAMATI:BABA V,MSAIDIZI WAKE MZABZAB!

KATIBU WA KAMATI: JUDGEMENT.MSAIDIZI WAKE NI DONN!

MTUNZA FEDHA: NDUKI,MSAIDIZI WAKE NI SLAVE!

MAJUKUMU:
MAPAMBO: Dena amsi &cacico

CHAKULA: Mamndenyi &Mwali

VINYWAJI: Nduki,Arushaone,Noahism,na Chilli

USAFIRI: Boflo,Nicas Mtei,Kaka kiiza,the secretary na The boss

STAREHE NA UPAPARAZI: Erickb52 na bishanga(kukusanya habari na matukio yatakayojiri)

FLOOR MANAGER: Asprin

flower girls:

- preta
-cielo
-smile
-arabela
-nicole
-paloma
-smile
hawa watakua mbele ya maharusi wakiongozwa na dada wa bi harus FIRST LADY na CHAMINGLADY!

imebidi kupanga mijukumu kabisa maana tuna muda mchache kufikia shughuli yenyewe,vipingamizi vilikua vingi!

KIPIPI utakua na jukuma la kuendesha maharusi!
EXCELLENT,KILITIME,GAZETI,CHARDAMS,CHIMBUVU na MTAMBUZI mtaendesha magari yatakayokuepo ya kubeba wazazi,ndugu,jamaa na marafiki!

mambo mengine kamati watamalizia:
asanteni na karibuni sana!

passion lady ,nashukuru m kwa nafasi uliyonipa ila kutokana na uwingi wa majukumu naomba nafasi yangu aishike bwana mdogo wangu Judgement asaidiane na mzabzab, ila angalizo.. huyu mzabzab angalia akipata kitu cha kugegeda anaweza akaacha shughuli akaenda kugegeda mtu.....
 
Last edited by a moderator:
passion lady ,nashukuru m kwa nafasi uliyonipa ila kutokana na uwingi wa majukumu naomba nafasi yangu aishike bwana mdogo wangu Judgement asaidiane na mzabzab, ila angalizo.. huyu mzabzab angalia akipata kitu cha kugegeda anaweza akaacha shughuli akaenda kugegeda mtu.....

baba v we faulisha majukumu,kuhusu mzabzab nitasema nae,agegede pale muda unapomruhusu!asijeharibu shughuli bureeee!
 
Back
Top Bottom