IGP gani ulimkubali kwenye kuchapa kazi?

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,412
Reaction score
3,043
Kwangu mimi mpaka kesho namkubali sana Afande Said Mwema, pale tulipata IGP! Jamaa ni mchapa kazi mzuri ambaye aliamua kulirudisha jeshi kwa raia yaani ule ushirikiano wa Askari na Jamii. Mwana jf mwenzangu wewe ulimkubali IGP yupi? Na kipi kilikuvutia kwa IGP huyo?
 
Hata Ernest Mangu alikua na unafuu ukilinganisha na huyu wa sasa.
 
Dah kuna mwamba mmoja hapa mtaani kwetu nakumbuka alienda kuiba nyumbani kwa said mwema pale upanga pamoja na ulinzi wote ule.
 
Alfred Tibaigana. huyu alikuwa firld marshall wa dar kwa miaka ileee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…