IGP Camillus Wambura, Mkamateni Masanja na Mkewe Monica. Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe apishe Uchunguzi

IGP Camillus Wambura, Mkamateni Masanja na Mkewe Monica. Mkuu wa Kituo cha Polisi Kawe apishe Uchunguzi

Kama yupo freemason sio jambo la ajabu ni katika mambo ya kupanda madaraja na kupata upako zaidi wa kichungaji. Kama yupo kwa Mungu ni jaribu tu yawapatayo watumishi wengi wa Mungu. Siri anayo yeye.
 
Tuseme kweli ilikuwa planned ameuliwa...
Iweje barua aliyoiacha imchafue mke wa jamaa?
Yaani wapange halafu mke achafuliwe kiasi hicho na hakuna ukweli wowote. Hebu nifungue akili...
Bongo kila kitu kinawezekana, makanisa yamekua vichaka vya uovu
 
20221003_122354.jpg
 
Kifo cha yule dogo kimekaa kimkakati! Nimepitia page ya dogo sioni uwezekano wa kujiua kwasababu za kizembe vile.

Alafu inasemekana ujumbe alituma kwa mama yake, marafiki zake kabla hajajiondoa na ukisoma ujumbe wenyewe sioni kabisa uwezekano wa kuandikwa na yule dogo.

Polisi wafatilie kwa undani, kuna jambo halijakaa sawa kabisa! Isijekuwa dogo kaondoshwa sababu nyingine nje ya mapenzi ikiwemo biashara haramu.
Naomba jina la page yake nikamuangalie marehemu
 
Vipi uchunguzi wako ndo unasema ivi, jamaa kamforce kijana afe baada ya tunda lake kung'atwa na huyo kijana
 
Tuseme kweli ilikuwa planned ameuliwa...
Iweje barua aliyoiacha imchafue mke wa jamaa?
Yaani wapange halafu mke achafuliwe kiasi hicho na hakuna ukweli wowote. Hebu nifungue akili...
Vipi kama tayari kulikuwa na rumors? Kukiwa na rumors kwamba fulani anakula mkeo huwezi mdedisha huyo mwamba usidakwe,njia nyepesi ni hiyo barua iandikwe alafu aonekane amejiua mwenyewe
Mkandamizaji inasemwa toka zamani anauza unga wa azam
 
Vipi kama tayari kulikuwa na rumors? Kukiwa na rumors kwamba fulani anakula mkeo huwezi mdedisha huyo mwamba usidakwe,njia nyepesi ni hiyo barua iandikwe alafu aonekane amejiua mwenyewe
Mkandamizaji inasemwa toka zamani anauza unga wa azam
Kama kulikuwa na rumours asingemdedisha halafu chanzo kiwe hicho na barua iandikwe hivyo, huoni ni kama anajishtaki watamchunguza?
 
Kama kulikuwa na rumours asingemdedisha halafu chanzo kiwe hicho na barua iandikwe hivyo, huoni ni kama anajishtaki watamchunguza?
Mkuu,sasa hivi ukifuatilia mitandaoni kila mtu anafurahi yaliyomkuta masanja,hakuna mtu anafikiria kiundani,huenda kama mkandamizaji ndiye kafanya hayo alijua kabisa watu wengi hawampendi hivo watafurahi na hakutokuwa na uchunguzi

Ni ngumu sana wamchunguze,hapa Africa utachungunzwa endapo tu kama ulikuwa na ugomvi wa wazi na marehemu
 
Vipi kama tayari kulikuwa na rumors? Kukiwa na rumors kwamba fulani anakula mkeo huwezi mdedisha huyo mwamba usidakwe,njia nyepesi ni hiyo barua iandikwe alafu aonekane amejiua mwenyewe
Mkandamizaji inasemwa toka zamani anauza unga wa azam
Mkuu unaweza kuniunganisha naye?
Nahitaji unga wa muhogo kwa ajili ya ugali
 
Kama kulikuwa na rumours asingemdedisha halafu chanzo kiwe hicho na barua iandikwe hivyo, huoni ni kama anajishtaki watamchunguza?
Imagine wewe ungekuwa mwanaume, mtu akulie papuchi yako alafu ajiue, unapata wapi nguvu ya kumpost mkeo mtandaoni na kumwambia unampenda, na kesho yake huko WhatsApp unahamasisha watu mwende mkamzike mume mwenzio
 
Back
Top Bottom