wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,046
- 2,453
Hayo yote yalipaliliwa na jiwe na sasa Mama Tozo kahalalisha -watu wale kwa urefu wa kamba zao.Usichojua Ni kwamba
Polisi n majambazi waliohalalishwa na serikali kutumia Kodi zetu kutudhulumu na wakat mwingine hata kuua wananchi
Tujiongezee ulinzi binafsi pollisi SI walinz wa raia na mali kwa Sasa n waporaji na wauaji wa raia
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wala hana habari kama kuna jambo limetokea. Hizo ni habari zenu za mitandaoni.Mzee Siro kutokana na uzoefu wako wa Operations mbalimbali ulizosimamia nchini kwa mafanikio makubwa tulijua unaweza kuliongoza jeshi la Polisi katika weledi mkubwa lakini matokeo yake umeonekana kushindwa kabisa kuja na mbinu mpya na za kisasa kuendesha jeshi hili. Jeshi linakuwa na kashfa kubwa za Mauaji,rushwa, unyang'anyi, ubambikiaji kesi ambapo Rais alilinyooshea kidole, wewe upo tu haya yanaendelea nchini sijui ni nini kimetushinda mzee.
Ninachokiona kwenye managemts kuna kitu tunaita Operational leaders/Managers na day to day activities leaders, Wewe ni Operational leader na siyo day to day activities leaders. Ulitakiwa kuwa kamanda wa Operation maalum nchini na siyo kuwa IGP. Hiki ni cheo kikubwa sana ambacho kinahitaji ubunifu, busara, hekima na maamuzi ya haraka yenye maslahi kwa taifa. Ni vyema sana kuwaachia vijana wenye ubunifu na mbinu mpya za kisasa kuendesha jeshi hili.
Tuondoke kwenye matumizi ya nguvu,yaani Police Force twende kwenye jeshi la huduma,yaani police service, ibakie tu unit moja ya FFU ambayo itatoa units ziingine Kama za kuzuia ugaidi na madawa ya kulevya. Police force ni mambo ya kikoloni na ndiyo maana tunaona tunaona kelele za kashfa na sifa mbaya haziishii kwenye jeshi hili. Natamani kuona wakipatikana vijana wapya wabunifu hasa waliofanya kazi kazi Interpol ambao wamejifunza mengi kutoka nchi mbali mbali juu ya jeshi la polisi. Kuendelea kua na jeshi ambalo kila anayeingia kufanya kazi anawaza kuiba tu hatutafikia.
Kwahiyo Mzee Siro ili kutunza heshima yako ni muda mwafaka kujiuzulu. Hii kazi si Saiz yako.
NdioKwan majambazi si yanakuwaga na mkuu wao?
Unadhani kwamba hajui nini cha kufanya?? Hizo ndio terms of work.Wanasema nae ni msomi ila utendaji wake upo chini sana kwa kweli yaani polisi wamekua hawaaminiki tena kwa raia wanaowalindia mali zao maana walinzi wakikukuta na kiasi kukibwa cha fedha wanakuua ni kama kikosi cha majambazi kinachotumia kodi za Wananchi...huko barabarani rushwa ndio usiseme...
Tibaigana hajawahi kuwa IGPMa IGP kwa ubora wa utendaji kwa kipindi cha miaka michache
1. Said Mwema - Alifanya mahusiano na jamii yawe Bora.
2. Ernest Mangu
3. Alfred Tibaigana
4. Simon Sirro wapo sawa tu na mzee wa mapanga ya CUF- Worst IGPs
Hivi Tibaigana aliwahi kuwa IGP?Ma IGP kwa ubora wa utendaji kwa kipindi cha miaka michache
1. Said Mwema - Alifanya mahusiano na jamii yawe Bora.
2. Ernest Mangu
3. Alfred Tibaigana
4. Simon Sirro wapo sawa tu na mzee wa mapanga ya CUF- Worst IGPs
Kwa taarifa yako Mangu alisitiruwa tu kwasababu alimuingiza bwana yule madarakani, vinginevyo alipaswa kuwa rumande.Yes ma IGP walioboronga ni Mahita na Sirro.
The best alikuwa Mzee Said Mwema.
Ernest Mangu yeye alitoutiana na tabia za kufanyakazi kwa mzuka alizokuwa nazo mwendazake. So akapangiwa kazi nyingine Ili kulinda heshima yake. Maamuzi mazuri kabisa alifanya.
Tibaigana alikuwa smart kabisaAlikuwa Kanda maalum ya DSM but very professional tofauti na mambo sasa hovyo kabisa
Yes, Mwema ameacha alama kubwa kwenye uongozi wake.
Basi hali ni mbaya sana bora hata Somalia yaani Mkuu asijue nini cha kufanya mauaji kila kukicha hakuna tamko lolote au uchunguzi wowote...Unadhani kwamba hajui nini cha kufanya?? Hizo ndio terms of work.
Hakuna kinachotokea kwa bahati mbaya. That is how things work now.
Alikuwa wa kanda maalum. Hajawahi kuwa IGP.Kumbe Tibaigana alishawahi kuwa IGP?
Mzee Siro kutokana na uzoefu wako wa Operations mbalimbali ulizosimamia nchini kwa mafanikio makubwa tulijua unaweza kuliongoza jeshi la Polisi katika weledi mkubwa lakini matokeo yake umeonekana kushindwa kabisa kuja na mbinu mpya na za kisasa kuendesha jeshi hili. Jeshi linakuwa na kashfa kubwa za Mauaji,rushwa, unyang'anyi, ubambikiaji kesi ambapo Rais alilinyooshea kidole, wewe upo tu haya yanaendelea nchini sijui ni nini kimetushinda mzee.
Ninachokiona kwenye managemts kuna kitu tunaita Operational leaders/Managers na day to day activities leaders, Wewe ni Operational leader na siyo day to day activities leaders. Ulitakiwa kuwa kamanda wa Operation maalum nchini na siyo kuwa IGP. Hiki ni cheo kikubwa sana ambacho kinahitaji ubunifu, busara, hekima na maamuzi ya haraka yenye maslahi kwa taifa. Ni vyema sana kuwaachia vijana wenye ubunifu na mbinu mpya za kisasa kuendesha jeshi hili.
Tuondoke kwenye matumizi ya nguvu,yaani Police Force twende kwenye jeshi la huduma,yaani police service, ibakie tu unit moja ya FFU ambayo itatoa units ziingine Kama za kuzuia ugaidi na madawa ya kulevya. Police force ni mambo ya kikoloni na ndiyo maana tunaona tunaona kelele za kashfa na sifa mbaya haziishii kwenye jeshi hili. Natamani kuona wakipatikana vijana wapya wabunifu hasa waliofanya kazi kazi Interpol ambao wamejifunza mengi kutoka nchi mbali mbali juu ya jeshi la polisi. Kuendelea kua na jeshi ambalo kila anayeingia kufanya kazi anawaza kuiba tu hatutafikia.
Kwahiyo Mzee Siro ili kutunza heshima yako ni muda mwafaka kujiuzulu. Hii kazi si Saiz yako.
Polisi wanajua kinachoendelea upande wa pili,ndio maana nao wamekuwa rogue.Simply hakuna political will ya kuwa na Jeshi la Polisi zuri.Huyu IGP hawezi kujiuzulu kwa kelele za watanzania, kwa kuwa anateuliwa na Rais aliyepo madarakani na wao ndiyo wanufaika wakubwa wa utawala wa IGP Sirro.......
Umesahau mabox ya kura ya wizi yakiingizwa kwenye vituo vya kupigia kura, wakati wa uchaguzi mkuu, yakisindikizwa na hao mapolisi??
Ukweli wa mambo ni kuwa mtu hawezi kuukata mkono unaompa kula!
Dah,ubunifu mzuri sana,that is what he is,hongera sana.
Nadhani wadau wanaongelea utendaji wake,maana kama ni swala la ufisadi nchi hii nikama imeoza kila mahali toka nchi igundulike.Said Mwema msomi mzuri ila mpigaji mkubwa.
Nilisikia huko moshi kilimanjaro mji mzima kanunua nyumba za watu kupitia madalali na wahuni enzi za JK.
Kile kiwanda chake cha mikate kwa ajili ya kutengeneza mikate kwa ajili ya chuo cha polisi moshi kilifungwa enzi ya JPM.
Mabasi ya Happy Nations ni share holder mkubwa speed yake barabarani ni 150kms per hour. Hakuna cha touch.
Bora mwizi mwenye huruma kuliko mwaminifu Muuaji.Said Mwema msomi mzuri ila mpigaji mkubwa.
Nilisikia huko moshi kilimanjaro mji mzima kanunua nyumba za watu kupitia madalali na wahuni enzi za JK.
Kile kiwanda chake cha mikate kwa ajili ya kutengeneza mikate kwa ajili ya chuo cha polisi moshi kilifungwa enzi ya JPM.
Mabasi ya Happy Nations ni share holder mkubwa speed yake barabarani ni 150kms per hour. Hakuna cha touch.