Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Eti mimi na wewe nani wa kwenda darasani..?
Iam a lawyer by professional kutoka chuo kikubwa hapa hapa nchini.
Alafu i cannot keep answering you back, it is not my style and its out of my carrier ethics.
Tafuta mtu mwingine kwenye post nyingine. Hiyo post yangu nazani huja ielewa vizuri but i can tell you that, my post niya kutoa uelewa wa ignorance of law na sio yakutaka comments kama unavyo zani.
Jifunza kupambanua vitu kabla huja ingia kichwa kichwa.
"I am a lawyer by professional"
Tehe tehe tehe, with lawyers like these, who needs a case?
You are an embarrassment to this highfalutin profession.