IGA siyo kwa mawakili wanaogonga mikataba ya boda boda

IGA siyo kwa mawakili wanaogonga mikataba ya boda boda

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Wakuu, ili suala la IGA ni technical

Siyo kila wakili au mwanasheria anaweza akalitolea ufafanuzi au akaliingilia. Mawakili waliozoea kugonga mikataba ya kuuziana boda boda au bajaji hili suala liko way far out of their knowledge and capability.

IGA is not for every advocate or lawyer, its technical.

Hawa mawakili wa Mbeya ambao hawana international exposure, wafanye shughuli nyingine. Nimeambiwa parachichi zinakubali, waanze na hilo.

Wasalaam
 
Wakuu, ili suala la IGA ni technical

Siyo kila wakili au mwanasheria anaweza akalitolea ufafanuzi au akaliingilia. Mawakili waliozoe kugonga mikataba ya kuuziana boda boda au bajaji hili suala liko way far out of his or her knowledge and capability.

Hawa mawakili wa Mbeya ambao hawana international exposure, wafanye shughuli nyingine. Nimeambiwa parachichi zinakubali, waanze na hilo.

Wasalaam
Wewe nae unaonekana Kama tapeli alozoea kugonga hela za kuuza boda boda bila hata mikataba au makubaliano,international exposure ikikosekana kwa mtu ndo itapelekea asiwe na capability ya kurise hoja muhimu Kama ukomo wa mkataba???mnazidisha promo kuliko hata utendaji wake,vijana tumekubaliana @kuamka@,,,,,!rip jpm
 
Wewe nae unaonekana Kama tapeli alozoea kugonga hela za kuuza boda boda bila hata mikataba au makubaliano,international exposure ikikosekana kwa mtu ndo itapelekea asiwe na capability ya kurise hoja muhimu Kama ukomo wa mkataba???mnazidisha promo kuliko hata utendaji wake,vijana tumekubaliana @kuamka@,,,,,!rip jpm
Muda ni hakimu wa haki
 
Wakuu, ili suala la IGA ni technical

Siyo kila wakili au mwanasheria anaweza akalitolea ufafanuzi au akaliingilia. Mawakili waliozoe kugonga mikataba ya kuuziana boda boda au bajaji hili suala liko way far out of their knowledge and capability.

IGA is not for every advocate or lawyer, its technical.

Hawa mawakili wa Mbeya ambao hawana international exposure, wafanye shughuli nyingine. Nimeambiwa parachichi zinakubali, waanze na hilo.

Wasalaam
Jikite kwenye ibara za IGA acha maneno mengi
 
Wakuu, ili suala la IGA ni technical

Siyo kila wakili au mwanasheria anaweza akalitolea ufafanuzi au akaliingilia. Mawakili waliozoe kugonga mikataba ya kuuziana boda boda au bajaji hili suala liko way far out of their knowledge and capability.

IGA is not for every advocate or lawyer, its technical.

Hawa mawakili wa Mbeya ambao hawana international exposure, wafanye shughuli nyingine. Nimeambiwa parachichi zinakubali, waanze na hilo.

Wasalaam
We Dogo Acha Kashifa
 
Wakuu, ili suala la IGA ni technical

Siyo kila wakili au mwanasheria anaweza akalitolea ufafanuzi au akaliingilia. Mawakili waliozoea kugonga mikataba ya kuuziana boda boda au bajaji hili suala liko way far out of their knowledge and capability.

IGA is not for every advocate or lawyer, its technical.

Hawa mawakili wa Mbeya ambao hawana international exposure, wafanye shughuli nyingine. Nimeambiwa parachichi zinakubali, waanze na hilo.

Wasalaam
Mruma ndio ana mudu sio?
 
Wakuu, ili suala la IGA ni technical

Siyo kila wakili au mwanasheria anaweza akalitolea ufafanuzi au akaliingilia. Mawakili waliozoea kugonga mikataba ya kuuziana boda boda au bajaji hili suala liko way far out of their knowledge and capability.

IGA is not for every advocate or lawyer, its technical.

Hawa mawakili wa Mbeya ambao hawana international exposure, wafanye shughuli nyingine. Nimeambiwa parachichi zinakubali, waanze na hilo.

Wasalaam

Msando wa Giggy Money mzee wa madole ndiyo anaweza kutoa ufafanuzi? Vipi Prof Shivji , TLS nao sio Wanasheria?
 
Mruma siyo mwanasheria, yule mwengine aliulizwa swali akavunga anaumwa, aliyekuwa ndiyo kiongozi wa mawakili walioenda, sijui jina lake, anajina utafikiri gari limekwama kwenye mawe.

Ndio wanasheria wenu hao, dp weledi wamewapiga kwenye iga mnasubiri kuzikwa kwenye hga,
 
Hao ndiyo wataalam wa mwendazake, mama wa Kiunguja, akawaita, akawaambia, haya nendeni mkatetee mikataba na sheria zenu.

Matokeo? Wanajambajamba hovyo, wamehenyeshwa na vijana wadogo kabisa..

Alishasema yeye na magufuli ni kitu kimoja na ccm ni moja, si unaona anavorukaruka kwenye bandari kama mwenzake alivorukaruka loliondo, yaani ubunifu hakuna kabisa na hawana wazo la kuleta tija, mama yako huyo nchi imeshamshinda anabaki kupandisha kodi ya bia na hajui ashike lipi aache lipi maana kazoea shughuli kila siku kiguu na njia hatulii, utahisi anasafiri kufanya mambo ya maana kumbe hana lolote,
 
Back
Top Bottom