IGP Sirro afanya mabadiliko: ACP Wankyo Nyigesa arudishwa Makao Makuu kupisha Uchunguzi, ACP Mwampakale awa RPC Kagera

Hivi mnafikiri wankyo kakosea!!!?hapana anajua asemacho ni suala la muda tu atakuwa IGP!!

Mama kamrudisha makao makuu ILI awe IGP!!!

Ngojeni nione!!
 
Huyo Wankyo kifupi anaonyesha alikuwa hataki uhamisho kwa nini yeye ndie anajua.

Anaonyesha wazi kuwa alikuwa haivi na IGP kwa nini yeye ndie anajua
Lakini ni kama mtu kaamua kuwa sihami Pwani
Pwani TAMU Sana mkuu..

Hususani kibaha.

Pwani pana hela sanaaaaa
 
Tatizo ni RPC kufanya comedi kwenye tafrija zenye raia.

Msameheni bure konyagi ilipaa mkichwa au hakuandika text ya hotuba yake
 
Your browser is not able to display this video.
 
Sirro hastahili hiyo heshima kutokana na ukweli unaoufahamu
Wewe kwasababu uko too politicalised siwezi kubishana na wewe! Jeshi lina mistari yake. Huyo RPC Inawezekana kadanganywa na wanasiasa kama ninyi!

It's totally completely wrong kijeshi! Huyo anaweza kushughulikiwa hata na jeshi la ulinzi ili awe na adabu na awe mfano! Mkikosa adabu jeshini nchi inaondoka dogo!
 
Hivi mnafikiri wankyo kakosea!!!?hapana anajua asemacho ni suala la muda tu atakuwa IGP!!Mama kamrudisha makao makuu ILI awe IGP!!!Ngojeni nione!!
Kama ni hivyo hapo planners ni zero.

Undispline plan na hapo hata ukifanya ubabe wanajua namna ya kukutia adabu!

Hii ni nchi sio familia [emoji2955]
 
Siku akipewa huo uIGP ataona madhaifu ya rais na atatamani kuwa rais ,mwisho wa siku ni uasi ndani ya jeshi
 
Kama u IGP ungekuwa na mipango hii nchi ingeshakuwa Congo. Hatuna nchi ya ovyo kwa kiwango hicho. Hiyo mipango ni kwenye mamlaka za kiraia sio kwenye majeshi na hasa top position kama hii.

IGP ni senior next to CDF! Hapo hata wapikaji wakipika chakula hakitoiva. Hii ni nchi, tena Tanzania [emoji1241]. Huyo RPC kapotoka tu maneno mazito mno!
 
Kuna nini mkuu huko Kagera?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…