figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #101
Unanifurahisha unavyo jenga hoja.Kama ni kweli kamtumia mke wa masanja private, nani ameisambaza?
Kwa akili ya kawaida mke asingeweza kumuonyesha mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanifurahisha unavyo jenga hoja.Kama ni kweli kamtumia mke wa masanja private, nani ameisambaza?
Kwa akili ya kawaida mke asingeweza kumuonyesha mtu.
Na wachafuliwaji hawajatoa neno[emoji849][emoji849]. Naungana nawe. Tangu jana sijakubaliana na hiliTuseme kweli ilikuwa planned ameuliwa...
Iweje barua aliyoiacha imchafue mke wa jamaa?
Yaani wapange halafu mke achafuliwe kiasi hicho na hakuna ukweli wowote. Hebu nifungue akili...
Kituo gani cha Polisi kimeomba ushahidi? Au unaandika tu?.Kama una ushahidi wapelekee polis
Utata upo wazi mkuu.Unanifurahisha unavyo jenga hoja.
Mi nafikiri huu uchungu ulio nao,Anza na watu wa ccm,mwambie huyo Wambura,waliompiga risasi Lisu wapo wapi?waliomuua Mawazo wapo wapi?Azory Gwanda yupo wapi?muulize pia wale waliouliwa Kule msoma kisa ni majambazi,ushahidi upo wapi?polisi wanaua kila siku,hujapiga kelele,usilete uchungu wa kinafki,watu kama nyie sio kwamba mnauchungu na huyo katibu,uchungu utoke wapi wakati maisha yenu tu ni machungu balaaa,Salaam Wakuu
Hatuwezi kukubali ndugu zetu waendelee kufa kimafia halafu watu wanazusha Story ya kutrend.
View attachment 2375542
Polisi wa Kawe waende pale Mbezi kwa Marehemu wazungushie Utepe na wawachukue maelezo familia ya Masanja.
Pia Mke wa Marehemu akamatwe na ahojiwe.
Mtashangaa Matokeo yake.
Polisi wana weredi mkubwa wakiamua kufanya kazi.
Pia Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe ajiuzulu au apelekwe makao Makuu ili kupisha Uchunguzi.
Je, nani alithibitisha mwandiko ule ni wa Marehemu?
Ipo wapi Intelejensia ya Polisi?
Hatuwezi kukubali watu wauliwe kishenzi namna hii. Halafu mnatuletea Stori za Mapenzi. Uhai wa binadamu hauna Spea, acheni kuchezea uhai wetu.
View attachment 2375550
Mchungaji Masanja Kulia akiwa na Marehemu.
Jana wakati nachek ibada kanisami kwa masanja nikashtuka anayeendesha ibada na kufungisha ndoa ni mwingine dah kumbe.Athari ya hili waumini kupunguwa,kudharau na msongo wa mawazo kwa wahusika na penzi kuyumba.Salaam Wakuu
Hatuwezi kukubali ndugu zetu waendelee kufa kimafia halafu watu wanazusha Story ya kutrend.
View attachment 2375542
Polisi wa Kawe waende pale Mbezi kwa Marehemu wazungushie Utepe na wawachukue maelezo familia ya Masanja.
Pia Mke wa Marehemu akamatwe na ahojiwe.
Mtashangaa Matokeo yake.
Polisi wana weredi mkubwa wakiamua kufanya kazi.
Pia Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe ajiuzulu au apelekwe makao Makuu ili kupisha Uchunguzi.
Je, nani alithibitisha mwandiko ule ni wa Marehemu?
Ipo wapi Intelejensia ya Polisi?
Hatuwezi kukubali watu wauliwe kishenzi namna hii. Halafu mnatuletea Stori za Mapenzi. Uhai wa binadamu hauna Spea, acheni kuchezea uhai wetu.
View attachment 2375550
Mchungaji Masanja Kulia akiwa na Marehemu.
Bangi mbaya. Dah!Mi nafikiri huu uchungu ulio nao,Anza na watu wa ccm,mwambie huyo Wambura,waliompiga risasi Lisu wapo wapi?waliomuua Mawazo wapo wapi?Azory Gwanda yupo wapi?muulize pia wale waliouliwa Kule msoma kisa ni majambazi,ushahidi upo wapi?polisi wanaua kila siku,hujapiga kelele,usilete uchungu wa kinafki,watu kama nyie sio kwamba mnauchungu na huyo katibu,uchungu utoke wapi wakati maisha yenu tu ni machungu balaaa,
Unaona Gere kijana ana ukwasi mrefu sasa mnataka aporomoke kwa kisa hiki
hiyo ni murder/killing.Ahsante kwa uzi mzur mkuu, umewaza kama mimi..
This is not a suicidal but a carefully planned assassination...either ni issue za pesa au siri .. hata kama ni mapenz lakn nobody with monkey brain can do as such..... wahuni wengi wanajisibisha na rulling party duniani kote ili kufanya uhuni.. to make them the untouchables..
IGP wambura kaz kwako boss
Hiki hapa MkuuMkuu usipojali naomba msaada wa hicho kitabu cha KAGAME pm au hapa hapa mkuu.
Acha uzwazwa !! haiwezi kuachwa kufanya uchunguzi eti kwa vile tu kuna vingine vimepita havijafanyiwa uchunguzi..tatizo lililopo sasa litatuliwe kwanza.Halafu hizi tabia za tumuachie Mungu kwanini ngozi nyeusi ndio tunazo sana??? hivi huyu mungu anatupenda sana sisi watu weusi kuliko hao wengine??? Mie naweza sema dini ndio zimetufanya waafrika tukawa maskini wa akili na vitu maana kila kitu tumuachie Mungu kumbe kuna vingine tunaweza kuvitatua wenyewe. Hii issue ya Masanja, ni wajanja wachache ndio wanaona kuna mchongo hapo wa kupoteza kesi lakini wengi wa wabongo wanajua kajiua shauri ya kumchapa mke wa Masanja.. jamaa wametumia mbinu za kijasusi, si watu wala polisi wanaukubali huo ujumbe fake wa marehemu.Mi nafikiri huu uchungu ulio nao,Anza na watu wa ccm,mwambie huyo Wambura,waliompiga risasi Lisu wapo wapi?waliomuua Mawazo wapo wapi?Azory Gwanda yupo wapi?muulize pia wale waliouliwa Kule msoma kisa ni majambazi,ushahidi upo wapi?polisi wanaua kila siku,hujapiga kelele,usilete uchungu wa kinafki,watu kama nyie sio kwamba mnauchungu na huyo katibu,uchungu utoke wapi wakati maisha yenu tu ni machungu balaaa,
Unaona Gere kijana ana ukwasi mrefu sasa mnataka aporomoke kwa kisa hiki
Hakika hii post ni ya mtu aliyeenda shule!Salaam Wakuu
Hatuwezi kukubali ndugu zetu waendelee kufa kimafia halafu watu wanazusha Story ya kutrend.
View attachment 2375542
Polisi wa Kawe waende pale Mbezi kwa Marehemu wazungushie Utepe na wawachukue maelezo familia ya Masanja.
Pia Mke wa Marehemu akamatwe na ahojiwe.
Mtashangaa Matokeo yake.
Polisi wana weredi mkubwa wakiamua kufanya kazi.
Pia Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe ajiuzulu au apelekwe makao Makuu ili kupisha Uchunguzi.
Je, nani alithibitisha mwandiko ule ni wa Marehemu?
Ipo wapi Intelejensia ya Polisi?
Hatuwezi kukubali watu wauliwe kishenzi namna hii. Halafu mnatuletea Stori za Mapenzi. Uhai wa binadamu hauna Spea, acheni kuchezea uhai wetu.
View attachment 2375550
Mchungaji Masanja Kulia akiwa na Marehemu.
Umenena!Salaam Wakuu
Hatuwezi kukubali ndugu zetu waendelee kufa kimafia halafu watu wanazusha Story ya kutrend.
View attachment 2375542
Polisi wa Kawe waende pale Mbezi kwa Marehemu wazungushie Utepe na wawachukue maelezo familia ya Masanja.
Pia Mke wa Marehemu akamatwe na ahojiwe.
Mtashangaa Matokeo yake.
Polisi wana weredi mkubwa wakiamua kufanya kazi.
Pia Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe ajiuzulu au apelekwe makao Makuu ili kupisha Uchunguzi.
Je, nani alithibitisha mwandiko ule ni wa Marehemu?
Ipo wapi Intelejensia ya Polisi?
Hatuwezi kukubali watu wauliwe kishenzi namna hii. Halafu mnatuletea Stori za Mapenzi. Uhai wa binadamu hauna Spea, acheni kuchezea uhai wetu.
View attachment 2375550
Mchungaji Masanja Kulia akiwa na Marehemu.
Marehemu hachafuki but story inaonyesha kama marehemu alikuwa akiiba mke ama nakosea!?Mkuu, una uhakika kaiba mke? Kwanini mnamchafua marehemu?
Marehemu hachafuki but story inaonyesha kama marehemu alikuwa akiiba mke ama nakosea!?
Afadhali hata angekuwa mrembo mwanamke mwenyewe sura kama Kibu Dennis kakosa goli la waziMimi ukiniambia mwanaume kajiua sababu ya mchepuko, tena mchepuko unaomzidi umri, mchepuano ambao unaona kabisa mtongozaji ni mwanamke, nitakataa mpaka kesho kutwa.
Yule dogo hawezi kujiua sababu ya mke wa Masanja kamwee.
Something is wrong somewhere.