IGP Camillus Wambura, Mkamateni Masanja na Mkewe Monica. Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe apishe Uchunguzi

IGP Camillus Wambura, Mkamateni Masanja na Mkewe Monica. Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe apishe Uchunguzi

Kifo cha yule dogo kimekaa kimkakati! Nimepitia page ya dogo sioni uwezekano wa kujiua kwasababu za kizembe vile.

Alafu inasemekana ujumbe alituma kwa mama yake, marafiki zake kabla hajajiondoa na ukisoma ujumbe wenyewe sioni kabisa uwezekano wa kuandikwa na yule dogo.

Polisi wafatilie kwa undani, kuna jambo halijakaa sawa kabisa! Isijekuwa dogo kaondoshwa sababu nyingine nje ya mapenzi ikiwemo biashara haramu.
Tatizo polisi wa bongo na wabongo wenyewe akili zao wanazijua wenyewe, polisi hawawezi hata kujiongeza kidogo kufanya uchunguzi sana sana wataconclude kajiua tu. Na kuna kitu hapo. Aidha jamaa knows too much sasa imebidi wamsilence au ni kweli anapiga mke wa jamaa imegundulika wameamua kumpoteza.Something is not right somewhere.
 
Mkuu,sasa hivi ukifuatilia mitandaoni kila mtu anafurahi yaliyomkuta masanja,hakuna mtu anafikiria kiundani,huenda kama mkandamizaji ndiye kafanya hayo alijua kabisa watu wengi hawampendi hivo watafurahi na hakutokuwa na uchunguzi

Ni ngumu sana wamchunguze,hapa Africa utachungunzwa endapo tu kama ulikuwa na ugomvi wa wazi na marehemu
Watu hawampendi masanja kwasababu ya uchawa wake kwa ccm sijaona sababu nyingine.
Kama ni yeye kafanya hlf amchafue mke wake kiasi hicho na bado aendelee kuwa naye, inafikirisha sana.
 
Watu hawampendi masanja kwasababu ya uchawa wake kwa ccm sijaona sababu nyingine.
Kama ni yeye kafanya hlf amchafue mke wake kiasi hicho na bado aendelee kuwa naye, inafikirisha sana.
Mambo ni mengi mkuu,wacha tusibiri mazishi, Masanja naye kasema anakwenda msibani
Ila kuna funzo hapo, uchawa na kuweka maisha binafsi mitandaoni ni kujitengenezea bomu, ingekua ni mke wa joti kaliwa watu wasingecheka
 
Imagine wewe ungekuwa mwanaume, mtu akulie papuchi yako alafu ajiue, unapata wapi nguvu ya kumpost mkeo mtandaoni na kumwambia unampenda, na kesho yake huko WhatsApp unahamasisha watu mwende mkamzike mume mwenzio
Utata upo jinsi alivyojiua na huo ujumbe,, na watu kusema ni masanja kafanya.
Iweje aue, na barua iweke wazi chanzo ni mke wake?
Huoni kama ameweka sababu ya watu kumshuku na kumhusisha na mauaji? Why afanye hivyo?
 
Asee kuna ishu humu!!

Basi humu JF nasikia mtu akiandika uzi anaambiwa huu mwandiko wa kike/kiume,au mwandiko mzuri/mbaya!
Basi zimwagwe daftari,notis na vipeperushi mbalimbali alivyowahi kuandika enzi za uhai wake ili tuisaidie polisi kubaini ukweli.

Haiwezekani kijana apotee pyiruuuu kama upepo eti kisa papuchi nzee!!
 
Mambo ni mengi mkuu,wacha tusibiri mazishi, Masanja naye kasema anakwenda msibani
Ila kuna funzo hapo, uchawa na kuweka maisha binafsi mitandaoni ni kujitengenezea bomu, ingekua ni mke wa joti kaliwa watu wasingecheka
Pastor naye ajifunze kuwa na akiba ya maneno maana mbwembwe nyingi na akasahau kuwa chamtu ukiwa na mtu na chuma ukiwa na kutu
 
Utata upo jinsi alivyojiua na huo ujumbe,, na watu kusema ni masanja kafanya.
Iweje aue, na barua iweke wazi chanzo ni mke wake?
Huoni kama ameweka sababu ya watu kumshuku na kumhusisha na mauaji? Why afanye hivyo?
Ndio mana kuna member hapo juu kasema hasira ni mbaya, umesahau yale mauaji tunayosoma kila siku humu ? Wivu wa mapenzi unafanya mtu anafanya kitu ambacho sisi hatuwezi kuelewa
 
Unaweza kuta huyo kijana Wamemuua hao akina Masanja kwa kitu kingine kabisa like pesa au siri zingine tu, watu wakakaa wakaaambiana tupange amejiua na kisa kiwe mke wa Masanja.. hawa watu wa dini za mchongo kama Masanja uwaga matapeli sana. Tena unaweza kuta hata huo mchongo wa hio story ni polisi wenyewe ndio wamemtungia Masanja halafu wakavuta mtonyo...hii nchi wewe acha tu.
 
Ukweli ufahamike ili iwe somo kwa wote wanaofikiri kufanya uhalifu wa aina hiyo. Kama Masanja na mkewe hawahusiki kwa lolote Mungu atawasaidia. Kama kuna dhuruma ya uhai wa mtu hakuna namna utapona iwe sasa au baadae!
 
Au maigizo yake yamefanya mafia wamuingilie na kumchafua? Maigizo kama yale ya kutaka mkono upigwe kwa kushindanisha nguvu na yule mr slim, je kama angeamua kumfanyinzia anashindwa nini kumpenyezea mafia wake wamkomeshe? Mamabo ni mengi katika kunusanusa mpaka ukweli upatikane
 
Back
Top Bottom