Ifuatayo ni kamati ya harusi yangu mm p.l na huby wangu ruttashobolwa!

Ifuatayo ni kamati ya harusi yangu mm p.l na huby wangu ruttashobolwa!

Harusi Lini mamy niagize nguo kwa designer wangu Alexander McQueen’s au Miu Miu , hii si ya kukosa kabisa ..
 
my husband sijamsoma huyu mdada lachicaguapa!

Wanaume wa digital so Kama wa analogue ambao unaweza kuwacontrol, mama usishangae tarehe ya harusi yapelekwa mbele kila ukikaribia...mi nasomeka wewe husomeki...shauri yako...
 
Angalia usimpandishe pressure ma akanana passion lady sito kusamehe kwa hilo!

I adore her so much!

Wanaume wa digital so Kama wa analogue ambao unaweza kuwacontrol, mama usishangae tarehe ya harusi yapelekwa mbele kila ukikaribia...mi nasomeka wewe husomeki...shauri yako...
 
Last edited by a moderator:
Angalia usimpandishe pressure ma akanana passion lady sito kusamehe kwa hilo!

I adore her so much!

hahaaaa!bi dada unajimix vibaya,labda c kwangu mimi mwenye ladha ya passion na harufu yenye mchanganyiko wa vannila strawbell,chezea eee!loya hapa katia nanga we tafuta mwingine kabla hujachelewa,Vin diesel atakufaa changamka!Ruttashobolwa wangu c wa hivyo!
 
Naona huyo bibi harusi mtarajiwa kanichinjia baharini

umeona jukumu lako kwenye halusi yangu?unapaswa uwe makini sana ole wako nisipendeze!na hiyo siku mi nitakula chipsi,kuku wa kuchoma,pizza na lazima nishtue na magic moment kabla sijaenda church ili kutoa aibu,so uandae kabisaaa nisije shinda njaa bure!
 
"mi si ndo boss aisee nasubiri mipango yote mkishatimiza na kujua hesabu zake muwasilishe ili niwakilishe"
 
Back
Top Bottom