IGA siyo kwa mawakili wanaogonga mikataba ya boda boda

Hv hoja za hao mawakili umezielewa ? Hv unahis professor shiv ni mjinga ila mama yako alisoma madrasaa tu ndo yupo timamu?
 
....Tatizo ndio Hilo !..
 
Tuliza mshono. Kesi bado ikomahakamani.
 

Acha dharau basi! Kama wanasheria na mawakili unawadharau hivyo je wale chawa waliolitolea ufafanuzi hilo la DP WORLD (steve mwijaku kitenge & co.?
 
Jinsi binadamu tunavyochukia ukweli, najua utatukanwa hapa kwa ukweli huu!!!
 
huo ubaguzi mpelekee mmako, nchi hii ni moja. Mmeshindwa kwenye hoja mnapandiki chuki na hamtakaa mfanikiwe Tanzania hii. Shida ni huo uhuru mliopewa
Mkuu ni wa kuwapuuza tu hawa. Kinachokera na kuchekesha wakati huohuo ni upumbavu wao wa kujifanya kutamka 'watanzania' kila wanapotoa uharo wao. Mbona huku mtaani hakuna hata mtanzania anayehangaika nao?!!! Waranzania wa wapi hao?!!! Hawa 10 wa humu?!!!!!!
 
Prof Shivji nae ni wakili wa kugonga mihuri ya mauziano ya Boda?

Mama Tibaijuka na jaji mstaafu Warioba je?

Anyways wewe, Steve Nyerere, Kitenge, Mwijaku na baba levo ndio wanasheria wa international haina shida
 
huo ubaguzi mpelekee mmako, nchi hii ni moja. Mmeshindwa kwenye hoja mnapandiki chuki na hamtakaa mfanikiwe Tanzania hii. Shida ni huo uhuru mliopewa
Mamaangu anahusikaje hapa ukizingatia Hana hata account jf???au unataka Leo nikalale kwny kitanda Cha baba yako halaf asbh unione naingia bafuni nikiwa nimefunga khanga ya mamaako kiunoni????acha ujinga kenge wewe
 
Ndio maana wako mahakamani. Au hujui wajibu wa mahakama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…