Ifuatayo ni kamati ya harusi yangu mm p.l na huby wangu ruttashobolwa!

Ifuatayo ni kamati ya harusi yangu mm p.l na huby wangu ruttashobolwa!

Baba v naomba muongozo kamati mmefikia wapi kuhusu maandalizi,Floor manager Asprin pia nahitaji kuskia toka kwako!shughuli jumamosi ila ijumaa jioni ndio watu wapewe kadi kuepuka husuda!
 
yes I do not know my self but I know you as a Dumb nut, brainless person and shameless woman!

Na ww c uweke thread watu wasome waone,za wenzio kama zinakukera temana nazo,tumekuja kurefresh mynd nakushangaa kuja juu kisa thread yangu,shutuuuuuuu!bado mapema sana na utahanya kupita maelezo!
 
Na ww c uweke thread watu wasome waone,za wenzio kama zinakukera temana nazo,tumekuja kurefresh mynd nakushangaa kuja juu kisa thread yangu,shutuuuuuuu!bado mapema sana na utahanya kupita maelezo!

cheki unavyokatika kiuno, hapo hujaguswa je ukiguswa? Na kuPM tuelewane! Teh teh teh
 
"like candles...........with alcohols...........au you mean kwamba wameshazimika oredy,nyambulisha sentensi plz"
 
"wasomi mambo yao huenda kwa maandishi bana.................how can u kolekt michango bila kadi za michango,kamati husika itabidi iwajibike na kutoa maelezo ya kutosha ili niridhike la sivyo,cheque haitoki"
 
boss muda umekaribia mie ngoja nipite pite mitaani kukusanya michango.

"wasomi mambo yao huenda kwa maandishi bana.................how can u kolekt michango bila kadi za michango,kamati husika itabidi iwajibike na kutoa maelezo ya kutosha ili niridhike la sivyo,cheque haitoki"
 
Back
Top Bottom