IGP Simon Sirro; madaraka hupita, toba hutengeneza mwisho mwema



Wapi nilipounga mkono au kuhukumu. Hivi unajua kusoma na kuelewa kweli wewe au ni ushabiki unakusumbua!?

Mpigie simu Tundu aje hili neno liishe.... mbona alikuja kwenye kampeni!?

Asipokuja anatufikirisha zaidi
 
Kwa majibu ya Siro tumwachie Mungu aamue kama kweli Siro hajui chochote kuhusu kutaka kutoa robo ya binadamu mwezake
 
Wapi nilipounga mkono au kuhukumu. Hivi unajua kusoma na kuelewa kweli wewe au ni ushabiki unakusumbua!?

Mpigie simu Tundu aje hili neno liishe.... mbona alikuja kwenye kampeni!?

Asipokuja anatufikirisha zaidi
Mama D hakuna haja ya kuendeleza ubishi. Umesema mwenyewe kuwa "Mama alipokuwa makamu wa Rais alisema askari wa Tanzania hawezi mpiga mtu risasi tatu akamkosa" kwa tafsiri hii unaungana na Sirro kuwa Lissu alijipiga risasi mwenyewe/ watu wake walimpiga risasi kutafuka "kiki". Sikatai hilo ila "Mungu hadhihakiwi"
 
Kama bado Sirro hajatubu kwa ile kauli basi analo. Hadi natamani Lissu akubali uteuzi wa Mama Samia na awe waziri wa mambo ya ndani ya nchi. Maana nasikia mama yupo tayari kumpa cheo chochote Lissu ili wajenge nchi kwa pamoja
Thubutu
 

Mama aliongea kama serikali wewe unampinga kwa uthubitisho gani???

Sirro nae kaongea kama serikali akimaanisha kama muathirika hatoi ushirikiano kwa vyombo husika inaleta maswali na majibu mengine.

Kuongea mitandaoni haina tija wala afya kwa Tundu mwenyewe, kwetu wala taifa.

Yeye aje tuwajue washika mtutu waliohusika kumpiga risasi
 
Kuna siku atajutia hii kauli,naona hajifunzi kwa yaliyomkuta Boss wake,dunia hii ina kanuni zake

Kwani boss wake yalimkuta yepi!??

Kufariki ni adhabu!??

Huna wazazi, ndugu, au jamaa waliofariki!?? Kwani hio ni adhabu kwao au ww mwenzetu na Jamii yako mmeandikwa kuishi milele

Acheni akili za kipuuzi kama mmenyofolewa ubongo bana
 
Kwani boss wake yalimkuta yepi!??

Kufariki ni adhabu!??

Huna wazazi, ndugu, au jamaa waliofariki!?? Kwani hio ni adhabu kwao au ww mwenzetu na Jamii yako mmeandikwa kuishi milele

Acheni akili za kipuuzi kama mmenyofolewa ubongo bana

Watu wanadhani kufa ni adhabu
Wakati kiuhalisia kufa ni lazima na kiimani kufa ni kumaliza kazi za ulimwengu huu
 
Mkuu, comment yako inaumiza sana kwa wenye mioyo yenye hofu ya Mungu. Nimejisikia kutoendelea kusoma comments zingine, maana naona hii kama imemaliza kila kitu kuhusu huyu Sirro. Tuombe uhai tuweze kumuona akiishi maisha yenye furaha.
 
Mkuu, comment yako inaumiza sana kwa wenye mioyo yenye hofu ya Mungu. Nimejisikia kutoendelea kusoma comments zingine, maana naona hii kama imemaliza kila kitu kuhusu huyu Sirro. Tuombe uhai tuweze kumuona akiishi maisha yenye furaha.

Zombe anaishi maisha gani siku hizi?
 
Hukumu ya Mungu inamsubiri kwa udhalimu alioufumbia/alioshiriki kwa nafasi yake.

Mungu hadhihakiwi.
Nyinyi mnafikiri Mungu ana Pokea rushwa? Maana haya mnayo andika mnajaribu kumpa Mungu rushwa ya sifa! - "hukumu ya Mungu inamsubiri, Mungu hadhihakiwi etc". Mungu hasikilizi na kutenda kwa utashi wenu. Na hivi, nani aliwaambia Mungu yupo upande wa watu wanaopinga serikali tu?
 
Kwani boss wake yalimkuta yepi!??

Kufariki ni adhabu!??

Huna wazazi, ndugu, au jamaa waliofariki!?? Kwani hio ni adhabu kwao au ww mwenzetu na Jamii yako mmeandikwa kuishi milele

Acheni akili za kipuuzi kama mmenyofolewa ubongo bana
Umeniuliza maswali hapo juu,halafu ukajijibu mwenyewe,halafu ukatoa hitimisho.

Sasa kati ya Mimi na wewe nani aliyenyofolewa ubongo?
 
Kama bado Sirro hajatubu kwa ile kauli basi analo. Hadi natamani Lissu akubali uteuzi wa Mama Samia na awe waziri wa mambo ya ndani ya nchi. Maana nasikia mama yupo tayari kumpa cheo chochote Lissu ili wajenge nchi kwa pamoja
We can't bargain with the devils to build our nation.. yule ni msaliti akapewe cheo huko huko Ubelgiji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…