IGP Mangu: Lugumi ilitekeleza mkataba wake na Jeshi la Polisi

IGP Mangu: Lugumi ilitekeleza mkataba wake na Jeshi la Polisi

Mimi ni IT proffesional na sizdhani kama hizo biometric system ili zifanye kazi zinahitaji internet connection wala sio kweli Mangu anaongea mambo asiyo yajua. Only LOcal area network inahitajika kwenye hiyo system. Anajaribu kutetea uovu huyu Mangu
 
Jamani wewe Mangu Muogope Mungu kumlinda binadamu alie mwizi!! Jamani nyieee dunia hiii!! Haya!! Subiri na wewe uliwe nyama soon!! Subiri kamati ipite na ije na report! Kama kubebana ndio hvyo sawa!!!ukweli hautajificha kamwe
 
Swali La Ziada, Kwanini Jeshi La Polisi Linashindwa Kuwalipa TTCL Gharama Za Intaneti Hadi Wanakatiwa Huduma?
Aibu sana,miradi mingi ya africa hufa kwa sababu kama hizo.Plan ya mradi ilikuaje juu ya gharama za internet?hao hao wanaenda kwenye vyombo vya habari kuwa wamefanikiwa kuvuka lengo la makusanyo ya faini
 
Sasa wanawekaje vifaa vinavyohitaji internet kwenye vituo ambavyo havina internet?hapa ni jipu, aliyebuni mradi huo kabla ya kuhakikisha internet inapatikana ndio jipu lenyewe.
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh, naona picha ya govinda ndio inaendelea adui akiwa shakti
 
Ni kweli mkuu tena ni bora angekaa kimya angejijengea heshima kubwa, lakini kumbuka Magufuli anakumbuka fadhila kwa kazi aliyofanya kwenye kampeni anaweza kufumba macho akamlinda kama alivyopata kuwalinda, Mwakyembe, January na sasa kitwanga.

Mkuu unaweza kunijuza na mie Kitwanga kafanya nini maanake naskia sikia ila sikljapata taarifa kamili??
 
Hapa ndipo IGP amejipalia mkaa na asipokuwa makini hii story itamletea maneno mengi mpaka atajuta kusema hadharani, hivi Thamani ya hivyo vifaa ni bilion 34 ? Uchunguzi uliofanyika kwa kiina Thamani ya Hizo mashine haifiki hata bilion 1 , pesa nyingi ilizidishwa ikaliwa na wajanja wakagawana na sasa ndiyo inatumika kuwanunua wote wanaotumwa kulichunguza hilo sakata, Rushwa imetembea sana na baadhi ya mashine zimefungwa chapchap kwenye Vituo ili kumlinda Said mwema na hii Aibu , lakini Ukweli harisi pesa aliyopewa Lugumi haiendani na Thamani ya hizo mashine bali pesa nyingi imeliwa na wajanja wachache kisha kuleta vifaa ili kuwahadaa Watanzania.
Wana mageuzi walipo sema tatizo la ufisadi wa tanzania ni mfumo walipuuzwa na wana ccm yaani watawala, lkn leo hii rais magufuli anapambana mwenyewe na wajanja wanamzunguka
 
Haaa
Ilaa uyo jamaa ni muhuni asee
Hilo ni dili kabsa walipiga hela unaletaje vifaa vinahitaj internent alaf hata iyo internet hamna, umewezaj kulipa mabilion kwa lugumi, alaf huduma ya TTCL tuu inakushinda kuilipia!!!
Amekera sana uyo
 
Ni kweli mkuu tena ni bora angekaa kimya angejijengea heshima kubwa, lakini kumbuka Magufuli anakumbuka fadhila kwa kazi aliyofanya kwenye kampeni anaweza kufumba macho akamlinda kama alivyopata kuwalinda, Mwakyembe, January na sasa kitwanga.
Inasikitisha sana kila mkuu wa idara anakuwa na masharubu kama kambale
 
Swali La Ziada, Kwanini Jeshi La Polisi Linashindwa Kuwalipa TTCL Gharama Za Intaneti Hadi Wanakatiwa Huduma?
Unauliza swali kama umerudi leo toka ulaya!!! Taasisi nyingi za serikali hudaiwa na watoa huduma kama vile mamlaka za maji Tanesco na TTCL.
Au muulizaji upo chini ya miaka 15? Basi kuwa utayaona.
 
Huyu jamaa angekaa kimya kuhusu hili suala ingemsaidia sana,ye ananona kwa majibu aliyoyaandaa yanajitosheleza. Sasa ngoja tuje tuone sinema linavyoenda na ndo kwanza iko episode ya 3.........
 
Mimi ni IT proffesional na sizdhani kama hizo biometric system ili zifanye kazi zinahitaji internet connection wala sio kweli Mangu anaongea mambo asiyo yajua. Only LOcal area network inahitajika kwenye hiyo system. Anajaribu kutetea uovu huyu Mangu
Rudi kasome tena IT. Mawasiliano ya Mwanza na kituo kikuu Dar yatafanyika kwa LAN?
Tatizo unataka kujikweza tu huna IT yoyote ulichosoma ni historia ya IT.
 
Back
Top Bottom