sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,632
- 4,737
Hata Kanali Twalipu alikuwa mkuu wa mkoa wa Kagera(Ziwa Magharibi)Kagera ndio ngazi ya kupandia juu.
Angalia Diwani alikuwa Ras Kagera
Awadh alikuwa RPC Kagera
Nk....nk!
Akapandishwa cheo kuwa Major General na kuchukuwa nafasi ya Major General Sarakikya