Adrian Stepp umedandia bajaji kwa mbele, utaumbuka...ungekuwepo tokea mwanzo wa post ungejua makosa yake na namna asivyokuwa msikivu! Kuna posts zimefutwa...Alikuwa na lengo zuri,akakosea kuliwasilisha,alivyosahihishwa akachafua hali ya hela,baas tukamuunganishia tela,ana bahati maana vita ya maneno inaumiza kuliko ya vitu vyenye ncha kali!
Hawa wanasheria wa bongo wanapenda sana mashauzi na hivyo viingereza vya vibovu vibovu.
Nikupongeze sana mkuu lawyer lawyer kwa kutumia muda wako kutoa elimu hii kwa sisi wachache ambao hatuna uelewa..achana na kejeli za Horseshoe Arch na bwn Gurta ni kejeli za kawaida sana ndani ya JF ambazo mara kadhaa zimekua zikichosha na kuondoa mantiki nzima ya uzi husika,..sasa sijui wanataka kutuonesha nini kwamba wao wanajua sana ama nini..mbona hawakuja na uzi wa kuelimisha kama huu? temana nao!..
tatizo si content ya alichokitoa bali ni namna ya uwasilishaji wake, haukuwa wa heshima kwa wanajamvi, akumbuke kama junior lawyer , humu ndani kuna masenior ambao wametulizana bila kukejeli watu, atulie alete mada itajadiliwa, sasa yeye anakuja hapa anaanza kusema mara ooh, nimesoma chuo kikubwa of which kwa jinsi alivyoandika hatujui kama ni kweli kasoma hicho chuo kikubwa na kwa uelewa wangu hakuna chuo kikubwa wala kidogo, dharau kwenye jamvi kama hili ambalo limejaa watu wa kila kada haifai..
Nilikuuliza ata the begining ulikuwa na haraka gani? Kwa kuhighlight maneno uliyospell ndivyo sivyo,unakumbuka majibu yako yalivyoanza kutiririka?.....Unge kuwa na busara hata chembe basi unge jielekeza kulekebisha spelling errors zilizo tokea nasio kutumia nafasi hiyo kuonesha nidhamu yako ya ukaidi na kutaka kupoteza maana ya post.....
stroke umemaliza
Nilikuuliza ata the begining ulikuwa na haraka gani? Kwa kuhighlight maneno uliyospell ndivyo sivyo,unakumbuka majibu yako yalivyoanza kutiririka?
Badilika,wewe ni mwafrika kama mimi hatuna utamaduni wa kusema samahani kwa kudhani 'we are superior' ila ulipaswa kusema! Kwanini % kubwa ya wachangiaji wameendelea kuona u-arrogant wako? Kisha futa kauli yako ya kuwabatiza majina watu usiojua misimamo yao kwenye mambo uliyowabatizia! Pitia ulipoandika ...acha ushoga shoga
Sijui nimetokana wapi na wewe mpuuzi usiyekuwa na adabu! Kuna mambo mengi ya kufanya ila nashangaa kujibizana na limbukeni kama wewe...hayo majivuno yapeleke kwa mkeo na ndugu zako!Ndio hekima ulio nayo na maneno yako machafu ya ushoga. Lazima akili yako itakuwa ina hitirafu na ndio maana unatumia mawazo hasi kuongoza akili yako na mitazamo yako.
I should let you be now bt when the time comes you will learn to be useful and you will be appreciated for your positive contributions rather than you're idiotic mind of concentrating in small mistakes which can be repaired or can still lead to the intended point without being corrected.
Sijui nimetokana wapi na wewe mpuuzi usiyekuwa na adabu! Kuna mambo mengi ya kufanya ila nashangaa kujibizana na limbukeni kama wewe...hayo majivuno yapeleke kwa mkeo na ndugu zako!
This is how ulivyo na adabu.. ovyoo sana wewe kijana.
Unaonekana ulisha shindikana toka kwenu ukiwa mdogo, mimi hata sitakuweza. Maneno yako yasio na mipaka yanaonesha nijinsi gani ulivyo muhuni au kukosa malezi mazuri na ndio maana you can speak anything and attack anyone as you think it is fit. It shows that disrespect and negative attitude towards others is a normal thing to you. Nextime try to be like someone who is controlled by mind on your own posts and other's posts. Usikurupuke tu nakutoa hizo comments zako zenye nia hovu ya kubomoa au ilimradi uonekane ume comment pasipo zingatia kama ulicho comment kina mashiko.
Mkuu kadoda11 kuna watu wanasababisha tunasema yale tusiyopenda kusema! Mara nyingi watu hukosea na kujisahihisha ila ukiona mtu anajipima kama yeye si mwehu kwa kujilinganisha na mwehu ujue uendawazimu hauko mbali! Ningekuwa mkufunzi mtu wa aina hii ni kumpa 'course work' nyepesi mfano ...mkao wa chura ni kwamba amesimama,amekaa au kapozi badala ya haya ya ku-offence sheria!