Uchaguzi 2020 IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro

Huku NEC, Huku Msajili, Huku Polis Huku CCM ..Wote mishale yao inaelekea kwa Lissu ...
Bila kusahau vyama vingine ambavyo badala ya kunadi sera zao wamejikita kumnanga Lisu
 
Tatizo chadema wanataka kufanya uanaharakati kwenye campaign. Kinachotakiwa ni kueleza sera na siyo matusi au kufanya Fujo.champain is just like interview. Sasa unafanyiwa interview then unawadanyia Fujo wenzio na mabosi wako.
 
Big up sana kwa Jeshi la Polisi kwa walichokifanya jana. Japo muda ulikua umeisha ila walimvumilia Tundu Lissu hadi akafika uwanjani na kusalimia..japo Lema nae alihutubia hadi zaidi ya saa 12 ila Polisi walikua kimya. Mungu awabariki
 
Maisha huku mtaani ni magumu sana,kukikucha ni heri ya jana,asilimia kubwa ya wananchi wameshakata tamaa ya kuishi,hata ikitokea wakaamasishwa Leo kuingia barabani wako tayari kwa kuwa hawana cha kupoteza ,ukiwauwa kwao wanaona umewasaidia kuwapumzisha.ccm shukuruni Mungu viongozi Wa upinzani ni wastaarabu sana,ndio wameshikilia amani ya nchi hii.

Ikitokea kiongozi akaamasisha watu waandamane Leo hapatakalika,watatoka kwa wingi sana kwa sababu wanajua wakiingia huko mtaani watavunja hata maduka ya wahindi wapore chochote.

Vyombo vya dola na nyie mtende haki ,fanyeni kazi kwa weledi kama mlivyofundishwa maadili ya kazi zenu,msi pendelee chama tawala..
 
Watu wanamshangaa anapoongea ulaghai na uongo wa kijinga na kuchokoza vyombo vya dola eti kisa kateuliwa na wazungu kuja kugombea !!
Uwezo wako wa kuchakata mambo ni mchache mno, alamsik!
 
Kwanza tumuulize Sirro alishawashughulikia waliompiga risasi Lissu.

Huyu Mzee vipi , hajui Kesho anaweza amka akakuta yeye siyo IGP.
Sirro acha blah blah miaka 5 mnaminya uhuru wa watu kukutana na kujieleza .

Not only Lissu....!!!Kuna wale waliomwua Mwenyekiti CHADEMA mkoa Geita comrade Alphonce Mawazo, walio wateka na kuwapoteza Azory Gwanda na Ben Saanane......!?? Tuanzie hapo.
 
Tatizo chadema wanataka kufanya uanaharakati kwenye campaign. Kinachotakiwa ni kueleza sera na siyo matusi au kufanya Fujo.champain is just like interview. Sasa unafanyiwa interview then unawadanyia Fujo wenzio na mabosi wako.
Unapotaka kutusemea sisi wananchi tokea lini umekuwa msemaji wa wananchi?
 
Pumba tupu.
Ndio maana makonda alikutuhumu kula rushwa ya shisha maana alishakuona kamanda wa maneno mengi yasiyo msingi.
 
Tundu Lisu kayataka mwenyewe.
yaaani amekuwa akiwa tukana Askari hadi mimi mwenyewe naogopa!!!
halafu cha kushangaza wakati huo huo anataka ulinzi !! Duh!!
Acha ushamba lissu ana jeshi lake watu wamevaa mitambo so policcm wamevaa tu night dress
 
Hii uliyoiandika inaitwa hekima na busara.
 
Leo ndio nimeamini kuwa hata saa mbovu kuna wakati inasema kweli
 
Amevunja sheria gani?
Nyinyi endeleeni kumvimbisha kichwa tu huyo Lissu. Atakapoanza kunyea ndoo mtakaa kimyaa kama wakati ule Faru John ananyea ndoo mlikuwa mbaliii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…