Ifuatayo ni kamati ya harusi yangu mm p.l na huby wangu ruttashobolwa!

Ifuatayo ni kamati ya harusi yangu mm p.l na huby wangu ruttashobolwa!

Shem to be, mambo? Vipi hali? Nna ushauri tu kidogo wa bure, kwamba make sure usimpe Loya Tundi kabla ya wakati sawa?

mambo poa shem wangu judgement,tundi tushapeana kitambo,lazima kila mtu apime mashine ya mwenzie kama inasaga na kukoboa ipasavyo,shem unadhani kwa nn ndoa nyingine zinavunjika siku ile ya kwanza kwny fungate?ni kutokukaguana huko kunasababisha!ila bby wangu ananipenda kiukweli mpaka kufikia hatua hii so usijali
 
mambo poa shem wangu judgement,tundi tushapeana kitambo,lazima kila mtu apime mashine ya mwenzie kama inasaga na kukoboa ipasavyo,shem unadhani kwa nn ndoa nyingine zinavunjika siku ile ya kwanza kwny fungate?ni kutokukaguana huko kunasababisha!ila bby wangu ananipenda kiukweli mpaka kufikia hatua hii so usijali

Btw manenoyo swaki la jiti , hapahitajiki whitedenti ,
Naona wastahiki, watii pasina shuruti,
Mejibu huna hamaki,
Loya mtu wangu kaza buti .
Tuje tuikate keki, Kwa pilau na sharubati ,
Ndiyo niliyodiriki,
kuyasema Judgementi.
 
Last edited by a moderator:
mh! shem wangu huyoooo!shairi zuri kwli ngoja nimbonyeze ruttashobolwa aje na yy alisome,ila inaelekea ulikua unaimba mashairi shuleni wewe sio bure!
 
Bila shaka najihisi mwenye bahati!
Btw manenoyo swaki la jiti , hapahitajiki whitedenti ,
Naona wastahiki, watii pasina shuruti,
Mejibu huna hamaki,
Loya mtu wangu kaza buti .
Tuje tuikate keki, Kwa pilau na sharubati ,
Ndiyo niliyodiriki,
kuyasema Judgementi.
 
Last edited by a moderator:
Usiajli akanana passion lady hakuna wa kuchukua nafasi yako maana hataweza kuiziba!
hapa amegusa pabaya,upendo wangu na huby hakuna wa kuingilia,namuamini sana bebito wangu,na anamsimamo,bi dada akajipange upya!kachemsha!
 
Last edited by a moderator:
Akanana bora umwambie kwani hakuna kazi bila interview!
mambo poa shem wangu judgement,tundi tushapeana kitambo,lazima kila mtu apime mashine ya mwenzie kama inasaga na kukoboa ipasavyo,shem unadhani kwa nn ndoa nyingine zinavunjika siku ile ya kwanza kwny fungate?ni kutokukaguana huko kunasababisha!ila bby wangu ananipenda kiukweli mpaka kufikia hatua hii so usijali
 
Back
Top Bottom