IGP Simon Sirro unasubiri nini kujiuzulu kwa kashfa hizi za Jeshi la Polisi?

IGP Simon Sirro unasubiri nini kujiuzulu kwa kashfa hizi za Jeshi la Polisi?

Prof Koboko

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
350
Reaction score
2,550
Mzee Siro kutokana na uzoefu wako wa Operations mbalimbali ulizosimamia nchini kwa mafanikio makubwa tulijua unaweza kuliongoza jeshi la Polisi katika weledi mkubwa lakini matokeo yake umeonekana kushindwa kabisa kuja na mbinu mpya na za kisasa kuendesha jeshi hili. Jeshi linakuwa na kashfa kubwa za Mauaji,rushwa, unyang'anyi, ubambikiaji kesi ambapo Rais alilinyooshea kidole, wewe upo tu haya yanaendelea nchini sijui ni nini kimetushinda mzee.

Ninachokiona kwenye managemts kuna kitu tunaita Operational leaders/Managers na day to day activities leaders, Wewe ni Operational leader na siyo day to day activities leaders. Ulitakiwa kuwa kamanda wa Operation maalum nchini na siyo kuwa IGP. Hiki ni cheo kikubwa sana ambacho kinahitaji ubunifu, busara, hekima na maamuzi ya haraka yenye maslahi kwa taifa. Ni vyema sana kuwaachia vijana wenye ubunifu na mbinu mpya za kisasa kuendesha jeshi hili.

Tuondoke kwenye matumizi ya nguvu,yaani Police Force twende kwenye jeshi la huduma,yaani police service, ibakie tu unit moja ya FFU ambayo itatoa units ziingine Kama za kuzuia ugaidi na madawa ya kulevya. Police force ni mambo ya kikoloni na ndiyo maana tunaona tunaona kelele za kashfa na sifa mbaya haziishii kwenye jeshi hili. Natamani kuona wakipatikana vijana wapya wabunifu hasa waliofanya kazi kazi Interpol ambao wamejifunza mengi kutoka nchi mbali mbali juu ya jeshi la polisi. Kuendelea kua na jeshi ambalo kila anayeingia kufanya kazi anawaza kuiba tu hatutafikia.

Kwahiyo Mzee Siro ili kutunza heshima yako ni muda mwafaka kujiuzulu. Hii kazi si Saiz yako.
 
Ma IGP kwa ubora wa utendaji kwa kipindi cha miaka michache
1. Said Mwema - Alifanya mahusiano na jamii yawe Bora.
2. Ernest Mangu
3. Alfred Tibaigana
4. Simon Sirro wapo sawa tu na mzee wa mapanga ya CUF- Worst IGPs
 
Huyu IGP hawezi kujiuzulu kwa kelele za watanzania, kwa kuwa anateuliwa na Rais aliyepo madarakani na wao ndiyo wanufaika wakubwa wa utawala wa IGP Sirro.

Umesahau mabox ya kura ya wizi yakiingizwa kwenye vituo vya kupigia kura, wakati wa uchaguzi mkuu, yakisindikizwa na hao mapolisi??

Ukweli wa mambo ni kuwa mtu hawezi kuukata mkono unaompa kula!
 
Wanasema nae ni msomi ila utendaji wake upo chini sana kwa kweli yaani polisi wamekua hawaaminiki tena kwa raia wanaowalindia mali zao maana walinzi wakikukuta na kiasi kukibwa cha fedha wanakuua ni kama kikosi cha majambazi kinachotumia kodi za Wananchi...huko barabarani rushwa ndio usiseme...
 
Ma IGP kwa ubora wa utendaji kwa kipindi cha miaka michache
1. Said Mwema - Alifanya mahusiano na jamii yawe Bora.
2. Ernest Mangu
3. Alfred Tibaigana
4. Simon Sirro wapo sawa tu na mzee wa mapanga ya CUF- Worst IGPs
... Tibaigana? When?
 
Ma IGP kwa ubora wa utendaji kwa kipindi cha miaka michache
1. Said Mwema - Alifanya mahusiano na jamii yawe Bora.
2. Ernest Mangu
3. Alfred Tibaigana
4. Simon Sirro wapo sawa tu na mzee wa mapanga ya CUF- Worst IGPs
Yes ma IGP walioboronga ni Mahita na Sirro.

The best alikuwa Mzee Said Mwema.

Ernest Mangu yeye alitoutiana na tabia za kufanyakazi kwa mzuka alizokuwa nazo mwendazake. So akapangiwa kazi nyingine Ili kulinda heshima yake. Maamuzi mazuri kabisa alifanya.
 
Yes ma IGP walioboronga ni Mahita na Sirro.

The best alikuwa Mzee Said Mwema.

Ernest Mangu yeye alitoutiana na tabia za kufanyakazi kwa mzuka alizokuwa nazo mwendazake. So akapangiwa kazi nyingine Ili kulinda heshima yake. Maamuzi mazuri kabisa alifanya.
Said Mwema msomi mzuri ila mpigaji mkubwa.
Nilisikia huko moshi kilimanjaro mji mzima kanunua nyumba za watu kupitia madalali na wahuni enzi za JK.
Kile kiwanda chake cha mikate kwa ajili ya kutengeneza mikate kwa ajili ya chuo cha polisi moshi kilifungwa enzi ya JPM.

Mabasi ya Happy Nations ni share holder mkubwa speed yake barabarani ni 150kms per hour. Hakuna cha touch.
 
Ma IGP kwa ubora wa utendaji kwa kipindi cha miaka michache
1. Said Mwema - Alifanya mahusiano na jamii yawe Bora.
2. Ernest Mangu
3. Alfred Tibaigana
4. Simon Sirro wapo sawa tu na mzee wa mapanga ya CUF- Worst IGPs
Tangu lini Alfred tibaigana alikuwa IGP? Ila mzee mwenzangu huyu namkubali sana hana roho ya korosho niliwahi hudhuria harusi ya binti yake hakika mzee ana upendo wa dhati kwa vijana wake.
 
Ma IGP kwa ubora wa utendaji kwa kipindi cha miaka michache
1. Said Mwema - Alifanya mahusiano na jamii yawe Bora.
2. Ernest Mangu
3. Alfred Tibaigana
4. Simon Sirro wapo sawa tu na mzee wa mapanga ya CUF- Worst IGPs
Hivi Said Mwema nashangaa anasifiwa, wakati wake kuliibuka ujambazi wa hali ya juu nchini. Alihubiri mahusiano lkn hakuna kilichofanyika. Watu waliendelea kubambikwa na kesi za uongo. Hata Ernest Mangu hakufanya lolote lile.
Sijawahi kuridhishwa na mfumo wa jeshi la Polisi kiujumla Tanzania. Jeshi hili linahitaji kuboresha na kufanyiwa Mageuzi makubwa. Kuwa na mfumo mpya wa uendeshwaji na utendaji kazi.

Polisi ya Tanzania, inamuona raia kama mkosaji wakati wote. Polisi ya Tanzania ipo kwa maslahi ya chama tawala si wananchi. Hivyo sijaona Mkuu wa Polisi ambaye kweli alipunguza au kuondoa unyanyasaji wa wananchi na kutenda haki.
 
Mzee Siro kutokana na uzoefu wako wa Operations mbalimbali ulizosimamia nchini kwa mafanikio makubwa tulijua unaweza kuliongoza jeshi la Polisi katika weledi mkubwa lakini matokeo yake umeonekana kushindwa kabisa kuja na mbinu mpya na za kisasa kuendesha jeshi hili. Jeshi linakuwa na kashfa kubwa za Mauaji,rushwa, unyang'anyi, ubambikiaji kesi ambapo Rais alilinyooshea kidole, wewe upo tu haya yanaendelea nchini sijui ni nini kimetushinda mzee.

Ninachokiona kwenye managemts kuna kitu tunaita Operational leaders/Managers na day to day activities leaders, Wewe ni Operational leader na siyo day to day activities leaders. Ulitakiwa kuwa kamanda wa Operation maalum nchini na siyo kuwa IGP. Hiki ni cheo kikubwa sana ambacho kinahitaji ubunifu, busara, hekima na maamuzi ya haraka yenye maslahi kwa taifa. Ni vyema sana kuwaachia vijana wenye ubunifu na mbinu mpya za kisasa kuendesha jeshi hili.

Tuondoke kwenye matumizi ya nguvu,yaani Police Force twende kwenye jeshi la huduma,yaani police service, ibakie tu unit moja ya FFU ambayo itatoa units ziingine Kama za kuzuia ugaidi na madawa ya kulevya. Police force ni mambo ya kikoloni na ndiyo maana tunaona tunaona kelele za kashfa na sifa mbaya haziishii kwenye jeshi hili. Natamani kuona wakipatikana vijana wapya wabunifu hasa waliofanya kazi kazi Interpol ambao wamejifunza mengi kutoka nchi mbali mbali juu ya jeshi la polisi. Kuendelea kua na jeshi ambalo kila anayeingia kufanya kazi anawaza kuiba tu hatutafikia.

Kwahiyo Mzee Siro ili kutunza heshima yako ni muda mwafaka kujiuzulu. Hii kazi si Saiz yako.
 
Mzee Siro kutokana na uzoefu wako wa Operations mbalimbali ulizosimamia nchini kwa mafanikio makubwa tulijua unaweza kuliongoza jeshi la Polisi katika weledi mkubwa lakini matokeo yake umeonekana kushindwa kabisa kuja na mbinu mpya na za kisasa kuendesha jeshi hili. Jeshi linakuwa na kashfa kubwa za Mauaji,rushwa, unyang'anyi, ubambikiaji kesi ambapo Rais alilinyooshea kidole, wewe upo tu haya yanaendelea nchini sijui ni nini kimetushinda mzee.

Ninachokiona kwenye managemts kuna kitu tunaita Operational leaders/Managers na day to day activities leaders, Wewe ni Operational leader na siyo day to day activities leaders. Ulitakiwa kuwa kamanda wa Operation maalum nchini na siyo kuwa IGP. Hiki ni cheo kikubwa sana ambacho kinahitaji ubunifu, busara, hekima na maamuzi ya haraka yenye maslahi kwa taifa. Ni vyema sana kuwaachia vijana wenye ubunifu na mbinu mpya za kisasa kuendesha jeshi hili.

Tuondoke kwenye matumizi ya nguvu,yaani Police Force twende kwenye jeshi la huduma,yaani police service, ibakie tu unit moja ya FFU ambayo itatoa units ziingine Kama za kuzuia ugaidi na madawa ya kulevya. Police force ni mambo ya kikoloni na ndiyo maana tunaona tunaona kelele za kashfa na sifa mbaya haziishii kwenye jeshi hili. Natamani kuona wakipatikana vijana wapya wabunifu hasa waliofanya kazi kazi Interpol ambao wamejifunza mengi kutoka nchi mbali mbali juu ya jeshi la polisi. Kuendelea kua na jeshi ambalo kila anayeingia kufanya kazi anawaza kuiba tu hatutafikia.

Kwahiyo Mzee Siro ili kutunza heshima yako ni muda mwafaka kujiuzulu. Hii kazi si Saiz yako.
Afrika kiongozi kujiuzulu ni ngum Sana,Angalau Ndugai kafanya ila bahada ya hesabu kali,,
 
Ma IGP kwa ubora wa utendaji kwa kipindi cha miaka michache
1. Said Mwema - Alifanya mahusiano na jamii yawe Bora.
2. Ernest Mangu
3. Alfred Tibaigana
4. Simon Sirro wapo sawa tu na mzee wa mapanga ya CUF- Worst IGPs
Tibaigana hajawahi kuwa IGP, alistaafu akiwa CP
 
Back
Top Bottom