Ifuatayo ni kamati ya harusi yangu mm p.l na huby wangu ruttashobolwa!

Ifuatayo ni kamati ya harusi yangu mm p.l na huby wangu ruttashobolwa!

ni kweli kabisa bby wangu Rutta,nisha tuma watu kwny hizo kampuni za vinywaji wamesema haina tatizo,Arushaone kuhusu hilo la kunywa wala ucjali mradi tu usijemwaga radhi buree,unywe kwa kipimo tafadhali!
 
bosi wangu nduki mbona simuoni aje anipe majukumu??????
 
Last edited by a moderator:
Labda maharusi ni kuch kuch hou tae "WAHINDI"....

Mh!
Kutangaza uchumba hadi ndoa imekuwa jukumu la mwanamke toka lini?
BTW
I wish you all the best,naomba jukumu la kumuogesha bibi harusi!
 
Thats why i adore you! Akili yako akanana inachemka sana!
Nyccccccc!

Cc Filipo

ni kweli kabisa bby wangu Rutta,nisha tuma watu kwny hizo kampuni za vinywaji wamesema haina tatizo,Arushaone kuhusu hilo la kunywa wala ucjali mradi tu usijemwaga radhi buree,unywe kwa kipimo tafadhali!
 
Last edited by a moderator:
watu8 my akanana ana uwezo vizuri tu ndio maana tumea hamua kuwa tofauti na harusi zingine ambazo wanaume wana tangaza!

Wanawake wanaweza na akanana passion lady ana onesha mfano sasa!

Labda maharusi ni kuch kuch hou tae "WAHINDI"....
 
Last edited by a moderator:
Yaani unamaanisha una mambo mengi mara mandazi chapati donati vitumbua

yeah!unga wa ngano visheti unatengeneza,mkate wenyewe,maandazi,chapati n.k!sasa ndio huyooo nicas!
 
Back
Top Bottom