Ignorancia juris Non Excusat


lols eti" tukamuunganishia tela"acha mambo ya kishogashoga we mtoto wa kiume..
 
Last edited by a moderator:
Jaslaws una nafasi ya kuwa na busara zaidi ya hizi,nakusamehe bure!
 
Last edited by a moderator:
Hawa wanasheria wa bongo wanapenda sana mashauzi na hivyo viingereza vya vibovu vibovu.

Nyani Ngabu, usilolijua nisawa na usiku wa giza. Kuna huyo mtu anaitwa ( horseshoe arch ) alikulupuka na kuni attack akapelekea niwe na hasira ya ghafla nakujikuta nime andika hivyo. Alikuwa mtu wa kwanza kuto comment ambayo aliamua kuitoa haraka yeye mwenyewe. Nazani alijitambua kuwa comment yake haikuwa sahihi.
Anyway am not a person wakulumbana kwenye mambo yasio na mantiki.
 
lawyer lawyer wewe ni mchanga sana kwenye field yoyote uliyopo,kama ni sheria ndiyo kwanza utakuwa unaanza kujifunza...Kwanza nikucorrect moods ndio wameondoa baadhi ya posts! Tazama muda uliopost kwa mara ya kwanza,Muda niliojibu post yako,muda ulirudi kufanya editing...Na ni kwanini post yangu ya pili ilikuwa ya kukuweka sawa! Kama huna hoja ya maana ukapumzike tu ila kama una hoja yenye nguvu rudi jukwaani!
 
Last edited by a moderator:
Hiyo ni moja mbili Unayoiita 'Ignorancia' Juris mimi niliisoma miaka yangu kwenye sheria za kazi (Arbitration) as 'Ignorantia Juris ' kwa hiyo mwanzoni lilikuwa suala dogo tu la spelling nashangaa ndilo limekuvimbisha siku nzima...

Sikia mdogo wangu naweza kujua moja na mbili na wewe ukajua mbili ukasahau moja kwa hiyo jifunze kurudi nyuma kutazama ulipokosea kisha uendelee mbele,usiwe stubborn kiasi hicho!
 

tatizo si content ya alichokitoa bali ni namna ya uwasilishaji wake, haukuwa wa heshima kwa wanajamvi, akumbuke kama junior lawyer , humu ndani kuna masenior ambao wametulizana bila kukejeli watu, atulie alete mada itajadiliwa, sasa yeye anakuja hapa anaanza kusema mara ooh, nimesoma chuo kikubwa of which kwa jinsi alivyoandika hatujui kama ni kweli kasoma hicho chuo kikubwa na kwa uelewa wangu hakuna chuo kikubwa wala kidogo, dharau kwenye jamvi kama hili ambalo limejaa watu wa kila kada haifai..
 
Tumia mitandao ya kijamii kupata elimu au kutoa elimu nasio kuonesha umwamba kwamba wewe ndio unajua sana au upo sahihi sana kuliko watu wengine.
Elekeza comment zako kwenye kujenga zaidi nasio kubomoa.
Unge kuwa na busara hata chembe basi unge jielekeza kulekebisha spelling errors zilizo tokea nasio kutumia nafasi hiyo kuonesha nidhamu yako ya ukaidi na kutaka kupoteza maana ya post.
Kulikuwa hamna aja ya kuni attack kama kweli unahekima na ni mtu mzima ambae amepevuka kiakili na anajua analolifanya.
 
stroke umemaliza

.....Unge kuwa na busara hata chembe basi unge jielekeza kulekebisha spelling errors zilizo tokea nasio kutumia nafasi hiyo kuonesha nidhamu yako ya ukaidi na kutaka kupoteza maana ya post.....
Nilikuuliza ata the begining ulikuwa na haraka gani? Kwa kuhighlight maneno uliyospell ndivyo sivyo,unakumbuka majibu yako yalivyoanza kutiririka?

Badilika,wewe ni mwafrika kama mimi hatuna utamaduni wa kusema samahani kwa kudhani 'we are superior' ila ulipaswa kusema! Kwanini % kubwa ya wachangiaji wameendelea kuona u-arrogant wako? Kisha futa kauli yako ya kuwabatiza majina watu usiojua misimamo yao kwenye mambo uliyowabatizia! Pitia ulipoandika ...acha ushoga shoga
 
Last edited by a moderator:

Ndio hekima ulio nayo na maneno yako machafu ya ushoga. Lazima akili yako itakuwa ina hitirafu na ndio maana unatumia mawazo hasi kuongoza akili yako na mitazamo yako.
I should let you be now bt when the time comes you will learn to be useful and you will be appreciated for your positive contributions rather than you're idiotic mind of concentrating in small mistakes which can be repaired or can still lead to the intended point without being corrected.
 
Last edited by a moderator:
Sijui nimetokana wapi na wewe mpuuzi usiyekuwa na adabu! Kuna mambo mengi ya kufanya ila nashangaa kujibizana na limbukeni kama wewe...hayo majivuno yapeleke kwa mkeo na ndugu zako!
 
Sijui nimetokana wapi na wewe mpuuzi usiyekuwa na adabu! Kuna mambo mengi ya kufanya ila nashangaa kujibizana na limbukeni kama wewe...hayo majivuno yapeleke kwa mkeo na ndugu zako!

This is how ulivyo na adabu.. ovyoo sana wewe kijana.
Unaonekana ulisha shindikana toka kwenu ukiwa mdogo, mimi hata sitakuweza. Maneno yako yasio na mipaka yanaonesha nijinsi gani ulivyo muhuni au kukosa malezi mazuri na ndio maana you can speak anything and attack anyone as you think it is fit. It shows that disrespect and negative attitude towards others is a normal thing to you. Nextime try to be like someone who is controlled by mind on your own posts and other's posts. Usikurupuke tu nakutoa hizo comments zako zenye nia hovu ya kubomoa au ilimradi uonekane ume comment pasipo zingatia kama ulicho comment kina mashiko.
 

Wewe ndiyo unaharibu tasnia ya sheria kwa kujiita umesoma sheria! Naamini kwa uwezo wako mdogo ulioonesha hata mtoto wa darasa la tano ambaye kafundishwa vyema huwezi kusimama naye kutetea hoja badala yake utalia! Tokea nimejiunga na JF sikuwahi kukutana na mtu wa aina yako!
 
Kisha jifunze vizuri sarufi ya kiswahili baada ya lugha mama ya kabila lako kabla hujadandia lugha za wenzio...
 
Uzuri wa jf ukijifanya juaji lazima upewe ma-shit ya uso.ndo mana cc type ya akina kadoda11 tulishajiamulia ku- keep it low profile.maskini laywer
 
Mkuu kadoda11 kuna watu wanasababisha tunasema yale tusiyopenda kusema! Mara nyingi watu hukosea na kujisahihisha ila ukiona mtu anajipima kama yeye si mwehu kwa kujilinganisha na mwehu ujue uendawazimu hauko mbali! Ningekuwa mkufunzi mtu wa aina hii ni kumpa 'course work' nyepesi mfano ...mkao wa chura ni kwamba amesimama,amekaa au kapozi badala ya haya ya ku-offence sheria!
 
Last edited by a moderator:
Wengine huandika "Ignorantia de juris no es excusat" lakini naona huo ni mtazamo wa kihafidhina (conservative) zaidi. The more mainstream approach ni "Ignorantia juris non excusat". Kilatini cha Sheria kigumu kweli kweli!

Sasa lawyer lawyer, hebu wape watu elimu kuhusu "ex parte" judgement.
 
Last edited by a moderator:
Huyo aliyeanza kujitetea alipaswa kuongozwa na wakili, kwa kuwa yeye si mwanasheria, na hajui taratibu za kisheria. HAKIKA ataiomba mahakama imuachie huru.

Hivi kwenye mahakama zetu kuna cross-examination wakati "the accused" anapoanza kujitetea? Najua wakati "state witnesses" wanapotoa ushahidi, wakili wa utetezi huwa anafanya "cross examination". Kama mtu unatetewa na wakili mzuri, inapendeza pale unapomwona shahidi akijikanganya. Wengine hupandwa kabisa na hasira, pale wanapolazimika kukiri ukweli, kwa kuwa wakili wa utetezi (kwa mfano Wakili Maarufu Herbert Nyange) anapomwongoza shahidi katika kuhakiki na kusahihisha matamshi yake. Kuna kesi moja, "state's primary witness" alilazimika kukiri kwamba mmojawapo wa "the accused" hakuwapo kwenye ofisi yake wakati tukio la kihalifu linafanyika. Pengine hiyo sentence itakuwa reduced kuwa "aiding and abetting", yaani, "accomplice", lakini si actual criminal!

Sheria TAMUUUUUU!
 

Hauwezi ukawa upo timamu huko kichwani. Ndio maana una tafuta vitu vidogo visivyo natija ili uweze kusimamia. Shukuru umeitoa comment yako ya kwanza inayo onesha nijinsi gani unavyo shinda humu ndani kubomoa baadala ya kujenga. Alafu kwanza mtu mwenyewe sijui hata unafani gani ila kutokana na nilivyo kustudy unaonekana kijana tu wamtaani nakama ulipita shure basi haijakusaidia.
Kama ingekuwa imekisaidia ungetumia comment yako ya kwanza ulio iondoa kurekebisha yale nilio kosea nasio kutaka kuharibu hata yale mazuri yalio baki.
Akili yako ingeweza kufanya hivyo isingeweza kuwaza hao chura ila kwasababu ina itirafu inabidi nikuache tu ila naamini hauto rudia kufanya ujinga wako kwenye post zingine.
Naamini ume elewa somo kwani unajua upumbavu ulio ufanya mpaka uka amua toa comment yako haraka. Hayo maneno yako ya assignment ya chura na other abusive words haziwezi kukusaidia.ila kwakuwa hauja jitambua unaona kama nisahihi kuyatumia ilikificha uhuni wako.
 
Last edited by a moderator:
Haitakusaidia kitu bwana yahaya wa sheria kuniita wa mtaani,ushahidi wa kimazingira utahukumu nani wa mtaani nani wa chuo kikuu kikubwa kama unavyojiita! Kwanza uelewe mwenye uwezo wa kuondoa Posts ni Moderator, mbili majivuno uliyokuja nayo yalistahili kuishia ulipopandia basi au garimoshi kuja mjini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…