mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Sina zaidi ya hilo nililokiambia my dear. Ila tu Mungu hadhihakiwi. Usichukulie uovu/dhambi ya mtu mwingine kuwa kisingizio cha wewe kuhukumu au kuunga mkono uovu.
Kumbuka tunakosea kwa kuwaza, kwa kunena kwakutenda na hata kwakutokutimiza wajibu. Basi chukua wajibu wako kama huwezi bora ukae kimya.
Wapi nilipounga mkono au kuhukumu. Hivi unajua kusoma na kuelewa kweli wewe au ni ushabiki unakusumbua!?
Mpigie simu Tundu aje hili neno liishe.... mbona alikuja kwenye kampeni!?
Asipokuja anatufikirisha zaidi