Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Itakuwa ni mtu ambae ana uadui na masanja may be kaamua kumkomoa.Hakuna mtu mwenye akili chafu aaue mgoni wake kisha amchafue mkewe wake.
Hio barua tu tayari ni kasfa bila kujali alikuwa anakula au la
Doesn't make sense mtu ajiue kwasababu ya kukataliwa na mchepuko ambaye ni mke wa mtu. Na yeye ana mke tena kamuoa juzi juzi tu hapa.
Labda kama ana matatizo ya akili