Ha ha ha ha ha ha ha ha haya bana sina swali zaidi mkuu!!Ukiisha amka ukanawa uso utajua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha ha ha ha ha haya bana sina swali zaidi mkuu!!Ukiisha amka ukanawa uso utajua.
....kila kimoja kiligharimu 343 million....!/
TUJARIBU KUGOOGLE BEI ZAKE
CHINA , UK ,U.S , FRANCE.
KILA KAMOJA HAKAZIDI LAKI 600000/- na hapo nimemaximase Juu mno,bei halisi ni ~20$-120$@.
centraliser pamoja na minara ya kukontral vijimashine vyote katika ku-access Info's au kulinganisha taarifa na KUZIHIFADHI haizidi $ 150,000/-.
Uchunguzi au wanagonga glass?mkuu.
hongera kwa kuliona hilo mapema.
maana TAKUKURU, PPRA, TISS bado wapo ktk mchakato wa uchunguzi....
Kaveli, wewe ni mganga wa kienyeji?Anatumbuliwa muda si mrefu huyo. Very soon!