Ignorancia juris Non Excusat


"I am a lawyer by professional"

Tehe tehe tehe, with lawyers like these, who needs a case?

You are an embarrassment to this highfalutin profession.
 
Gurta Nyani Ngabu stroke na wengine waliosoma post yangu ya kwanza kabla huyu bwana hajaanza kunicharukia watakuwa mashahidi!
.........Alafu kwanza mtu mwenyewe sijui hata unafani gani ila kutokana na nilivyo kustudy unaonekana kijana tu wamtaani....

Taaluma yangu isikupe taabu, ni ya kukesha nje kukulinda wewe 'lawyer wa chuo kikubwa bongo'!
 
....
Taaluma yangu isikupe taabu, ni ya kukesha nje kukulinda wewe 'lawyer wa chuo kikubwa bongo'!

Usijali mkuu, tatizo kuna wanaofikiri tunapinga contents za bandiko. This is JF and unless you're really good (and seasoned, of course) don't be (or rather try to be) a smartass!
 
Mkuu Gurta salamu zako,nikipata nauli ya kuja mjini nitakuletea zawadi ya njugu mawe na mihogo maana bwana bosi kaniahidi likizo ya wiki moja!
 
Last edited by a moderator:

lazima aka copy and paste ndio aje hapa, sidhani kama anayo miezi miwili kwenye practice, ukija huu unaweka profession yako mfukoni na kujadili mada kwa ustaarabu, huwezi jua nani ni nani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…