Uchaguzi 2020 IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro

Ni kweli alichosema bwana zero kwamba Tundu Lissu yeye kama yeye hana uwezo wa kupambana na polisi lakini ni kweli unaojulikana popote duniani na watu wote wenye akili timamu kwamba hakuna jeshi la polisi lenye uwezo wa kuwadhibiti raia wote wa nchi husika wakiamua kuliamsha.

Cha msingi kila mmoja aheshimu mipaka yake, na jeshi lako bwana zero lifanye kazi kwa weredi.
 
Vyama viko 12 lkn kinachowapa makavu ni kimoja tu. Mimi siwezi kuwasapoti wakati sie tu wazaliwa zilipo dhahabu barabara za vumbi na hatuna maji lkn mnaenda kujenga uwanja wa ndenge Chato. Piga uwa nawaambia walioko huko wasidaganyike
 
Kimsingi sirro wakati huu wa uchaguzi kwa sheria ya uchaguzi alitakiwa kupeleka malalamiko yake kwene kamati ya maadili, na Lissu alivo wa vifungu subirini muone hili picha lazima wakamchukue na kalandinga hivihivi hichi kichwa hakitoripoti
 
IGP namuelewa. Kwa tension iliyopo ya kisiasa haswa upande huo mwingine na presha za wapambe, asipofanya jambo ataonekana haungi mkono.

Pole mkuu.
Ndo kazi.
Kwenye kazi unaweza fikishwa mahali ukatakiwa kufanya dhulma ambayo hata nafsi yako inakusuta.
 

Police awafiki laki moja wataweza vipi dhibiti nguvu ya umma.
Mbeya tu walizidiwa nguvu na machinga Hadi wakaomba po na kumuomba Sugu awasaidie ndo wataweza nchi nzima.
Always polisi huwa ni vibaraka wa madikteta but jeshi halijawahi waangusha wananchi jeshi usimama na msimamo wa wananchi na kumsaliti dikteta.
 
Yule bwana baada ya kumuagiza mahera wa tume asiyejua Sheria za tume kugonga mwamba kaamua kumtumia ziro kumpiga biti,huu wito wa mitandaonii utaishia kwenye mitandao hivyo hivyo.
Hakuna kosa kumfokea polisi asiyefata sheria.
Juzi alianza yule Liberatus Sabas, Sirro nae leo katokea.
 
Huyu mbona anabwatuka na anasingizia eti Lissu anafokea watu wake,hapa kashinikizwa kuongea ili ionekane anakusaidia ccm,afanye anachoona kkinafaa Kama ana amri juu ya polisi atakavyo yeye,kacheo kanamzuzua
 
Anajua na kundi lake la NEC and others kuwa hooks and crooks lazima Jiwe ashinde....
Hivi nauliza igp ameshajua nan rais kama sio anapata wapi nguvu ya kumtisha mgombea kutoka chama kikubwa cha upinzani
 
Jiwe kila siku anawafokea na kuwakaripia polisi mbona amwambii akaripoti polisi. Aache kutisha wananchi, asiamshe hasira za watz.
 
Inasemekana sirro katukanwa sana na jiwe kwa kile kilochotokea moshi kuruhusu lissu kufanya mutano mpakasa usiku,so sirro anajaribu kumfurahisha boss kiwa anachukua hatua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…