Ifuatayo ni Ratiba yetu wana Yanga SC ya Kuwapokea Mashujaa wetu kutoka Misri baada ya Kufuzu Kwao Makundi Klabu Bingwa Afrika kwa Kuwatoa Pyramids FC

Ifuatayo ni Ratiba yetu wana Yanga SC ya Kuwapokea Mashujaa wetu kutoka Misri baada ya Kufuzu Kwao Makundi Klabu Bingwa Afrika kwa Kuwatoa Pyramids FC

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Saa 10:00 Timu Kuwasili
Saa 10:20 Wachezaji Kushuka kutoka katika Ndege kwa Magoti na Makalio
Saa 10:30 Wachezaji Kuangaliwa kwa Jicho baya sana na Wahudhuriaji Uwanjani
Saa 11:00 Golikipa Shikalo Kutemewa Mate na Mashabiki na Kupigwa Masingi
Saa 11:20 Kocha Zahera Kuwambwa Makofi hadi akumbuke Kuvaa Suruali na Kupiga Pasi Shati lake
Saa 11: 30 Wachezaji Kuangaliwa kwa Jicho baya kwa mara ya Pili na hata Kupigwa Mawe
Saa 12:00 Mwenyekiti Msolla na Makamu wake Mwakalebela Kurukishwa Kichurachura hadi Klabuni
Saa 12:30 Msemaji na Mhamasishaji Antonio Nugaz kupewa Poda ajipake na Dela jipya alivae
Saa 13:00 Kocha Mwinyi Zahera kuwahi Malori ya kwenda Kwao Kisangani Congo DR pale Kurasini

Nyote mnakaribishwa.
 
Back
Top Bottom