"IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii?

Amen, nimefarijika sana na ushauri huu na haswa kuhusu ile part ya shemeji yako!.
P
 
Amen, nimefarijika sana na ushauri huu na haswa kuhusu ile part ya shemeji yako!.
P
Karibu sana kaka, maisha haya mafupi sana ,tujaribu kubalance. Ukishupaa shingo na vidole humu utajikuta hufanyi lolote lako binafsi, na hutokuwa na muda na mkeo au familia yako kwa ujumla.
Enjoy your life brother usizijali sana kelele za humu. Nafahamu kuna wakati unatoa majibu ya ufasaha unadhani wata ridhika nayo, lakini wanakuja kivingine. Wewe ni mmojo humu tuko wengi, hutoweza ku satisfy watu humu kwa majibu.
Andika atakaye soma na kuelewa aelewe, asiyetaka aache.
tafuta kitabu kimoja kinaitwa " The COURAGE TO BE DISLIKED. Tafuta amani ya moyo wako, achana na sisi usiotuona wala kutufahamu.
 
Ukisafiri wakati haya yanaendelea AUILE KAULI YA MAREHEMU JPM YA ASILI YA JINA LAKO NDO IMERUDI
 
Ukisafiri wakati haya yanaendelea AUILE KAULI YA MAREHEMU JPM YA ASILI YA JINA LAKO NDO IMERUDI
Naona Rais Magufuli alikuwa sawa alipo.uita Mr Njaa, he is using too much effort for nonissues. Magufuli angekuwapo angetupa translation ya Luhaga Mpina - naye anaenda hukohuko. Wameona kuna vacancy CHADEMA wanachangamkia tenda.
 
Watu Waafrika Weusi bado hawajastaarabika.
Wanaweza kufanya chochote wakati wowote bila kuthamini kizazi cha baadae.
Wao wanacho thamini ni Ugali tu. Ugali wao wa leo, TU Basi.
Case Closed.
 
... 'Kwa faida ya nani'... Hili swali namna ulivyolipachika kila paragraph kamwe hauwezi kupata majibu yake sahihi, maana kila kipengele kinagusa maslahi binafsi ya walioubuni na kuuingia.

Utakachoweza kupata hapa ni majibu ya chawa wapumbafu waliomwagwa Jf kupambana na hoja za great thinkers kama hizi kwa majibu mepesi ya kijinga.

Tangia mwanzo mwa sakata hili, waTz wote wenye mapenzi mema na nchi hii wakiwemo wanasiasa, wameuliza maswali hayo ya msingi, lakini hakuna kiongozi wa Serikali hata mmoja kuanzia Samia mwenyewe aliyekuja na jibu 'lililojaa' na la ukweli.

Hivyo kumaliza mwaka mzima bila ya kutolewa majibu ya maswali ya msingi ya mkataba huu ni kwamba nchi yetu sasa imeuzwa dhahiri na inaongozwa na genge la mibaka uchumi.

Nimesema haya kutokana na ninanyoona namna 'sura' nzima ya mhimili ya Serikali inayolilinda jambo hili bila ya kuwa na majibu.

Kwa hiyo utatu wa mhimili: (Serikali, Bunge na Mahakama) vyote vipo corrupted, wote walishashiba, hakuna mmojawapo anayeweza na atakayeweza kusimama na wananchi kukaripikia mkataba huu mbaya, maana wote hao kwa nafasi zao mmoja mmoja na familia zao ni wanufaika wa ubovu wa mkataba huu wa kiMangungo huku dhima na madhila yake yakilihusu Taifa na waTanganyika wote.

Vinginevyo, Rais asingekubali, Wabunge wasingekubali, mahakama zisingepindisha hukumu kwa kesi zinazofunguliwa ili kutafsiri uhalali wa mkataba huu.

Nini kifanyike sasa kwa sababu majibu ya... 'Kwa faida ya nani'... tulishayapata kutokana na ushahidi wa kimazingira?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…