IGP Mangu: Lugumi ilitekeleza mkataba wake na Jeshi la Polisi

IGP Mangu: Lugumi ilitekeleza mkataba wake na Jeshi la Polisi

....kila kimoja kiligharimu 343 million....!/
TUJARIBU KUGOOGLE BEI ZAKE
CHINA , UK ,U.S , FRANCE.
KILA KAMOJA HAKAZIDI LAKI 600000/- na hapo nimemaximase Juu mno,bei halisi ni ~20$-120$@.
centraliser pamoja na minara ya kukontral vijimashine vyote katika ku-access Info's au kulinganisha taarifa na KUZIHIFADHI haizidi $ 150,000/-.


mkuu.

hongera kwa kuliona hilo mapema.

maana TAKUKURU, PPRA, TISS bado wapo ktk mchakato wa uchunguzi....
 
Back
Top Bottom